Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hapana,, oa yule moyo wako umemridhia, awe wa kitambaa cheupe ama kwa Mwamposa.Kwahiyo Hawa wanaoshinda kitambaa cheupe wakivuta shisha kutoka uswazi ndio wa kuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,, oa yule moyo wako umemridhia, awe wa kitambaa cheupe ama kwa Mwamposa.Kwahiyo Hawa wanaoshinda kitambaa cheupe wakivuta shisha kutoka uswazi ndio wa kuoa
Mnapambana nini? Kama si umalaya na kudanga.Ama kweli mpo kutuvuruga mwaka huu
Watu tukikaa nyumbani mnatuona legelege hatuwezi kujisimamia
Tukienda kupanga ili tuwe wapambanaji napo ni nongwa.
Samahani lakini mkuu kama nitakua nimekukuosea kwa hiki nitakachokisema.Unataka kufundisha watu ujinga mtupu wakati wewe mwenyewe hujielewi. Hivi unajua madhara ya binti anaeandamana au kushea kila kitu na mamske ni mwanamke wa aina gani?
Unajua kila kitu mtachotofautiana atamshirikisha mamske kitu ambacho sio sahihi kwenye ndoa?
Hivi wewe unaweza somesha binti yako umemwaga pesa kwa elimu yake halafu aje akae nyumbani kwa babake na mamake asuburie kuolewa?
Suala la mahusiano halihusiani kbs na uwepo wa mwanamke au mwanaume mjini au kijijini nyumbani au maofisini. Ishi hapa ni nani anamchukua nani kwa kuangalia kupendana sio mali. Unataka kuoa binti anaekaa na baba na mama au unataka kuoa mwanamke kwasababu umempenda?
Acha kuvuka daraja kabla hujalifikia, ingia kwenye ndoa uishi kwa miaka 5 ndio uzungumzia maisha ya ndoa.
Kwa asilimia ngapi ukilinganisha na hoja ya Mleta mada, au kasema kuwa Ke wanaoishi na Wazazi wao ni Ke wema kwa 100% sawa na Malaika?Utakuja kulia vibaya wewe. Watu wanaishi geti kali na wanaruka ukuta wanaenda disco wanarudi saa 11 na wazazi hawajui kitu.
Mbona wanazalia nyumbani sasa[emoji23][emoji23][emoji23] na wapo kwenye mikono ya wazazi? Na wanarudi nyumbani mapema?
Oa mwanamke ambaye uhuru haumchanganyi. Sasa wewe oa mwanamke aliyefugwa kwenye cage siku usafiri apate uhuru uone atakavyoutumia.
Mimi hata mara 10 naoa, kwani dini ndiyo itaishi na Pisi Kali wangu au mi mwenyewe?Tena zimejaa na still Wana ruhusa ya kuoa mara 4
Mkuu msamehe aise 😂😂Umepata wako wapi wewe amber rutty usiekua na bikira hata moja. uko juu si wewe ndo umeuliza muolewe na nani? Kaolewe na aliekutoa bikira, pumbavu kabisa.
NAPINGA.Bado hutujui wanawake
Nasisitiza!
Bora anaishi mwenyewe na anaejielewa kuliko aliye chini ya wazazi lkn anaruka ukuta anarudi alfajiri!
Siku akiwa huru ndo utajua hujui!
Oa ambae mwanamke mwenye hofu ya Mungu,akili ya maisha,malezi kiujumla,ambae kwake kuwa huru sio issue!
Nk
Kosa lilianzia bustanini Eden Adam alimwachia uhuru Ever hatimaye...Nyie wanawake ni wabishi sana kamwe hamkubali ukweli. Mtoa mada yupo sahihi, mwanamke hatakiwi kuachiwa uhuru.
Sawa father Abrahamsawa na Malaika?
Fuata akili sio MoyoHapana,, oa yule moyo wako umemridhia, awe wa kitambaa cheupe ama kwa Mwamposa.
Mama akiwa Ke Mwema kwa Baba basi Binti ataakisi tabia ya Ke Mwema, hakuna ujanja ataoufanya Binti yeyote bila Mama yake Mzazi kujua, hata akijidanganya kuliwa na Mlinzi wa geti kali au House maid bado atabambwa tu maana foolish age anayopitia Binti hata Mama yake alipitia.Mwenye akili hata kama akiwa kwao utaiona tu akili yake. Au unamaanisha akili ya maisha ni mwanamke mpaka saa mbili ya usiku anazurura mtaani for nothing???
Nikupe mfano
Siku moja nipo na jamaa angu bodaboda
Sasa tukiwa tunatembea akasema hawa wanawake unaowaona wanatembea hapa barabara hata kama kabeba mtoto wote wanajiuza. Nikabisha.
Akawa kila akikutana na mwanamke anamsimamisha anamzingua ili tujue kweli wanauza? Kwanza kabisa tukakutana na mmama mmoja age 40s yule boda akamwambia samahani dada naweza pata msichana wa kua nae usiku huu?? Yule dada naona alikua kalewa basi aliwaka akawa anasema. Wewe unataka msichana au unataka K***m?? Eti hakuna msichana huku wasichana wote wapo na mama zao jikoni muda huu. Ilikua saa tatu..
Unaona hata mdada anayejiuza anajua kabisa mwanamke ni wa kukaa na mama yake mapema yupo ndani anasaidia kuandaa chakula cha usiku
Me yeyote anayebadili dini sababu ya kuoa au kuishi na Ke kimahusiano tayari kashaasi UANAUME, Ke ndiye hupaswa kubadili dini sababu huwa chini ya Me kifamilia.Kumekucha!
Kuna single mother ana 31 kaolewa december.
-hana shuguli ya maana mjini na kapanga almost 5years na mtoto ana miaka6
- amelelewa na mama tu wazazi wake waliachana akiwa shule ya msingi
-mwanaume akabadili dini kumfata mwanamke
hilo unalizungumziaje? mana mnatuchanganya
Iyo ni Imani Yako ,hupangiwi mkuu!Eti hofu ya mungu Tena hao ndio wa kuogopa kama Shetani
Bora uoe baamedi kuliko hao wa kujiita wana hofu ya mungu
Da'Vinci haya sasa😀Mkuu mm nilimtoa kwao Tena wazazi wake ni mashaidi wa yehova. Lakn HAKUNA rangi ñiliacha ona.
B4
Ukipinga Kwa hoja ni nzuriNAPINGA.
Weka hapa mkasa tujifunze maana maisha ni lesoni isiyoisha hadi tunapokufa Binadamu.Mapenzi kitu yaliyonifanya sina hamu ya kua mshauri
Ke aniitaye "Babe" ilihali kidevu changu kimekomaa kwa kunyoa midevu kama goti la mbuzi huwa namwona ananiigizia mapenzi kabisa...[emoji6]Babe I am here talk to me I decided to be with you always [emoji8][emoji8][emoji8]
Watu wanataka kukulana kimasihara [emoji119][emoji2]Dah
Huu uzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]