Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Kwa hiyo unauza siyo?
najua unanitrigger kwa kujaribu kunitusi kiintelijensia bahati mbaya sinaga tabia ya kupanic ila nakwambia hivi we endelea kufuga malaya ushauri wangu leo wakati unamuweka mchunguze kinyeo ka kina rinda, nje na hapo endelea kufuga malaya.
 
Wewe ni mpumbavu nani kakuambia kila mtu ana imani hizo za kipumbavu kuwa kila mtu kaumbwa sijui na huyo muumba ? Mbona wewe ni mpuuzi hivi
Yeye mwenye anapigwa matukio daily na mademu zake Waha wa huko kibondo sijui buhigwe.

Hadi anaeleta Uzi hapa. [emoji2]
Still Hakomi. Mapenzi yatamzika.
 
Siku nikioa lazima nikupe mwaliko deaf gal. Labda ukatae mwenyewe
 
Mkuu wengi mnasaini mkataba wa ndoa bila kuzisoma sheria za ndoa.

Wew unaona sheria za ndoa zina usawa wa kijinsia hasa pale linapokuja swala la talaka?
Ndio maana nikasema weka huo mkataba tuone utapeli upo wapi?
 
najua unanitrigger kwa kujaribu kunitusi kiintelijensia bahati mbaya sinaga tabia ya kupanic ila nakwambia hivi we endelea kufuga malaya ushauri wangu leo wakati unamuweka mchunguze kinyeo ka kina rinda, nje na hapo endelea kufuga malaya.
Nani kaku trigger na kwanini upaniki?
Nimekupa ushauri nenda kwa mama yako,mwambie akutafutie mke update bikra,sasa nimetrigger wapi?
 
Nani kaku trigger na kwanini upaniki?
Nimekupa ushauri nenda kwa mama yako,mwambie akutafutie mke update bikra,sasa nimetrigger wapi?
hilo nilishakujibu soma reply ya nilicho reply usijikute shababi kumbe kuna mashababi zaidi yako
 
Kuna pesa inatafutwaga na mtu mmoja?! Lazima mshirikiane
Hebu oa mnachelewesha kina Junior kuanza shule [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona Junior tayari yupo shule mkuu, kwa hiyo hiz tunazotafuta peke yetu ni makaratasi sio[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…