Hii thread inamdhalilisha Raisi
Shida miradi yake inakuaga ya maneno tu.rejea Bomba la mafutawe una angalia kingereza embu angalia alichoenda kukifanya kule malawi kina faida sana kwa taifa ndugu,.... swala la upanuzi wa bandari ya mtwara litaleta ajira kwa vijanaaa, miji kama ya nyasa itachangamka sanaa kibiashara,... ujenzi wa HEP project ni faida pia kwa taifa ..kingereza sio issue bro ata putin hajui english
Unajua Mkuu nimetembea huko vijijini kuanzia Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, Mbeya, na Tanga kwa kama miezi mitatu hivi nimekaa na wakulima, kwa kifupi mazao mengi yanaharibika shambani. Barabara hazipitiki misimu flani Ukosefu wa mbolea, Tractors, vifaa vya irrigation. Ila uwezo wa Tanzania bado ni mkubwa. Tatizo lingine ni soko unavuna mahindi halafu hakuna soko, unakata tamaa. Mwaka ujao haulimi tena kwa nguvu. Kuna matatizo mengi yanayoweza kutatuliwa tukiwa makini.
EACOP niklisikia wapo ktk final agreementsShida miradi yake inakuaga ya maneno tu.rejea Bomba la mafuta
Mimi siwezi ndo maana naongea full kiswahili.
Haaa.....ila sijasikia maongezi ya maana zaidi ya kuzindua kiwanda cha tumbakuNdio nchi ya watu zaidi ya 18 milioni. Hawazalishi chakula cha kujitosheleza wakulima wa kusini wa mahindi, mchele, mbaazi, mihogo, njegere nk wanaweza kupata soko la kudumu.
Nini kinakushangaza? Kwamba Wamalawi pia ni binadamu wanahitaji chakula? Ila hawana uwezo wa kujitosheleza, sisi tunaweza kuwapa chakula kizuri bei poa. Win win situation tatizo wapi?
Ukizunguka hapa kwa majirani, soko ni kubwa sana Kenya 50m, Rwanda 12m, Burundi 10m, South Sudan 12m, Zambia17m, DRC 90m tumeisaidia sana kupata amani. Jumla watu zaidi ya millioni 200 wanahitaji chakula chetu, kupititia kwetu.
Hatujaenda Nigeria, Saudi, Qatar, Dubai, China, India, German, UK, USA, Canada, France?
Kama tunaweza ku-leverage these natural advantages tutawakomboa wakulima wetu. Tuanze na majirani.
Ni kweli Ila kadri anavyokizungumza zaidi ndo anakuwa mzuri,Mimi sioni Kama tatizo lake kubwa ni lugha Ila kwa mtanzamo wangu tatizo lake kubwa ni UWEZO,uwezo wa Kujenga hoja na kuitetea either kwa kutumia hiyo broken English au kiswahili au kisukuma ndo hana, Ila lugha hiyo ni petty issueJamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Wanaccm bwana shida kweli,hao watanzania unataka uwaone kwenye mikutano ya ccm,je unajua Kama Kuna watz wanaongoza makampuni huko US and they flow like Americans?jamani elimu Kwanza then ukada uwe secondKama huwezi umejuaje kama na yeye hawezi. Kiuhalisia Mimi sjaonaga mtanzania anayeongea kingereza straight. Hichi kingereza tunajifunza tuu ili kutusaidia kwenye baadhi ya mambo mfano biashara, kusaini mikataba ya kimataifa, ushirikiano wa kimataifa na international cooperation Kwasababu imechaguliwa kama lugha ya Umoja wa mataifa duniani. Kwasababu wanaongea kingereza straight ni waingereza tu. Ambako ndio asili ya kingereza. Onaga hata wanaigeria wanachapia. Accent yao haiendani kabisa na kile kingereza straight. Ilimradi anachozungumza mtu unamsikia na yeye anakuelewa inatosha. Mbona hata watanzania wengi ambapo Kiswahili ndio asili take Kinawazingua.
Haaa.....ila sijasikia maongezi ya maana zaidi ya kuzindua kiwanda cha tumbaku
It's a quote from that clipTo help ourselves in what !?
Msisitize asome neno kwa neno hadi mwisho agundue makini.It's a quote from that clip
Labda mpo level moja, ndo maana unaona yupo poa tu. [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona anaongea vizuri tu
Vipofu wawili wapo barabarani?Labda mpo level moja, ndo maana unaona yupo poa tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe wakati mwingine unakuwa na busara.Watanzania na sisi tumezidi jamani, muhimu kuelewana. Lugha ni kwaajili ya mawasiliano na hapo wamemuelewa hadi na makofi wamepiga. Hilo ndilo la msingi.
Umeeleza meeengi kwa utetezi kiduchu.Kuielewa lugha ni muhimu.Kutoelewa tusentensi twepesi kwa mtu aliyetumia miaka zaidi ya theluthi mbili ya maisha yake kujifunza lugha hiyo ni ukilaza.Hakuna utetezi wa hivyo.Lugha kipaji.Kama huwezi umejuaje kama na yeye hawezi. Kiuhalisia Mimi sjaonaga mtanzania anayeongea kingereza straight. Hichi kingereza tunajifunza tuu ili kutusaidia kwenye baadhi ya mambo mfano biashara, kusaini mikataba ya kimataifa, ushirikiano wa kimataifa na international cooperation Kwasababu imechaguliwa kama lugha ya Umoja wa mataifa duniani. Kwasababu wanaongea kingereza straight ni waingereza tu. Ambako ndio asili ya kingereza. Onaga hata wanaigeria wanachapia. Accent yao haiendani kabisa na kile kingereza straight. Ilimradi anachozungumza mtu unamsikia na yeye anakuelewa inatosha. Mbona hata watanzania wengi ambapo Kiswahili ndio asili take Kinawazingua.