passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Nani alisema claimed , hiyo claimed ni yako , ni uhakika kwamba Isaac Newton hakuwahi kuwa na familia wala kuoa Acha kuwa mbishi kama muha wa kigoma
Soma hapo
How many children did Isaac Newton have? | Homework.Study.com
Answer to: How many children did Isaac Newton have? By signing up, you'll get thousands of step-by-step solutions to your homework questions. You...homework.study.com
Hiyo sio ndoa,ni kikosi cha wahuni waliotamaniana hadi kupeana mimba.
Usiniambie waliooana kabisa?
nashukuru kwa ushauri hata mbuyu ulikuwa kama mchicha,Kuoa kuna sheria za enz na enz,ushauri kijana mdogo
Nenda kwa mama yako mwambie akutafutie mke,
Kama hujaja na vigelegele vya kuoa bikra,
Sasa Wewe unataka kuoa hadija wa buza Kwa mpalange!
Afu awe bikra .
Kijana Mwanaume shababi lazima tuoe,na ukiwez usioe mmoja piga tatu,ilà uweze kuwatunza
Sasa unataka utafute nani? 🤣Et unatafuta na mkeo, kadanganye wanaosinzia[emoji12][emoji12][emoji12]
shida sio bikra shida ni kutosimamia vipengele vya mkataba, wengi wanakubali mikataba ila kuishi kwenye vipengele wanafeli pakubwa, bora ku take risk ya kuishi bila mktaba hata akizingua anaenda zake kivyakeKuoa kuna sheria za enz na enz,ushauri kijana mdogo
Nenda kwa mama yako mwambie akutafutie mke,
Kama hujaja na vigelegele vya kuoa bikra,
Sasa Wewe unataka kuoa hadija wa buza Kwa mpalange!
Afu awe bikra .
Kijana Mwanaume shababi lazima tuoe,na ukiwez usioe mmoja piga tatu,ilà uweze kuwatunza
They have mission to do,kataa ndoa iende na kataa uzizi na kataa puchu,Great thinker Plato pia hakuwahi kuwa na mtoto wala familia
Watu wakubwa walioweka historia duniani andika Michael Angelo , Leonardo Da Vinci pia hawakuoa au kuwa na watoto
Ndoa ni uamuzi mtu
#kataa ndoa ,ndoa ni utapeli
tutaboa hivyohivyo kimungumungu😂😂😂😂 Kumekucha ndio kwanza January tutaboa kweli December
Kwa hiyo unataka kusemaje,tuhalalishe umalaya bcoz alizaliwa bikra,nashukuru kwa ushauri hata mbuyu ulikuwa kama mchicha,
hata malaya wa buza alizaliwa bikra
hiyo sio sababu ya kumvumilia mwanamke zezeta,Mi nawalaumu KATAA NDOA, kwa kampeni yao hiyo.
Kama wao wameumizwa na ndoa wakae kwa kutulia wasituharibie kizazi.
Hebu fikilia kizazi cha watoto wanazaliwa nje ya ndoa na kukosa malezi ya baba na mama ( familia).
Tutajikuta tunajenga kizazi cha hovyo sana tukiendekeza hawa kataa mdoa.
Ameonja utamu wa ndoaKuna mshikaji wetu alipokaribia kuoa mwaka jana mwezi wa 12, akawa anashinda bar analewaaaaa 😂😂😂 Kuna muda unamuona yupo deep kwenye mawazo, nikamuuliza shida nini bro? Utasikia we acha tu! Hatimae akaoa zake na hivi wakishua harusi ilikuwa classic.
Sa hivi yuko busy kumpost wifi tu….. binafsi nikadhani labda mwanamke wake ni controlling, ndio maana jamaa alipata mawazo sana.
Wanaume wengi wataoa, ni suala la muda tu… iwe ndoa ya kanisani, msikitini, kimila au sogea tukae.
mi sina kampeni yoyote broh naongea ya moyoni, we kama umeweza kuwafumbia macho hongera mi nimeshindwa, atakula za kichwa tatu, bora muuzaji najua tupo wengi sio wa kuniaminisha wa kufa na kuzikana afu anatoa mpaka jicho njeKwa hiyo unataka kusemaje,tuhalalishe umalaya bcoz alizaliwa bikra,
Kijana Mwanaume shababi anaoa,amilikiwe na anatengeneza jina la ukoo wake
Oa achana na kampeni za kishoga
Kwa hiyo unauza siyo?mi sina kampeni yoyote broh naongea ya moyoni, we kama umeweza kuwafumbia macho hongera mi nimeshindwa, atakula za kichwa tatu, bora muuzaji najua tupo wengi sio wa kuniaminisha wa kufa na kuzikana afu anatoa mpaka jicho nje
Kama unauza kila la kheri na kampeni yako,mi sina kampeni yoyote broh naongea ya moyoni, we kama umeweza kuwafumbia macho hongera mi nimeshindwa, atakula za kichwa tatu, bora muuzaji najua tupo wengi sio wa kuniaminisha wa kufa na kuzikana afu anatoa mpaka jicho nje
Sasa unataka utafute nani? 🤣
Mkuu wengi mnasaini mkataba wa ndoa bila kuzisoma sheria za ndoa.Mkuu
Unajaribu kunikwepa sababu huna hoja na si kuoinea huruma ndoa yangu.
Mimi baba mkwe wangu ni mwanasheria, mama pia ni mwanasheria.
Umesema ndoa ni mkataba wa kitapeli embu weka huo mkataba tuuone?
Uoni kwamba unaongea tu maneno matupu?
Kwani pesa lazima utafute na mtu?Sasa unataka utafute nani? 🤣
Ukipata mbunye ichape kiboko yaaani.Ila kula vipochi manyoya ruksa au sio mwamba[emoji2]