Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Unamuonea wivu mpaka mtoto mdogo ๐Hivi kijana mdogo kama huyu mtampa mabikira? Ina maana hao mabikira watapewa kwa vitoto pia au hadi ufikie umri gani...
Ni sahihi.Ila sasa,wanafyekwa wao.Ndio maana hamas wanataka wawafyeke hawa magaidi wa kizayuni na wauaji
Chanzo cha Hao wauaji mpaka kuua ni nini maana mtu hawez kuanza kuua tu [emoji848][emoji625]Ata ingekua ni mimi, wazazi na ndugu zangu wameuliwa mbele ya macho yangu na wauaji bado wanaendelea kuua ndugu marafiki na jamaa zangu wengine ningewafata wauaji kwa kisu ata kama wangeniua na baadae kunitangaza gaidi.
Mimi na wewe tunaulizana chanzo jf lakini sidhani kwaakili ya uyo kijana alikua na akili ya kujua chanzo.Chanzo cha Hao wauaji mpaka kuua ni nini maana mtu hawez kuanza kuua tu [emoji848][emoji625]
CuteOh jamani! ๐ฅน๐ฅน
He is too young & cute!
We unaweza kuona kameshika kisu kumbe kwenye koti kana bomu kanawakaribia tu kanaachia pini mnalala watu kama kumi hivi...Hawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike
Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
Unaongea tu au ? hivi ushasikia maoni ya watu wa Gaza wanavyoilaani Hamas? au kutwa kushinda kutizama Al Jazeera wachochezi na wasema uongo kwa mujibu wa Dini yao fekiHawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike
Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
Kadanganywa kuna Allah atamsaidia kumbe Allah ni fiction story ya over 1600 years ambaye alikuwa ni MweziAiseeee! kijana mdogo kafa kwa upuuzi wake na kitabu kile cha shetani kimemponza.
Hata enjoy sababu ataelewa kwa ile mibikira uzao wa aAllah meupe kama negativu.. bad news akienda kule anaweza geuza yeye ndio houri bikira kataliwa kiboga na mtume waoMtoto kaepuka kubarikiwa kama nyie yaani mtu mzima kama wewe ushapata baraka tayar
Uwe unasoma na kuelewa kabla ya kukurupukaHuu ndo upumbavu yaani kuhusisha ujinga wenu wa kutaka kuua na allah
Mara hii mpaka bungo litemwe yaaniNi sahihi.Ila sasa,wanafyekwa wao.
Hawajakuzidi wewe lkn ugaidiHawa ni magaidi na sio watoto
View attachment 2896245
Kama angefanikiwa alitakiwa amuue huyo gaidi wa kizayuniMnaosema eti ni katoto vipi kama angefanikiwa kumchoma visu au kumpoka silaha huyo meja madhara yake mnaelewa,safi meja unapokuwa na chuma hakuna masihara kabisa..