Kijana kubali ndoa, Wanaokataa ndoa wengi ni loosers na kuna walakini katika Uanaume wao

Hiiiiiiii, huyo boya anaenda kuliwa kichwa siyo muda, keshaanza kupost mapema hivi hayaaaa.!
 
Hiiiiiiii, huyo boya anaenda kuliwa kichwa siyo muda, keshaanza kupost mapema hivi hayaaaa.!
Hahaha kwanini unasema hivyo….

Experience yako ni ipi? Au nawe hujaoa mkuu?

Halafu i bet you are my teacher… Uni-teacher. Nikirefer comment yako mahali ulivyosema unanifahamu. 😊
 
Hiiiiiiii, huyo boya anaenda kuliwa kichwa siyo muda, keshaanza kupost mapema hivi hayaaaa.!
Kijana wa hovyo baddest 47 anaimba kwamba...
Kupenda penda si tushakukataza, ukiachwa kula nyama nyamaza.
Ukizidisha kumtangaza, ipo siku tutakukuta angaza!
 
Kiasili kabisa wabongo mtu akiwa anapata raha au chimbo la pesa wala hawezi kuwashtua wana au kuwashauri .

Ila ndoa mnaipigia kelele eti mnapata raha , sema tu mnataka kila mtu aoe ili wimbi la kuchapiwa wake lipungue[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza naomba uelewe jambo Moja mkuu, Mimi sipo kwenye kampeni ya kataa ndoa, ila kwenye kufikiria na kujadili mambo, napendaga kuwa out of the box. Sifatagi ushabiki, naangalia hoja. Kwenye huu Uzi naonekana nipo upande wa timu kataa ndoa, kutokana na aliyeanzisha mada kushindwa kuwa na points zenye mashiko.

Turudi kwenye tulichokuwa tunajadili Mimi na wewe. Kwanza nilitarajia ungekuja na takwimu zozote kusupport icho unachokisema, lakini still umeendelea kuwa na maneno matupu, japo sio mbaya sana pia.

Mada yetu inahusu ndoa vs kataa ndoa. Kataa ndoa ni wale ambao hawataki ndoa kwa namna yoyote Ile. Wale wanaoingia kwenye ndoa na kuzaa nje, kutalikiana hao wote wanangukia kwenye kundi la wanaosupport ndoa, hivyo hata hayo madhara wanayosababisha yanabaki upande huo.

Kuna sehemu umesema ikiwa ndoa zitasimama vizuri, basi idadi ya watoto wa mitaani watapungua. Swali la kujiuliza, kwanini hizo ndoa hazisimami vizuri? Maana hao wanaozaa nje, waliingia kwa hiari. Wanaotalikiana pia waliingia kwa hiari.
 
Kila sku mnatusisitiza tuoe lakini sisi hatujawahi kuwasisitiza mkatae ndoa! Why now!!![emoji846][emoji846]
 
Kula ushibe hutorudi kuandika hizi nonsense zako, we oa amabao hatutaki usitupangie kabisa yani kila mtu ashinde mechi zake.
Ambao hamtaki kuoa tutawaoa pia muwe nyumba ndogo ndio mnachotaka
 
Kijana wa hovyo baddest 47 anaimba kwamba...
Kupenda penda si tushakukataza, ukiachwa kula nyama nyamaza.
Ukizidisha kumtangaza, ipo siku tutakukuta angaza!
We utakuwa kwenye penzi jipya ndio maana una hili wenge[emoji1787][emoji1787]

Ngoja muda uchanganye ndio utajua kwama hujui. P
 
mliooa mnawapenda wake zenu...mbona naona wengi wenu mmeongozwa na huruma ama ndumba wengi mmeoa vituko na hamvihudumii ipasavyo kama hawa tunaogawana nao huku nje...wengine tunatoka na nyie bar saa nane... full ku teas na mabar maid..makelele kelele hayaishi kwa nyumba...
 
Mkuu mbususu tunazila na tumezaa kitaa ila kuingia mikataba ya kinafiki na watu ndio watu hawataki
Sio lazima kuingia mkataba.

Ila huko kuzaa hovyo kitaa ndo tatizo, kwanini usile mbususu bila kuzaa hovyo.

Mnawanyima haki zao watoto kwa tamaa zenu za usiku mmoja, mbaya sana hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…