Kijana wa miaka 14 auawa kwa risasi akijaribu kumdunga kisu afisa wa polisi wa Israel

Kijana wa miaka 14 auawa kwa risasi akijaribu kumdunga kisu afisa wa polisi wa Israel

Hata enjoy sababu ataelewa kwa ile mibikira uzao wa aAllah meupe kama negativu.. bad news akienda kule anaweza geuza yeye ndio houri bikira kataliwa kiboga na mtume wao
Magaidi ya kizayuni yanatakiwa yauliwe kila siku
 
Huu ni ukatili usiokubalika. Katoto kadogo hako hata kama kangekuwa na kisu kalitakiwa kaonywe kwa kuchapwa fimbo tu na sio kumuua kwa risasi. Hawa mayahudi wa mchongo wamezidi ukatili.

Lakini nikikumbuka walivyomfanya Mollel wetu. Wacha wapigwe risasi nimehairisha kuwatetea. Wacha wauawe tu.
Puumbavu!! Mtu kabeba kisu ili kudhuru na kuua hata kama kana miaka 7 ni kukaua tu
 
Hawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike

Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
Ccm inakutesa hapa inakulaza gizani no maji no umeme watu wanakufa kukosa huduma muhimu mbona upo upo. Nenda palestina kajiunge uwasaidie
 
Hivi wapalestina wana njia nyingine ya kupambana na Israel tofauti na Violence? Tofauti ya HAMAS na UMKHONTO WESIZWE ya Nelson Mandela ni ipi? Unakumbuka Rabbin alianzisha mchakato wa suluhu na Yasser Arafat chini ya Bill Clinton, nini kilimtokea? Ukielewa nini maana ya kudhulumiwa na ukawa huna njia ya kupata haki yako, utaelewa kuwa VIOLENCE IS A FAIR OPTION.
Wamezulumiwa nini
 
Ata ingekua ni mimi, wazazi na ndugu zangu wameuliwa mbele ya macho yangu na wauaji bado wanaendelea kuua ndugu marafiki na jamaa zangu wengine ningewafata wauaji kwa kisu ata kama wangeniua na baadae kunitangaza gaidi.
Ndio mana israel inawamalixa wapalestina bada kuuwa watu 1300 tar7
 
Huu ni ukatili usiokubalika. Katoto kadogo hako hata kama kangekuwa na kisu kalitakiwa kaonywe kwa kuchapwa fimbo tu na sio kumuua kwa risasi. Hawa mayahudi wa mchongo wamezidi ukatili.

Lakini nikikumbuka walivyomfanya Mollel wetu. Wacha wapigwe risasi nimehairisha kuwatetea. Wacha wauawe tu.
Kuna watu hamjui mambo haya. Huyo mtoto hajafanya hivyo kwa bahati mbaya. Tangu ndani ya familia, shuleni na katika vyombo vyao vya habari wanawahamasisha kila mtu afanye lolote angalau kuua waisraeli. Kuna matukio mengi watoto wametumika kuua askari na raia wa kawaida wa israeli kupitia njia hii. Kama umeangala vizuri, yule askari alimsogelea kijana vizuri kama kutaka kumsikiliza, lakini mtoto lengo lake aue. Sasa katika hali ya kawaida, askari hapo afanyeje
 
Mimi na wewe tunaulizana chanzo jf lakini sidhani kwaakili ya uyo kijana alikua na akili ya kujua chanzo.
Jaribu kuwaza wanayoyapitia hao vijana wa hapo gaza ndio utajua akili zao haziwazi kama tunavyowaza mimi na wewe.
Umeona Yaliyompata Lakini...Nadhani Yameendana Na Jibu Lako Hili
 
Kule hakuna hiyo huruma si umeona huyo polisi wa kiisrael ni wakike lakini anamimina za kutosha kwa kijana
Wa kike ndo nini? Kwamba wanawake hawawezi kumimina risasi??

Wamezingua kumuua huyo dogo.
 
Yes, alaf na wewe unakufa story inaishia hapo mazayuni wanabaki...
Hawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike

Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
 
Hivi kama
wewe ni mjinga usiejielew

wewe ni mjinga usiejielewa kwanza huyo ni mtoto na pia vilevile hao sio magaidi kwa jinsi unavyowatangazia wanapigania haki yao isitoshe izrael ndio magaidi na wamarekani na wewe ni chawa wao
huyo mtoto angefanikiwa kumchoma kisu jamaa asingedhurika hata kufa.... Sasa kwanini akiuawa mtetea ni mtoto, hii chuki wakulaumiwa ni wanaonufaika na mzozo wa palestina na israeli, shauri yao wanaopigana... Kuna busara katika kugeuza shavu la kushoto, kuliko jino kwa jino na waliokuzidi nguvu..
 
Back
Top Bottom