Tetesi: Kijana toka Kanda ya Ziwa anaandaliwa baada ya Mihula ya Rais Samia kuisha

Kafulila ndio mpango wa Mungu mwenyewe
 
Kafulila ni mjinga ila watu wake ni wapumbavu. Hivi aliyewaambia kuwa ukiandikwa sana JamiiForums ndiyo utakuwa popular ni nani? CM 1774858
Kafulila katajwa wapi hapo mkuu,

Stress za nini?

Mimi navutiwa na Uzalendo wa Kafulila Kwa matumizi yangu binafsi tatizo liko wapi?
 
Mhutu tena?
 
hatuwezi kuruhusu mshamba mwingine aingie ikulu! bonde la uvuli wa mauti la JPM hatui
 
atasafirije nje ya nchi wakati kapigwa ban?
 
hivi alivyopotea asijekuwa ameenda kuzimu kupigwa, hapo anatokota kwenye sufuria, akirudi hapo kila mtu anampenda.
 
 

Leo ndo nimejua Kigoma na Tabora ni kanda ya ziwa
 
Sio mwingine Bali ni Kafulila!

Hiyo ni chenga ya mwili ya mama kuelekea 2025,counter balance ya kihisia Kwa Kanda pendwa Ili imuamini kwa upili ujao kutokana na tia maji tia maji zinazoendelea!!!
Ngoja tuone!
Kafulila hata Mimi nitaiunga mkono CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…