bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Endelea upate mrejeshoTayari kuna mtu amechapiwa....pole sana.
Vijana tumekuwa vijana wa hovyo sana, K ikijileta tunaichapa bila kujiuliza ni mali ya nani.
Huwezi chepuka kama wewe sio Malaya.Dar
Ishu hapa sio Malaya au kutokuwa Malaya
Kimsingi ,mwanamke Hana tabia ,tabia huikuta kwa mumewe au mwowaji
Ndgyetu ajitulize
Na umuonyedaah sio powa huu uzi inabd nkamuoneshe mwanngu mmoja hiviπ
Mbona kama wew ndio unakuusu ivii [emoji846]daah sio powa huu uzi inabd nkamuoneshe mwanngu mmoja hivi[emoji23]
hapana mkuu yaani kuna muda namuambia mwanangu achana nae uyo mtie blocku mwanangu anamuinea huruma hadi najikuta nalia maana mume wake uyo mdada anafanana na jina lako la mwishoMbona kama wew ndio unakuusu ivii [emoji846]
kabisaNa umuonye
daah mbona mpka nimeogopa kumuambia hvyo mkuuMuoneshe na mwambie kuwa tunapambana usiku na mchana ili kupata amani na furaha kwenye maisha yetu. Mwambie hatuna muda wa kukaa na wake zetu sababu tunafight kwa ajili ya kesho bora. Mwambie hatuwarudhisi kama wanavyosema kutokana na kuchoka kwa sababu kutafuta na kuandaa kesho bora ya familia zetu. Mwambie tunapambana na tunapata stress tunapopambana kwa ajili ya kesho iliyo bora.
Mwambie atalipa gharama kwa kutembea na wake za watu kwani wengine tumezaa nao watoto. Mwambie atajutia maisha yake yote, mwambie yeye ndio atakiwa mke wetu nida si mrefu, mwambie ajiandae kuvuliwa ubingwa, mwambie awe anatembea na vilainishi kabisa. Mfikishie ujumbe wetu.πππππ
Bila shaka ni kawaida yake kula papuchi za watudaah sio powa huu uzi inabd nkamuoneshe mwanngu mmoja hiviπ
hapana mkuu dodo tu limemuangukiaBila shaka ni kawaida yake kula papuchi za watu
Siku akiwa ana firw*** ajikaze pia maana ndio dodo lenyewe hilo πππhapana mkuu dodo tu limemuangukia
nimelia sana aiseeπΏπΏπ’Siku akiwa ana firw*** ajikaze pia maana ndio dodo lenyewe hilo πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku akiwa ana firw*** ajikaze pia maana ndio dodo lenyewe hilo [emoji18][emoji1][emoji1]
Usilie ndio ukweli huo πnimelia sana aiseeπΏπΏπ’
πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatulali, tunapambana. Tunaumia, tunachoka, tunateseka, tunarudi nyumbani baada ya miezi 3 lwa kufight ili kesho yetu na familia zetu iwe nzuri alafu leo dogo mmoja mpaka rangi kucha za wanawake anajitamba kutembea na wake zetu kwa kuwa hatuna muda wa kukaa nyumbani, huku tumezaa na kuanza kujenga maisha ya watoto wetu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
Ni sahihi. Katika kitu nilichokuwa nakiogopa na kukiheshimu toka ujana wangu hadi Umri huu ni wake za watu na wanafunzi. Namshukuru Mungu alinishindia na kunisaidia katika hilo.mwanaume anaejitambua hachukui mke wa mtu