Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #61
Nadhani wakati mwingine kushirikisha marafiki, ni aina fulani ya utoto, anakuwa bado hajakomaa na kujitambua.Kabisa yupo mmoja alikuwa ananifanyia visa baadaye nikaja kugundua kila movement yangu na yeye anashirikisha shoga zake, naona wakawa wananipa maksi mbaya, baadaye nikaamua ku-moveon. Baadaye akaanza kuwasiliana na mimi kutaka kurudi, nikagoma mpaka leo maana aliniona sifai lichi ya wema mkubwa niliomtendea.
Hayatungishi mimba hayo 😀Wa maokoto 🤣
Yaani kama hawa waone barabarani tu lakini kila siku ana bleed.
Kwa nini nyie mashosti hamtaki mwenzenu apate mume?Subiri kamati ya mashosti tujadili mahari kwanza afu tutakwambia 🤣🤣🤣
HahahahahaWanajijua wenyewe, ukiona wanaitana mashosti sijui nini, jiongeze 😀
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mfano ccm hatuwezi kumpiga chini January,mwiguru na maharage
Kafanya maskudi uyoMkuu umesoma mada lakini?
Kuna mashoga zake wengine watamuonea wivu, na kumponda huyo mwanaume ili wote wakoseInfact wanawake upenda attention na competition, hata kwa wao kwa wao.
Ukikubaliwa na shoga zake,
1. Automatic anajizolea attention kwa wenzake,
2. Automatically atapata Cha kucompete na kulingishia wenzie [emoji4]
vle vipipi vya wanawake bado sijajua kazi yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikusaidie kumtag udugu wako mmoja,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Natamani niwatag watu ila basi watapita wataona wenyewe.
Emu udugu wangu wote njooni tuna kikao huku hatimaye tumefikiwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duuuh! kwasasa nawaonea sana huruma,madada wa hivyo,yaani baadhi ya wanaume wanawawazia kuwafanya hivyo.Inasikitisha sana.hawa wa hivi ni wazuri kwa kufirimba
🤣🤣🤣 UtajijuHayatungishi mimba hayo 😀
Basi tu hatupendi kamati ya roho mbaya 😂Kwa nini nyie mashosti hamtaki mwenzenu apate mume?
Kumbe ndio walee...
Wewe mbona hujajitag sasa? 🤣🤣
Na yeye mwenyewe akiwemo 🤣🤣🤣Kumbe ndio walee...
Huwa inakera sanaInakera na kumfanya mwanaume ajute kumtóngoza mdada husika.Kwanini ushirikishe watu mtongozo wangu?
Mwanamke wa hivyo ni jinga kabisa,linakua na akili ya kushikiwa.
Ni vip shem kama shem alafu nimemis pishi lako 😋Wala si hivo!! 🤣