Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Tatizo nyie mnatuwinda kweli, ngoja tuendelee kuchochea moto tu, na hizi mvua hizi 😀Uongo taarifa nilizonazo unafamilia tena sio moja sema nikuseme vizuri wewe na Equation x hamna tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo nyie mnatuwinda kweli, ngoja tuendelee kuchochea moto tu, na hizi mvua hizi 😀Uongo taarifa nilizonazo unafamilia tena sio moja sema nikuseme vizuri wewe na Equation x hamna tofauti
Eti?Tatizo nyie mnatuwinda kweli, ngoja tuendelee kuchochea moto tu, na hizi mvua hizi 😀
Umeongea mengi lakini swali umeshindwa kulijibu.Ni hivi mkuu hatujuani ila nakueleza Kwa kifupi tu Nina watoto 2 Kwa mama 2 tofauti mmoja wa kike anaitwa brightness mwingine wa kiume anaitwa Brighton.
Nina wahudumia watoto wangu vizuri na hao Baby mummy wameolewa na watu wengine
Brightness naishi naye kwani mama yake kaolewa na mwanaume nje ya nchi huyo mwingine yupo na mama yake na huyo mume wake.
Kuhusu mshua wangu anasumbuliwa na ndugu eti Kwa kuwa sijaoa na ni over 30 na Nina Kipato kikubwa sio cha wastani eti anitafutie mke . Mshua wangu kawakatalia kawaambia suala la kuoa ni langu binafsi hawezi kunitafutia wala kunilazimisha kuoa yeye anachotaka ni wajukuu tu .
Ikitokea bahati mbaya brightness wangu let apewe mimba akiwa mwanafunzi au under18 na kijana kwamba wanapendana Nina hapa sintokuwa upande wa serikali kumshtaki na kumfunga aliyempa binti wangu mimba Kwa mapenzi yao wenyewe sio Kwa kumbaka sanasana nitawapa support waweze kuishi vizuri . hata kama huyo kijana amekimbia au amekataa kumuoa binti yangu sinto weza kumtosa binti yangu kamwe hata azalishwe sijui mara ngapi na wanaume wamkimbie .
Kwa hiyo wewe ikitokea kwamba binti yako kapewa mimba na amekimbiwa na mwanaume utamtosa huyo binti yako? acha kuwa na mitazamo ya hovyo
Nawaonea huruma sana wanao kwa Kupata baba mwenye mindset za hv,sizani kama baba yako.angekuwa kama Wewe ungefika ulipofikaNi hivi mkuu hatujuani ila nakueleza Kwa kifupi tu Nina watoto 2 Kwa mama 2 tofauti mmoja wa kike anaitwa brightness mwingine wa kiume anaitwa Brighton.
Nina wahudumia watoto wangu vizuri na hao Baby mummy wameolewa na watu wengine
Brightness naishi naye kwani mama yake kaolewa na mwanaume nje ya nchi huyo mwingine yupo na mama yake na huyo mume wake.
Kuhusu mshua wangu anasumbuliwa na ndugu eti Kwa kuwa sijaoa na ni over 30 na Nina Kipato kikubwa sio cha wastani eti anitafutie mke . Mshua wangu kawakatalia kawaambia suala la kuoa ni langu binafsi hawezi kunitafutia wala kunilazimisha kuoa yeye anachotaka ni wajukuu tu .
Ikitokea bahati mbaya brightness wangu let apewe mimba akiwa mwanafunzi au under18 na kijana kwamba wanapendana Nina hapa sintokuwa upande wa serikali kumshtaki na kumfunga aliyempa binti wangu mimba Kwa mapenzi yao wenyewe sio Kwa kumbaka sanasana nitawapa support waweze kuishi vizuri . hata kama huyo kijana amekimbia au amekataa kumuoa binti yangu sinto weza kumtosa binti yangu kamwe hata azalishwe sijui mara ngapi na wanaume wamkimbie .
Kwa hiyo wewe ikitokea kwamba binti yako kapewa mimba na amekimbiwa na mwanaume utamtosa huyo binti yako? acha kuwa na mitazamo ya hovyo
Ata wewe unaniwinda hapo ulipoEti?
Kwa kweli nimeshangaa sana.Nawaonea huruma sana wanao kwa Kupata baba mwenye mindset za hv,sizani kama baba yako.angekuwa kama Wewe ungefika ulipofika
Safi ulifichwa wapi my Wii😍Mi mzima, za mwaka mpya?!
Sasa ukimkuta kyoto shoga,fisadi, mla madawa usiulize sababu umeona sasaKwa kweli nimeshangaa sana.
Inasikitisha mno
Acha kuwa conservative ndugu yangu Life is full of DynamicsNawaonea huruma sana wanao kwa Kupata baba mwenye mindset za hv,sizani kama baba yako.angekuwa kama Wewe ungefika ulipofika
[emoji1][emoji1]Mkuu mashoga wana umoja balaa
Sasa ndio swali gani la kipumbavu unaniuliza? Nakujibu Kwa kirefu hapo chiniUmeongea mengi lakini swali umeshindwa kulijibu.
Baba brightness upo tayari kuona mtoto wako akazalishwa halafu akatupwa au kutelekezwa na mwanaume huyo na mzigo kutupiwa wewe bila kuzingatia mtoto huyo atafanya tofauti na wewe?
Embu jibu sasa naona swali umelielewa.
Kwangu Mimi Kwa uelewa wangu lengo kubwa la.ndoa ni kupata watoto.Lengo la ndoa unalijua
Malezi siyo degree ,master au doctorate, malezi ni mchakato unaratibiwa na watu wawili wenye jinsia tofauti kudeliver kila mtu kutokana jinsia yao kwenda kwa zao lao(watoto),Acha kuwa conservative ndugu yangu Life is full of Dynamics
How comes.niwe na mind set kama.za msure wangu.
Kwa hiyo wewe jamaa una mind set kama za msure wako?
Acheni kuukimbia ukweli maisha tunayoishi sasahivi masuala ya ndoa wala hayana msisitizo.
Ndio maana siku hizi hata wazazi wanawaambia watoto wao waliopo Kwenye ndoa kama wakishindwana waachane kulipo wazuriane kama matukio mengi . ile dhana ya ndoa ndoano haipo tena.
Halafu wewe fala unaweza kuta watoto wako wanaishi maisha ya hovyo na kimaskini kulipo my kids wewe endelea na mitazamo yako ya kizamani , nimesoma na nimetembea nchi mbalimbali nimejifunza mila na tamaduni kibao TZ na Nje ya TZ siwezi kuwa na mitazamo kama msure wangu hata Mzee wangu anakiri hivyo siwezi kuwa kama yeye na ananikubali ninafanya mambo kibao mwenyewe ananikubali vibaya sana manake mwenyewe alisoma na kuelimika kitambo sana mwaka 1967 msure wangu alikuwa Toronto University anafanya Bachelor 1982 alikuwa Sheffield University anapiga Master
My mission is none of your businessThey have mission to do,kataa ndoa iende na kataa uzizi na kataa puchu,
Walikuwa na special mission ambayo muda na kazi vilikinzana,
Ndugu what is your mission,je hauzini!
Wapo matoashi ilà Wana special mission ,
Sasa hao hawakuwa kataa ndoa na hawakuendesh kampeni yoyote na ni negligible perc . Compare to other waliooa na wakafanya makubwa.
And why uongelee one side,ongelea na waliooa wakafanya makubwa
One side ni unafki wa wazi