Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Status
Not open for further replies.
Hii thread inamdhalilisha Raisi


Haimdhalilishi ila yeye ndiye anajidhalilisha kuongea lugha asiyokuwa na ufasaha nayo wakati angeweza kuongea Kiswahili au Kisukuma na zikatafsiriwa kwa kiingereza.

Kwahiyo post hii ni kama inampa taarifa tu kwa sababu mleta post hawezi kwenda Ikulu kumueleza jambo hili,---- na hii ndiyo faida ya huu ukumbi na wapo wahusika bila shaka watamfikishia hizi taarifa.

Na kumbuka kutojua Kiingereza siyo fedheha bali kuongea kulazimisha kuongea lugha usiyoiweza wakati zipo zile unazoweza hapo imekaa vibaya.😁😁
 
Shida miradi yake inakuaga ya maneno tu.rejea Bomba la mafuta
 

Ni kweli unayoyaongea. Mimi ni bwana shamba, na kwa kweli huwa inaniudhi sana kuona mkulima anaposafisha shamba, kulilima, kulipalilia, kuweka mbolea ya mkopo na hata kupiga dawa huwa yupo PEKE YAKE na hamna anayemsaidia. Ila AKIVUNA. Hapo ndio utaziona road blocks, ndipo utaona ushuru na tozo za kila namna, utaziona marufuku za kuuza mazao yake nje ya eneo fulani, ghafla kuna wasomi na viongozi wenye hofu na maono kuwa huyu mkulima asipodhibitiwa ataishia kuomba asaidiwe chakula au anamaliza chakula kwa ajili ya sherehe za kumtoa binti yake nje. Mkasa huu huwa unawakumbuka SANA walimaji wa mahindi. Hatusikii marufuku kwa walimaji wa viazi vya chips au mbogamboga. Ni kweli kwamba Ukanda wa Nyanda za juu Kusini peke yake unatosha kuuza mahindi yetu hadi Sudan ya Kusini bila hata kuwa na upungufu humu ndani. Lakini haya ni mambo ya kiuongozi na sera, yapo nje ya taaluma yangu.
 
Je wewe unaweza kuongea icho kingereza. Unampondea Mr president hata wewe mwenyewe kingereza huwezi
Mimi siwezi ndo maana naongea full kiswahili.
 
Kama huwezi umejuaje kama na yeye hawezi. Kiuhalisia Mimi sjaonaga mtanzania anayeongea kingereza straight. Hichi kingereza tunajifunza tuu ili kutusaidia kwenye baadhi ya mambo mfano biashara, kusaini mikataba ya kimataifa, ushirikiano wa kimataifa na international cooperation Kwasababu imechaguliwa kama lugha ya Umoja wa mataifa duniani. Kwasababu wanaongea kingereza straight ni waingereza tu. Ambako ndio asili ya kingereza. Onaga hata wanaigeria wanachapia. Accent yao haiendani kabisa na kile kingereza straight. Ilimradi anachozungumza mtu unamsikia na yeye anakuelewa inatosha. Mbona hata watanzania wengi ambapo Kiswahili ndio asili take Kinawazingua.
Mimi siwezi ndo maana naongea full kiswahili.
 
Haaa.....ila sijasikia maongezi ya maana zaidi ya kuzindua kiwanda cha tumbaku
 
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Ni kweli Ila kadri anavyokizungumza zaidi ndo anakuwa mzuri,Mimi sioni Kama tatizo lake kubwa ni lugha Ila kwa mtanzamo wangu tatizo lake kubwa ni UWEZO,uwezo wa Kujenga hoja na kuitetea either kwa kutumia hiyo broken English au kiswahili au kisukuma ndo hana, Ila lugha hiyo ni petty issue
 
Wanaccm bwana shida kweli,hao watanzania unataka uwaone kwenye mikutano ya ccm,je unajua Kama Kuna watz wanaongoza makampuni huko US and they flow like Americans?jamani elimu Kwanza then ukada uwe second
 
Wote mnaomtetea ni wapuuzi yaani Rais anatema yai bovu vile bado mnamsifia badala ya kumwambia ukweli kuwa mzee hujui jaribu kisw
 
We are supposed to help ourself
 
Watanzania na sisi tumezidi jamani, muhimu kuelewana. Lugha ni kwaajili ya mawasiliano na hapo wamemuelewa hadi na makofi wamepiga. Hilo ndilo la msingi.
Kumbe wakati mwingine unakuwa na busara.

Hongera
 
Umeeleza meeengi kwa utetezi kiduchu.Kuielewa lugha ni muhimu.Kutoelewa tusentensi twepesi kwa mtu aliyetumia miaka zaidi ya theluthi mbili ya maisha yake kujifunza lugha hiyo ni ukilaza.Hakuna utetezi wa hivyo.Lugha kipaji.
 
Mambo mengine ni upuuzi.

Darasa ziro tumemuelewa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…