Kijana wa miaka 14 auawa kwa risasi akijaribu kumdunga kisu afisa wa polisi wa Israel

Kijana wa miaka 14 auawa kwa risasi akijaribu kumdunga kisu afisa wa polisi wa Israel

Hivi kijana mdogo kama huyu mtampa mabikira? Ina maana hao mabikira watapewa kwa vitoto pia au hadi ufikie umri gani...
Unamuonea wivu mpaka mtoto mdogo 😀
Anaelipa Allah anajua kila namna ya kulipa na ndio mbora wa kuhukumu tena kwa haki kabisaaa
 
Duh huu msala Ukorofi sio mzuri kwanini atake kumchoma mwenzie na kisu UISLAM ni dini ya Shetani
 
Nimekumbuka movie ya eastern condors ya akina kipanya kuna askari alimwonea huruma mtoto wa ki vietinum dogo kamtia kisu
 
Unamuonea wivu mpaka mtoto mdogo 😀
Anaelipa Allah anajua kila namna ya kulipa na ndio mbora wa kuhukumu tena kwa haki kabisaaa
Huu ndo upumbavu yaani kuhusisha ujinga wenu wa kutaka kuua na allah
 
Hawa ni magaidi na sio watoto
20240206_184847.jpg
 
Mnaosema eti ni katoto vipi kama angefanikiwa kumchoma visu au kumpoka silaha huyo meja madhara yake mnaelewa,safi meja unapokuwa na chuma hakuna masihara kabisa..
 
Ata ingekua ni mimi, wazazi na ndugu zangu wameuliwa mbele ya macho yangu na wauaji bado wanaendelea kuua ndugu marafiki na jamaa zangu wengine ningewafata wauaji kwa kisu ata kama wangeniua na baadae kunitangaza gaidi.
 
Ata ingekua ni mimi, wazazi na ndugu zangu wameuliwa mbele ya macho yangu na wauaji bado wanaendelea kuua ndugu marafiki na jamaa zangu wengine ningewafata wauaji kwa kisu ata kama wangeniua na baadae kunitangaza gaidi.
Chanzo cha Hao wauaji mpaka kuua ni nini maana mtu hawez kuanza kuua tu [emoji848][emoji625]
 
Chanzo cha Hao wauaji mpaka kuua ni nini maana mtu hawez kuanza kuua tu [emoji848][emoji625]
Mimi na wewe tunaulizana chanzo jf lakini sidhani kwaakili ya uyo kijana alikua na akili ya kujua chanzo.
Jaribu kuwaza wanayoyapitia hao vijana wa hapo gaza ndio utajua akili zao haziwazi kama tunavyowaza mimi na wewe.
 
Hawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike

Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
We unaweza kuona kameshika kisu kumbe kwenye koti kana bomu kanawakaribia tu kanaachia pini mnalala watu kama kumi hivi...
 
Hawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike

Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
Unaongea tu au ? hivi ushasikia maoni ya watu wa Gaza wanavyoilaani Hamas? au kutwa kushinda kutizama Al Jazeera wachochezi na wasema uongo kwa mujibu wa Dini yao feki
 
Mtoto kaepuka kubarikiwa kama nyie yaani mtu mzima kama wewe ushapata baraka tayar
Hata enjoy sababu ataelewa kwa ile mibikira uzao wa aAllah meupe kama negativu.. bad news akienda kule anaweza geuza yeye ndio houri bikira kataliwa kiboga na mtume wao
 
Mnaosema eti ni katoto vipi kama angefanikiwa kumchoma visu au kumpoka silaha huyo meja madhara yake mnaelewa,safi meja unapokuwa na chuma hakuna masihara kabisa..
Kama angefanikiwa alitakiwa amuue huyo gaidi wa kizayuni
Wazayuni wanatakiwa wafyekwe wote kwa wingi
 
Back
Top Bottom