Ndio Forex = foreign exchange or currency tradingSio forex hii
Tembea uone
Nanunua carton 450,000 within a few hours nimemaliza mzigo kwa 700,000 na hapo nauza Bei ya chini Ili mzigo utoke chapchap
Ni mwendo wa kucheza na fast moving products na wholesalers only
Sabuni mche, unga na toilet cleanerPersonal care gani mnaleta?
Nimeipenda hii comment yako, asante respect Mkuu.Kama ni fresh from school ushauri ninaoweza kukupa ni tafuta kwanza experience (Experience ndio gold huku nje) kwa kujitolea au kufanya kazi kwenye engineering company (kuna gap kubwa sana kati ya theory za darasani na mambo yalivyo huku nje). Kama unataka kujitolea nichek PM , sina uwezo wa kukuajiri kwa sasa.
Mi sijakuelewa bado, mleta mada kasema ana mtaji wa 10M, wewe unasema $100,000 na kuna sehemu umesema 2.5M inaweza pia kuwa mtaji hapohapo haumaji a/c ya chini ya $10,000. Nieleweshe naombaVitu vinawezekana kabisa. Tena kwa mtaji wa mleta mada | Tunachukua Instant funding za $100,000 account mbili tu. | Hapo uhakika kila wiki unalaza milioni 5 | yes milioni tano kwa wiki possible.
=
Muda huu nina entry 3 nasubiria movement London Session
View attachment 2540185
- Sahihi mleta mada amesema mtaji ni kati ya 5m hadi 10mMi sijakuelewa bado, mleta mada kasema ana mtaji wa 10M
ww unasema $100,000 na kuna sehem umesema 2.5M
Kwenye Propfirm, kuna akaunti ndogo zenye thamani ya chini ya $10,000pia kuwa mtaji hapohapo haumaji a/c ya chini ya $10,000.
Okey, kwa hiyo kwenye hiyo ya mgawanyo mzuri wa faida inakuwa $10,000 ya kweli au na yenyewe kibongobongo inadrop?- Sahihi mleta mada amesema mtaji ni kati ya 5m hadi 10m
- Toka kwa mleta mada mwenye mtaji wa 10m
- Mimi nahitaji ONLY 2.5m
Ambapo
- Itatumika hiyo milioni 2.5 kupata account size kubwa kutoka prop firm
Kwenye Propfirm, kuna akaunti ndogo zenye thamani ya chini ya $10,000
-Ila kwa biashara yenye umakini, na mgawanyo mzuri wa faida kwa wiki, inashauriwa kuwa angalau akaunti ianzie $10,000 na zaidi, ndio sababu sichukui account chini ya kiasi hicho
Mambo matatu inatakiwa yawe bayana.Okey, kwa hiyo kwenye hiyo ya mgawanyo mzuri wa faida
NB | Uwe unahariri ujumbe kabla ya ku_post, imeniwia vigumu kuelewa nini hasa unahitaji kujuaOkey, kwa hiyo kwenye hiyo ya mgawanyo mzuri wa faida inakuwa $10,000 ya kweli au na yenyewe kibongobongo inadrop?
Namaanisha, inatakiwa Tzs ngapi kupewa a/c ya $10,000 na hao propfirm? Maana angalau a/c ya $10,000 ina mgawanyo mzuri wa faida kwa mjibu wa maelezo yakoNB | Uwe unahariri ujumbe kabla ya ku_post, imeniwia vigumu kuelewa nini hasa unahitaji kujua
inatakiwa Tzs ngapi kupewa a/c ya $10,000 na hao propfirm?
Na vipi hawa jamaa hawawezi kuunguza a/c makusudi ili wabaki na pesa za traders?
Wewe. utakayekuwa una_trade account husika, ndio unaunguza account, sio wao. Wao wanatoa mtaji na wanahitaji mgawane faida, inayopatikana.Na vp hawa jamaa hawawezi kuunguza a/c makusudi ili wabaki na pesa za traders?
Tofauti iko kwenye DrawDown limit | Aggressive drawdown limit ni mara mbili ya Standard.Tofauti kati ya standard na Aggreaive a/c ni nini hasa?
Hello Hornet, sijakuona siku nyingi kwenye jukwaa la biashara I hope you are doing fine. Happy women's day
Sabuni mche, unga na toilet cleaner
Mafuta ya mwili mepesi na mazito
Nimeipenda hii comment yako , asante respect Mkuu.