Na wewe uwe unaandika kwa codes.Naibu waziri mkuu au?
Tuna kanda ya ziwa moja. Watubwalioko kwenye mfumo wanafahamika codes za nini?Na wewe uwe unaandika kwa codes.
Tanzania hatumo kwenye mfumo wa vyama vingi.Hii nchi hamfikirii tena kama Kuna uchaguzi ulio huru na haki
Badala yake mnajitengenezea viongozi toka chama Tawala pekee, utadhani hii nchi ni ya mfumo wa chama kimoja😎
Kwanini?Tanzania hatumo kwenye mfumo wa vyama vingi.
Point iko hapa "Kanda ya Ziwa Magharibi ila Sio Ngosha"Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Hivi Kafulila ni nani saa hizi, mkuu wa wilaya au ni nani?Mpango wa TISS ni Kafulila Bashungwa sio raia wa Tanzania
Kwa maoni yangu katiba na sheria zetu zinahakikisha CCM lazima itawale.Kwanini?
Mawazo ya kijinga ya kikanda!Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Ndio cheo angalau chenye kutufaa sisi watu wa mikoa ya kanda ya ziwa. Urais hautufai kwa kigezo cha kumtazama JPM akiwa ndio mfano hai wa aina ya utendaji kazi wa mtu wa mikoa ya kanda ya ziwa.Biteko awe waziri mkuu..?unaongea kutoka kichwani..au tumbo ndio linaongea..
🤣🤣Ndio cheo angalau chenye kutufaa sisi watu wa mikoa ya kanda ya ziwa. Urais hautufai kwa kigezo cha kumtazama JPM akiwa ndio mfano hai wa aina ya utendaji kazi wa mtu wa mikoa ya kanda ya ziwa.
Huyo mbona ni mrundi hata hivyoWanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Je, wananchi wasipomtaka?Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Wewe ni msemaji wa kanda ya ziwa..jiongelee wewe na ujinga wako!Ndio cheo angalau chenye kutufaa sisi watu wa mikoa ya kanda ya ziwa. Urais hautufai kwa kigezo cha kumtazama JPM akiwa ndio mfano hai wa aina ya utendaji kazi wa mtu wa mikoa ya kanda ya ziwa.
Duh! Hapo penye “lazima” pamekaaje?Bashungwa naona kalipa watu wampigie kampein humu.All in all Rais baada ya Samia lazima awe Ngosha.
Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Kafulila?Wanasema ili kupunguza uhasama ndani ya chama apatikane kijana mwenye rekodi safi hasa ya kukataa rushwa au ufisadi kutoka Kanda ya ziwa Magharibi lakini Kwa sharti la kutokuwa ngosha.
Kwakutambua nguvu ya Kanda ya ziwa na Magharibi wanapendelea atoke mikoa ya Kigoma, Mwanza, Mara, Geita, Kagera au Tabora ila kamwe asiwe ngosha.
Makundi yote yanaonesha imani juu yake kwakuwa hana makundi lakini ni mtu mweledi na Uzalendo wake ni unquestionable kwani anarekodi za kukataa hongo kubwa kubwa pia anahofu kubwa ya Mungu na maisha yake ni ya kawaida kama aliyoyaishi Mwl. Nyerere.
Pia soma: Makonda anaandaliwa kuja kuwa kiongozi mkubwa sana hapa nchini?
Vimelea vya Uzalendo alivyonavyo Kafulila ni turufu kwa CCM
Kuelekea 2025 - Innocent Bashungwa ana sifa zote za kumrithi Samia baada ya 2030
Sijui kwanini, ila kila nikimtizama Waziri Biteko, ninaona picha ya Urais kwake
Huyo lango mbona ni mzeeHuyu atakuwa Dr. Tulia Ackson