To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hili ni angalizo tu wala sio sheria...mpaka mimi kufikia kuandika hivi kuna kitu nimejifunzaKipato cha chini wataolewa na nani? Hapo ni mipango na makubaliano ya mapena kabla ya kuanza kuishi pamoja la sivyo ndio majuto yanakuja. Unaweza kuoa mke anaetoka mazingira yeyote kama mtaelewana tu
Mwingine alikuja kunitembelea nyumbani kwangu akakuta marapa mengi mlangoni kwangu...eti shem naompa malapa yaani umasikini ni mwingi kinomaKudadadeki..ukioa sasa si ndo balaa
uo mwanamkea anayekunywa chai saa 5 kama wewe kwenu munakunywa chai saa 2 au saa 3Kijana wa sasa ambae hujaoa ila pia unategemea kuoa unapokuwa unatafuta mwenza jitahidi uchague mwanamke anaetoka kwenye familia ya kipato cha kati, vinginevyo itakuwa unaendeleza umasikini au utafanywa mgodi.
Vipi kuhusu upendo wa kweli / Agape love ukilinganisha kwa wanaotoka kipato cha chini /kati / juuu? je wanawake wanatofautiana?
Kweli,na ndoa ni makubaliano,unajua hilo?Mkuu hili ni angalizo tu wala sio sheria...mpaka mimi kufikia kuandika hivi kuna kitu nimejifunza
Uwezo wa kujikimu katika maisha ya kawaida ya mtanzania..mfano akihitaji kula nyama ataipata kwa muda, na pia hapa nazungumzia zile familia ambazo unakuta wana makazi ya kwao wenyewe yaani wamejijengaUngesema na hicho kipato cha kati ni kuanzia kiasi gani [emoji276]usije ukawa unamaanisha Elfu 3
Kweli eeh, hata mie nalelewa hapa na nke wangu, ndio advantage ya kuoa mwenye kipato chakeWatakuelewa wachache sana
😅😅😅😅😅 Haya mambo banaa acha tuKama changamoto za masikini huziwezi izo za kipato cha kati utaweza
Baba mkwe anakuambia kijana wangu nisaidie 30mil kuna tender nataka niimalizie hapa nikilipwa nakurudishia 😳
Changamoto hazikimbiwi 😃😅😅😅😅😅 Haya mambo banaa acha tu
Baba mkwe hawezi kukuomba m30 kama anaona kabisa huna fursa ya kuipata hiyo m30.......lakini pia kitendo cha baba mkwe kukuomba m30 ni kuwa una status ya kuwa na m30 au zaidiKama changamoto za masikini huziwezi izo za kipato cha kati utaweza
Baba mkwe anakuambia kijana wangu nisaidie 30mil kuna tender nataka niimalizie hapa nikilipwa nakurudishia 😳
Kwahio changamoto ni kila mahaliBaba mkwe hawezi kukuomba m30 kama anaona kabisa huna fursa ya kuipata hiyo m30.......lakini pia kitendo cha baba mkwe kukuomba m30 ni kuwa una status ya kuwa na m30 au zaidi
Sitaki hata kusikià hiz habari,tena msivyo na shukrani sasaKweli eeh, hata mie nalelewa hapa na nke wangu, ndio advantage ya kuoa mwenye kipato chake
Kwa familia masikini inakuwa ni zaidi mpaka inakuwa tatizoKwahio changamoto ni kila mahali
Hata ukioa familia maskini ukiwa unaombwa msaada ni kwamba wamekuona uwezo unao
Una ahadi yangu mamiiMasikini tuendelee na kilimo cha matikiti
Ya kunioa?😔 Au ipi ndugu yangu make hii thread imenivuruga nimekata tamaa ya kuolewaUna ahadi yangu mamii