The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Umeona wapi wakurya wanajua kupigana?Raha ya vikombe vigongwe bea bea 😀 gloves zitaharibu ladha ya nako!
Watu kama hawa unaenda wanavyotaka wao.JF sometimes hua inachanganya sana,unaweza kukuta hawa wanaotambia hapa ni mtu mmoja tu mwenye multiple ID's
Anyway itoshe kusema Utoto raha sana.
Kiwanja wapi cha Parrying?Umeona wapi wakurya wanajua kupigana?
Hawa wanachotegemea silaha tu na tagi ,na uzuri kutoka huko bado hasumbui
Kamekuja inbox na mkuu mkuu nyingi, yani kanatingisha kibiriti .
Sasa kajaa huyu bwege ,atafurahi na show
Mwamba una kumbukumbu balaa [emoji23]Alianza comrade NALIA NGWENA huyu alifika mpk banana kwenye viwanja vya airwings pambano halikufanyika.
Leo tunasikia kuhusu UMUGHAKA na Hance Mtanashati .Hili pambano litakuwa bora kwa wakat wote mnatak ufadhili gan msipewe humu.
Kuna thread moja humu walisema kuna watu walikutana wakazchapa il mmoja akatumia rungu lililosababisha mwengne kukimbia.
Nawaomba tu hii ni fist fight pambano liwe fair.
Vizuri sana.
Nakukaribisha kwa mikono miwili.
Jumamosi jioni tukutane.
Ngoja tumalize game ya arsenal, tuta waangalia kesho😄Kitambo sijaona ngumi za mtaani, mie nitajitolea uwanja wa kupigania..
Naomba mashahidi wawe kina Mpaji Mungu na Ivan Stepanov ili usije sema Nili kuitia majobless wenzagu 🤣😆🤒.Intelligent businessman njoo huku tupange siku ya pambano letu haiwezekani uniite nusu albino
Iwe lini nikung'oe meno hayo 😂Naomba mashahidi wawe kina Mpaji Mungu na Ivan Stepanov ili usije sema Nili kuitia majobless wenzagu 🤣😆🤒.
👉Nita kuvunja meno, Kisha niku chune ngozi yako ya ualbino Half american
Jmosi tukutane golden forkIwe lini nikung'oe meno hayo 😂
Usinipangie 😎Jmosi tukutane golden fork
Usha Anza kulia Lia😆🤣🤣, Nita kuuza hiyo ngozi🤒Usinipangie 😎
Achana na hiyo uji wa mchele Mkuu utaua bure.hamna sparring hapo ni kujitaftia kesi tu.Wananikimbia mkuu!
ipo siku yako mdogo anguUsha Anza kulia Lia😆🤣🤣, Nita kuuza hiyo ngozi🤒
Nusuu albino Half american , soon naingia studio kutoa album ya nusu albino. Track listipo siku yako mdogo angu
🚮Hahaaaa mimi kuna mmoja yupo rombo huko akawa ananitukana na kuzuga yupo Sudan. Nikatengeneza ID nyingine yenye jina la kike. Nikamfuata Inbox, dogo akanipa namba yake. Hahaaaa nikamwambia mimi fulani nimetengeneza hii ID ili nikushughulikie. Hahaaaa, dogo akaomba msamaha.