Kimelia nini?Ukimtongoza tu, lazima aombe ushauri kwa marafiki zake; hawa huwa ni wasumbufu sana, iwe ni kwa malengo ya muda mfupi au mrefu.
Utakachomwambia tu, anawashirikisha wenzake; na kama hao marafiki zake hawakukubali, jiandae kupigwa chini.
Wengi wao huwa wanashindwa kujisimamia katika maamuzi, wakiamini wao ni wazuri, na wanapowashirikisha marafiki zao, ni kutaka kuwaaminisha kuwa wanatongozwa kwa sababu ni wazuri.
Mwisho wao, wengi huishia kuishi bila kuolewa au ndoa zao kuvunjika.
Hata humu ndani, wapo wengi sana.
Njoo leo tumepika maharage πNi vip shem kama shem alafu nimemis pishi lako π
Bichwa komwe tu,ananifrahishaga yule mtu[emoji23][emoji23][emoji23]Na yeye mwenyewe akiwemo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ewaaaaah!! Bado wengine wengi umewasahau?? πππ
Ss hivi mjamzito eti π€£π€£Bichwa komwe tu,ananifrahishaga yule mtu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kuna siku nilicheka sana usiku,alicharuka balaa, kila ukimtuliza wala, ndiyo kama una mchochea[emoji23][emoji23][emoji23]Ss hivi mjamzito eti [emoji1787][emoji1787]
Kasema nisimsumbue mimba yake isije kutoka [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ananipa burudani yule afu haogopi mtu
Sijawa tanesco mimi au ttcl πNjoo leo tumepika maharage π
π€£π€£π€£π€£ Yaani ile siku kulikuwa kutamu balaa, nilicheka mpk mbavu ziliniuma.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kuna siku nilicheka sana usiku,alicharuka balaa, kila ukimtuliza wala, ndiyo kama una mchochea[emoji23][emoji23][emoji23]
Si ulisema ndio mboga yako pendwa na πSijawa tanesco mimi au ttcl π
Huyo mwingine ndio mboga pendwa na kesho nikijaaliwa uzima ntaenda kumgonga my wangu πSi ulisema ndio mboga yako pendwa na π
Yanatokea mkuuKimelia nini?
Imeingilia wapi? π πSs hivi mjamzito eti π€£π€£
Kasema nisimsumbue mimba yake isije kutoka πππ
Yaani ananipa burudani yule afu haogopi mtu
π€£π€£π€£ Subiri akija atakujibuImeingilia wapi? π π
Siku ya mwisho inakaribia mtachomwa moto ππ€£π€£π€£ Subiri akija atakujibu
Sema tutachomwa wewe mbona unajitoa?? π€£π€£π€£Siku ya mwisho inakaribia mtachomwa moto π
Afadhali hata hao kabla ya mahusiano,, sasa wanaume ambao kila linalotokea na mke wake lazima awafahamishe ndugu yake, hapo kuna kuwa na kichwa kweli licha ya ndevu uso mzima?[emoji1][emoji1]Ukimtongoza tu, lazima aombe ushauri kwa marafiki zake; hawa huwa ni wasumbufu sana, iwe ni kwa malengo ya muda mfupi au mrefu.
Utakachomwambia tu, anawashirikisha wenzake; na kama hao marafiki zake hawakukubali, jiandae kupigwa chini.
Wengi wao huwa wanashindwa kujisimamia katika maamuzi, wakiamini wao ni wazuri, na wanapowashirikisha marafiki zao, ni kutaka kuwaaminisha kuwa wanatongozwa kwa sababu ni wazuri.
Mwisho wao, wengi huishia kuishi bila kuolewa au ndoa zao kuvunjika.
Hata humu ndani, wapo wengi sana.
Haaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajijua wenyewe, ukiona wanaitana mashosti sijui nini, jiongeze π
Kwenye ndoa, mgogoro unamalizwa na wao wenyeweAfadhali hata hao kabla ya mahusiano,, sasa wanaume ambao kila linalotokea na mke wake lazima awafahamishe ndugu yake, hapo kuna kuwa na kichwa kweli licha ya ndevu uso mzima?[emoji1][emoji1]