Kwenye Moja Na Tatu, Wewe Tu Kutuletea HabariJe inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Au ni wewe mwenyewe uko huku JF na XNadhan tuna vyanzo sawa Kuna muda nilipost jambo muda huo huo naona naye kashapost, na kuna muda Alipost baada ya dakika kadhaa nikapost, nikaja gundua atakuwa kwenye GOT moja nami
Yupo MoscowAu ni wewe mwenyewe uko huku JF na X
Kumekucha kumekuchaJe inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Acha uongo,kichwa awe na elimu ya kuunga ungaKihenzile ni kichwa. Akagombee Kyela walikomlea.
Mkuu unambishia britanicca 🤣Mwigulu hawezi kuwekwa kando hata iweje.
Huko kwa Kihenzile lolote lawezekana.
mmmmmmmh sidhaniJe inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Mbona ndo Yale Yale ukiwa mchaga uombe kazi tra hukosiKumbuka Mkenda ni mchaga. Hilo tu ndo litamwaribia. Kimei asingekuwa mchaga leo angekuwa waziri wa fedha na uchumi. CCM hadi leo wanajuta kumpa Basil uwaziri wa fedha wanadai alijaza sana wateule wayahudi wa Tanzania TRA.
darcity Accumen Mo johnthebaptist Etwege
Umewasagia kunguni meku ,wachaga siku hizi hatutaki pesa tena tunataka tu mbege hatuna shida tupewe kitengo.Kumbuka Mkenda ni mchaga. Hilo tu ndo litamwaribia. Kimei asingekuwa mchaga leo angekuwa waziri wa fedha na uchumi. CCM hadi leo wanajuta kumpa Basil uwaziri wa fedha wanadai alijaza sana wateule wayahudi wa Tanzania TRA.
darcity Accumen Mo johnthebaptist Etwege
Siyo siku hiziMbona ndo Yale Yale ukiwa mchaga uombe kazi tra hukosi
Cc darcity Accumen MoUmewasagia kunguni meku ,wachaga siku hizi hatutaki pesa tena tunataka tu mbege hatuna shida tupewe kitengo.
Ahsante kwa dodoso our very own nostradamusJe inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Alikuwa anaimiliki au.Punguza upuuzi!Rombo ya Mramba 😂
Dogo punguza porojo jamvini.Ole wako sasa ujisahau hapo chini ya mti hao mbusii waingie kwenye shamba la mahindi la mzee Thadayo kama jana utajua kwa nini nimebadilika kuwa mshia.
Uumbwaaa
Semenya wa ukaldayo banaDogo punguza porojo jamvini.
Piga kazi endelea kubeba boksi.
Sauwa?
Na Kama halipo ni uzushi