Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Jamani unatamka hivi kweli je uhalisia wako wewe SI unamdomo mchafu sana aisee hata taka la manispaa hafadhaliKweli aisee kuna mmoja nilimtomba dada yake mara mbili tu si akajua aisee, mara akaanza kuniita shemeji tena hata mbele za wana. Sijakaa vizuri akaanza kunigongea hadi pesa ya msosi kwa mama lishe π π π
Wao Kwa waoMasikini wataolewa na nani???uchumi wa taifa utadhorota
hahahahhahahahhahahahah boss kwanza hongera pili pole kwa kumpenda baba mkwe kisa una chetua mwanae basi una mtoa kidogo kidogo unadhani na yeye hataki kitonga kama wewe? humbu tufanye na wewe umechukuwa binti kihalali kwa ndoa unadhania baba akija dai hela ya bia na wewe ndani hamna hela ya unga uta toa? ndio mana tuna rudi kwenye point mishe zingine tuna zitaka wenyewe ulikuwa una mtoa mzee koz una juwa kuna jinsi ulikuwa una mhujumu binti yake na hutaki weka mambo wazi hahahahahahah.Labda kama utavaa sura ya ukauzu...tegemea wageni nyumbani kwako au vinginevyo uwafukuze,, 2010 kuna sehemu niliwahi kuishi katika mazingira yale nikawa nimempenda dada mmoja wa kinyamwezi yule dada alikuwa ni mnene lakini alikuwa na mawowowo balaa..nikawa najilia mzigo kimyakimya sasa bwana baba wa yule binti akawa amefahamu sijui aliambiwa na nani kuwa yule mtaalamu jirani yako anamtomba binti yako............yaani unaambiwa yule mzee alivyokuwa akipata kiu ya pombe anakuja kukomaa kwangu mpaka nimpe hela ndio ataondoka πππ
Matabaka hayatakiwi,Watakuelewa wachache sana
Kuna uzuri na ubaya, unaweza nyanyaswa na mme au familia yao. Japo siyo wote, wanawake wengine wamelelewa vyema na hawana makuu. Ukimpata tulia you are lucky bro. Na usimchuneKipato cha juu vip?
Masking ataolewa na mwanaume tajiri, wewe masking unaoa masking yeye mkeo Hana neon ila ndogo wanaweza kukuchosha na hence mkakosana na mkeo. Ndugu wataweza kukukondesha kuliko hata hiyo mkeo. Na ndugu pia wana weza kuwa wanamsema mkeo kuwa kwanini kakubali kuolewa na maskiniMatabaka hayatakiwi,
Masikini wataolewa na nani, na ilihali mwanaume masikini kukubaliwa na binti anayejiweza ni kasheshe, kwahiyo mnataka masikini waoane wao kwa wao?? hizo ni classes.
Tuchangamane tu
Na kuoa/kuolewa kisa kipato badala ya upendo,mwisho wa siku ni majuto.
Kama ni masikini na ananipenda pasi na shaka, naoa
Lakni sio nioe mtu kisa ni middle income au higher income alafu na hanipendi, WTF??.
Mimi siyo bank, alikuwa wapi kujipanga. Je nisingeowa mwanae, asintanie. Ntasaidia napo wezaKama changamoto za masikini huziwezi izo za kipato cha kati utaweza
Baba mkwe anakuambia kijana wangu nisaidie 30mil kuna tender nataka niimalizie hapa nikilipwa nakurudishia π³
π€£π€£π€£π€£π€£Ya kunioa?π Au ipi ndugu yangu make hii thread imenivuruga nimekata tamaa ya kuolewa
Ni kweli kabisa ila watu si wanaongelea ushabiki tu, mtu utachelewa sana luendelea. Hata mimi nigekimbia, bora kuwa single mpaka upate mtu sahihi. Ila mech ndogo ndogo unapiga hata kwa kunnuaπ€£π€£Ni kweli unasho sema ata mimi nilikuwa na demu wangu mmoja sasa ana dada yake ana mtoto nilikuwa nashangaa mtoto ana umwa walumpeleka hospitali wakawa wanadaiwa pesa nikashanga napigiwa simu mimi nilipe nikabaki najiuliza huyo mtoto si ana baba yake kwa nini wasimbie baba mtoto, shangazi zake, baba zake wadogo na wakubwa na bibi zake wote wameachwa naambiwa mimi nikawa najiuliza kwanini baadhi ya fimilia zinalea watoto vibaya , Nika kaa na kutafakari mbona mimi ndugu zangu na wazazi wangu hawa niombi pesa sana kuliko upande wa ndugu wa mpenzi wangu tokea siku hiyo nimejiapiza siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanamke kwao na ndugu zake wana njaaa.
Unawaambia tu nipo vibaya kwani nayo ni lazima?Mimi nilishtuka mapema ...yaani binti hujamtolea hata mahari ndugu zake washaanza kukuletea shida..eti ohooo mara shem niongezee mtaji nataka nifungue genge la matunda,
Haya mambo ya ndoa hayana formula...kitu cha muhimu na cha kuzingatia muwe na mtizamo sawa wa kidini na kimaisha....hayo mengine muombeni Baba wa Mbinguni atawafungulia njiaSheria moja inasema kuwa ikitokea kama unatokea kipato cha chini au cha Kati , jitahidi wakati wakumchagua mtu wako asiwe wa level ya chini endapo ukiwa level ya chini...
Ikitokea upo level ya juu chagua ya chini lengo ni usisumbuke na matokeo ya siku za usoni
SafiKuna uzuri na ubaya, unaweza nyanyaswa na mme au familia yao. Japo siyo wote, wanawake wengine wamelelewa vyema na hawana makuu. Ukimpata tulia you are lucky bro. Na usimchune
Amekugusa huyu etiSafi
G-point yaan.....palepaleAmekugusa huyu eti
π€£π€£π€£ Kwani Unique Flower wewe hautombanagi jamani? Sisi wote tumezaliwa kwa sababu wazazi wetu walitombanaJamani unatamka hivi kweli je uhalisia wako wewe SI unamdomo mchafu sana aisee hata taka la manispaa hafadhali
Shenzii kabisa ngoja utaonaπ€£π€£π€£ Kwani Unique Flower wewe hautombanagi jamani? Sisi wote tumezaliwa kwa sababu wazazi wetu walitombana
Nini tena jamani? Vipi yule afisa mtoa ajira hajakusumbua tena baada ya kumtosa?Shenzii kabisa ngoja utaona
Tafuta pesa uongeze cvYa kunioa?[emoji17] Au ipi ndugu yangu make hii thread imenivuruga nimekata tamaa ya kuolewa