Hujaona za Komunio?Nimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Hayo yalikuwa maoni yangu! kuna wengine pesa wanazo na bado hawaoni sababu ya kufanya na hasa kwa wanaume.Shida umaskini degree eti za kawaida sababu nyingi hivyo eti hamna haja ya sherehe
Birthday mbona nyingi kuliko degree na watu wanafanya kila mwaka mtu yule yule kila mwaka anafanya birthday tena wengine kwenye kumbi kabisa
Tafuta hela
Shida ni maokotoNimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Haaah....! Niko humu mkuu. Ahahahaaaa...! Nini mbaya mkuu?Kheee na wewe upo humu?
Binafsii sihudhurii birthday ya kukata keki. May be kitimoto na bia
Ila graduation nafanya sherehe, course work, test, presentation ue, hio muhimu....
Issue ya mtoto kuwa laini ni mzazi na sio sherehe!!
Hutak graduation? Why kwann usijikubal for your own success? Kujikubali, kujipongeza kwanza kabla sijafika kwa wengineHaaah....! Niko humu mkuu. Ahahahaaaa...! Nini mbaya mkuu?
Wanaume wanaosapotii mambo km Haya mkuu kwa asilimia kubwa ni wale japo ni wa kishua inawezekana kwa upande mwngn ambao kwa asilimia kubwa weng wao ni watoto wa mama, tough moments hawazijui kiaina.Ni hivi.
Kwa MTAZAMO wangu, mtoa mada yupo sahihi kwa upande fulani.
Amespecify MWANAUME kufanya sherehe. Tena ya Ukumbini na unaita na MC? nyie mnaona ni sahihi?
Yaan Mwanaume unakaa mbele pale na MC unakuta wa KIKE anaanza kukupamba pamba pale..! Nyie mnaona ni sawa? Ni MWANAUME Mpumbavu ambaye anaweza kuona hilo swala ni Sahihi.
Narudia ni MWANAUME Mpumbavu pekee na aina hii ya Mwanaume baadae kuombwa mzigo/Marinda ni kawaida.
😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Narudia tena kuuliza hivi kwann watu wenye hela wakitumiaga hela zao always masikini wanaonaga jamaa hawana akili wanachezea hela
Ni kutoelewa, ili pesa iwafikie waliochini lazima tajiri atumie hata Kwa mambo ya kijingaNarudia tena kuuliza hivi kwann watu wenye hela wakitumiaga hela zao always masikini wanaonaga jamaa hawana akili wanachezea hela
Hii point nimeielewa sana ,Binafsi nimekaa mtaani Ila mtaani bila Elimu ya chuo kikuu kwa kijana Mdogo bado unapoteza sight na insight
Hii ni suffering mentality tulizonazo watu masikiniNimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
fuatilia matokeo yake utujuzeNimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Umaskini wa familia yako sio wa kila mtu. Alafu ukute level ya elimu aliomaliza na ww ni mbingu na ardhi. Mwenzako mapiga degree ww certificate unataka graduation ya nn alafu familia maskini watoe wapi hela za kulipa mcNimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Level ya Diploma vipi? 🤔Degree kwa kijana ni Jambo kubwa na Hakuna utajiri unaozidi MAARIFA ukiwa na maarifa utaushinda umasikini
Utaushinda ujinga
Chuki wivu na visasi
Binafsi Mtu anayefanikiwa Kupata degree anabidi kufanyiwa sherehe kubwa Sana endapo PESA ipo hata kama Haipo unaweza kukopa ilimradi Utimize lengo
Vita ya kuushinda ujinga na kuwa na MAARIFA sio Vita ya kubezwa hata kidogo
Binafsi nimekaa mtaani Ila mtaani bila Elimu ya chuo kikuu kwa kijana Mdogo bado unapoteza sight na insight
MAARIFA ni utajiri mkubwa acha kijana ale Bata na afurahie matunda ya jasho lake .
✌️✌️✌️✌️ Victory belong to no one ila Mungu tu.
Tena hapo after graduation anapewa ndinga kali mtaji wa biashara na washua wake wanafanya connection tcra nssf tpdc ww endelea kuwaza zege unalobeba toka umalize cheti 2017😂😂😂Unafanya Graduation kubwa halafu unaishia kuwa mbeba zege kitaa.
Inaleta huzuni Sana labda awe wa mboga Saba na connection za uhakika
😂Tafuta hela wewe, jinsia nyingine wananunuliwa harrier hukoNimepita maeneo flani nmekuta Graduation ya kijana wa kiume sherehe kama harusi hadi kuna MC ivi kweli mtoto wa kiume anafanya ivo.
Nikikumbuka 2017 nilitoka kwenye Graduation nikaenda kucheki game ya Man utd kama hakuna kilichotokea
Last year rafiki angu aligraduate kafanyiwa party ukumbn, kapewa macho matatu pro max, na duka la spare parts.Tena hapo after graduation anapewa ndinga kali mtaji wa biashara na washua wake wanafanya connection tcra nssf tpdc ww endelea kuwaza zege unalobeba toka umalize cheti 2017[emoji23][emoji23][emoji23]