Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
....Mandela and many others waliyavaa, tena for many years...but eventually they emerged victorious and made world history...Mimi ninachojua mtu keshavaa magwanda ya rangi ya karoti!
....Pia dunia imejua ukilaza wa huyo hakimu, si angeandika Kiswahili? Bora walivyomkataa angejitoa kuficha aibu yake...Cha nsingi Mtu kafungwa na kafungika na Mji wa Mbeya umetulia kinyume na matarajio Uchwara ya kuibuka Vurugu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13]ila Mteite kiboko. eti the country currency must lose it is value.😀 wakuu hivi sustainability of the president ndiyo inakuwaje?
Kweli aisee inawezekana hii stetimenti ya hukumu imetoka juu.Mtu mwenye kiingereza kibovu tunamjua, ni JPM, hilo tango mwitu ni yeye mkemia ameliandika akawapa vijana wake walipeleke kwa hakimu. Aibu gani hii sizonje 😀
Lugha kizungumkukutiMimi ninachojua mtu keshavaa magwanda ya rangi ya karoti!
Kama raisi akiingia mkataba na ugonjwa shilingi inashuka thamaniMimi ninachojua mtu keshavaa magwanda ya rangi ya karoti!
Si bora yeye kajitahidi??Hivi hakuna mwenyewe picha ya huyu ngumbalu
Wewe si mlikaa na hakimu mkaandika hiyo hukumu? Hakuna jipya zaidi ya umbumbumbuMimi ninachojua mtu keshavaa magwanda ya rangi ya karoti!
Shame.[emoji35] [emoji35] [emoji27] [emoji26]So sad! That was from the Senior Resident Magistrate. What about Junior Resident Magistrate?
Hivi hakuna mwenyewe picha ya huyu ngumbalu
Usitetee ujinga. Ona aibu. Huyu hakimu anahakisi quality ya sasa ya taaluma ya TZ. Very sad. Hata ukiacha lugha mbali hukumu yenyewe ni ya maoni/hisia zake na siyo sheria. Natabiri kuwa Sugu na mwenzie watashinda rufaa.Hahahaha imebidi tu nicheke japo tunasemwa sie Watanzania
Wakenya bana sasa mlitaka Hakimu wetu apige majagon ya Lumumba ?? Kama ndio hivyo hiyo hukumu ingetoka baada ya miaka kumi kutoka sasa
Kama ni ya kitumwa si muiache? Mmelazimishwa?Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!