Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
huwezi kula bila kuliwa!Aheri niweke kwenye simu,NMB wanakata kama nini,sijui Salio Halisi,Salio lililopo,Lugha za kutuibia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi kula bila kuliwa!Aheri niweke kwenye simu,NMB wanakata kama nini,sijui Salio Halisi,Salio lililopo,Lugha za kutuibia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119]Humu Wengi Wanadaiwa Songesha, nipige tafu, Salary Advance, n.k
Wanaendekeza Uchawi na Wizi.
Nilimkaribisha mwana Jf mmoja geto kaniibia Buku 3 yangu.
🤣🤣🤣View attachment 2882288
Na milion 37 ila Voda wamesahau kuweka sifuri mbili na kuondoa hizo nukta
😂😂😂Subiri midangaji na mi single mama ya JF ikujalie inbox kuomba ruzuku na kukuahidi maajabu ya dunia
Mi nasubiri nione salio lako 😜Ngoja niwe mtazamaji ma-don wa jf waoneshane umwamba! Kuona penzi litazaliwa soon ngoja wafike
Hela yangu ipo kwa kijumbe🤣🤣Mi nasubiri nione salio lako 😜
Umenifariji sana mkuu🤣🤣Kwa tarehe hii chini ya 100k🤔 plus madeni ya kutoshatosha😝
Mkuu hongera sana, unaonaje ukinitoa hiyo laki naneKijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Nasubiri picha ya balance yako hapa nikushauri kitu 😜kwa umri wako that's very nice amount,
never give up, always aim higher you can make it even bigger and more better 🐒
Sio za kwakoKijana mwezangu mambo vipi? Katika mishe zako za utafutaji fanya vyote ila usikose akiba ya hela.
Tutafute pesa kwa juhudi zote ila pia tukumbuke na kuzitunza.
Unaweza kutunza pesa bila ya kuwa na tamaa ya matumizi yasiyo ya lazima?
Kama ni ndio tuambie akiba yako inaweza kufika kiasi gani cha pesa?
View attachment 2881850
Shosti una mibalaa weye 😂😂😂sina hata haja yakusema jina langu linajieleza
😀 😀 😀 😀 Kwamba laki 8.Mkuu hongera sana, unaonaje ukinitoa hiyo laki nane
Umetuletea kitu kipya. Avoc ni wapi mkuuHiyo pichq kaweka si yake.
Kaonyesha demo.wewe unafikiri mtu mwenye pesa atahangaika hapa jF kuonyesha pesa zake wakat havoc pisi zimejaa?
Na mi nimeshangaa wanaume wamejawa makasiriko na huu uzi wa mwanaume mwenzao.?!! Ilitakiwa wajibu mashambulizi kwa kutuwekea screenshot za kutosha, watuonyeshe wanawake mwanaume sio kumiliki p*mbu tyuu 🤣🤣🤣nilijua wanawake ndo wana wivu.kumbe wanaume umezidi .mkali ajabu hongera sana
avoc ndo nn tena?Umetuletea kitu kipya. Avoc ni wapi mkuu