Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Mbn kama naongelewa Mimi Maisha yangu apa πNi true ukioa ukiwa unajitafuta na financial freedom haujaipata hapa namaanisha....
DEPENDENCY RATIO IS GREATER THAN SAVINGS HUTOBOI....
Mdogo etu a chess dream mambo ya Ndoa yawe baadae
You don't have the heart to bear itπ€£πMwaga maneno hapa kijana,usiogopeπ
Afu Kaka ile issue ya kwenye box, huja nigusiaπ€£ππ€Ni true ukioa ukiwa unajitafuta na financial freedom haujaipata hapa namaanisha....
DEPENDENCY RATIO IS GREATER THAN SAVINGS HUTOBOI....
Mdogo etu a chess dream mambo ya Ndoa yawe baadae
Usinisemee uvumilivu wangu,nijaribu..!You don't have the heart to bear itπ€£π
Acha tu mkuu..Vipi tna chief uko na maswahibu gn
Lia tu π€£πAcha tu mkuu..
MkuuπππLia tu π€£π
Wana sema usi mjaribu ibilisiπ€£Usinisemee uvumilivu wangu,nijaribu..!
Haya wali kufanya nini ππ€£Mkuuπππ
Hahaha!Wana sema usi mjaribu ibilisiπ€£
Unayempenda hakupendiHaya wali kufanya nini ππ€£
Mkuu,
Do not be too General
Mm nimeoa muda mke ana kazi pia Mimi na kazi..
Mimi na mke wangu ni marafiki Huwa tunaweka pesa zoteeee mezani ndipo yeye ana Anza kuzitawanya sector mbali mbali
Of course Mimi na dress very well na nguo zoteeee amenunua yeye + viatu classic jamaan hawa wanawake wanapishana banaa
Mimi sikuoa Tako Wala sura nilio akili na mtu alie nipenda Kwa dhati
Hii statement yako hapa chini futa ππ
- Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, hakika usioe, Hakuna mwanamke anaendeleza hela ya mwanaume, na wala hatuwaambii ziko kiasi gani, anahudumiwa vizuri, ila hategemewi kwa chochote cha maendeleo
Mkuu,
Do not be too General
Mm nimeoa muda mke ana kazi pia Mimi na kazi..
Mimi na mke wangu ni marafiki Huwa tunaweka pesa zoteeee mezani ndipo yeye ana Anza kuzitawanya sector mbali mbali
Of course Mimi na dress very well na nguo zoteeee amenunua yeye + viatu classic jamaan hawa wanawake wanapishana banaa
Mimi sikuoa Tako Wala sura nilio akili na mtu alie nipenda Kwa dhati
Hii statement yako hapa chini futa ππ
- Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo, hakika usioe, Hakuna mwanamke anaendeleza hela ya mwanaume, na wala hatuwaambii ziko kiasi gani, anahudumiwa vizuri, ila hategemewi kwa chochote cha maendeleo
poor uttoh2002
What a braging, shame on you!Aisee usinionee Huruma ndugu yangu, ninaishi vizuri sana, jionee huruma
Acha hizoππ€£π€£Hata hivyo umri wako wa kuoa itakuwa badoππππ