Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Magaidi ya kizayuni yanatakiwa yauliwe kila sikuHata enjoy sababu ataelewa kwa ile mibikira uzao wa aAllah meupe kama negativu.. bad news akienda kule anaweza geuza yeye ndio houri bikira kataliwa kiboga na mtume wao
Puumbavu!! Mtu kabeba kisu ili kudhuru na kuua hata kama kana miaka 7 ni kukaua tuHuu ni ukatili usiokubalika. Katoto kadogo hako hata kama kangekuwa na kisu kalitakiwa kaonywe kwa kuchapwa fimbo tu na sio kumuua kwa risasi. Hawa mayahudi wa mchongo wamezidi ukatili.
Lakini nikikumbuka walivyomfanya Mollel wetu. Wacha wapigwe risasi nimehairisha kuwatetea. Wacha wauawe tu.
Ccm inakutesa hapa inakulaza gizani no maji no umeme watu wanakufa kukosa huduma muhimu mbona upo upo. Nenda palestina kajiunge uwasaidieHawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike
Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
Wamezulumiwa niniHivi wapalestina wana njia nyingine ya kupambana na Israel tofauti na Violence? Tofauti ya HAMAS na UMKHONTO WESIZWE ya Nelson Mandela ni ipi? Unakumbuka Rabbin alianzisha mchakato wa suluhu na Yasser Arafat chini ya Bill Clinton, nini kilimtokea? Ukielewa nini maana ya kudhulumiwa na ukawa huna njia ya kupata haki yako, utaelewa kuwa VIOLENCE IS A FAIR OPTION.
Ndio mana israel inawamalixa wapalestina bada kuuwa watu 1300 tar7Ata ingekua ni mimi, wazazi na ndugu zangu wameuliwa mbele ya macho yangu na wauaji bado wanaendelea kuua ndugu marafiki na jamaa zangu wengine ningewafata wauaji kwa kisu ata kama wangeniua na baadae kunitangaza gaidi.
Kuna watu hamjui mambo haya. Huyo mtoto hajafanya hivyo kwa bahati mbaya. Tangu ndani ya familia, shuleni na katika vyombo vyao vya habari wanawahamasisha kila mtu afanye lolote angalau kuua waisraeli. Kuna matukio mengi watoto wametumika kuua askari na raia wa kawaida wa israeli kupitia njia hii. Kama umeangala vizuri, yule askari alimsogelea kijana vizuri kama kutaka kumsikiliza, lakini mtoto lengo lake aue. Sasa katika hali ya kawaida, askari hapo afanyejeHuu ni ukatili usiokubalika. Katoto kadogo hako hata kama kangekuwa na kisu kalitakiwa kaonywe kwa kuchapwa fimbo tu na sio kumuua kwa risasi. Hawa mayahudi wa mchongo wamezidi ukatili.
Lakini nikikumbuka walivyomfanya Mollel wetu. Wacha wapigwe risasi nimehairisha kuwatetea. Wacha wauawe tu.
Ni sawa vile umeona,ila samahani Mkuu uliwahi kupita hata JKT?Kama angefanikiwa alitakiwa amuue huyo gaidi wa kizayuni
Wazayuni wanatakiwa wafyekwe wote kwa wingi
Umeona Yaliyompata Lakini...Nadhani Yameendana Na Jibu Lako HiliMimi na wewe tunaulizana chanzo jf lakini sidhani kwaakili ya uyo kijana alikua na akili ya kujua chanzo.
Jaribu kuwaza wanayoyapitia hao vijana wa hapo gaza ndio utajua akili zao haziwazi kama tunavyowaza mimi na wewe.
Halaf huyo alumuua atabakia milele hapa duniani 😀sasa dogo kasha pelekwa peponi sijui sahizi yupo bao la ngapi penyewe mtoto
NimepitiaNi sawa vile umeona,ila samahani Mkuu uliwahi kupita hata JKT?
AbominationCcm inakutesa hapa inakulaza gizani no maji no umeme watu wanakufa kukosa huduma muhimu mbona upo upo. Nenda palestina kajiunge uwasaidie
Huu ndio mzizi wa tatizoHawa ni magaidi na sio watoto
View attachment 2896245
Wa kike ndo nini? Kwamba wanawake hawawezi kumimina risasi??Kule hakuna hiyo huruma si umeona huyo polisi wa kiisrael ni wakike lakini anamimina za kutosha kwa kijana
Hivi non violent knife ndo kisu gani hichi...
Hawa wa Israel nilikua upande wao lakini hii haikubaliki, dogo ameshakimbia nilitegemea hata kama kilikua na ulazima wa kum restrain basi wangeshoot hata mguu, idf na weledi wote huo anashindwa hata kumlenga mguu wamshike
Ila Kuna mchambuzi wa vita wa marekani anasema Israel wamezidi kuzalisha Hamas wengi kupitia vita hii, hata mi ningekua mpalestina ambaye sijajiunga na Hamas alafu let's say watoto wangu, mke, ndugu washauliwa aisee sasa ntakua na Nini Cha kupoteza tena, ni kutafuta yoyote nilale nae mbele tu
huyo mtoto angefanikiwa kumchoma kisu jamaa asingedhurika hata kufa.... Sasa kwanini akiuawa mtetea ni mtoto, hii chuki wakulaumiwa ni wanaonufaika na mzozo wa palestina na israeli, shauri yao wanaopigana... Kuna busara katika kugeuza shavu la kushoto, kuliko jino kwa jino na waliokuzidi nguvu..wewe ni mjinga usiejielew
wewe ni mjinga usiejielewa kwanza huyo ni mtoto na pia vilevile hao sio magaidi kwa jinsi unavyowatangazia wanapigania haki yao isitoshe izrael ndio magaidi na wamarekani na wewe ni chawa wao