Hivi kama
huyo mtoto angefanikiwa kumchoma kisu jamaa asingedhurika hata kufa.... Sasa kwanini akiuawa mtetea ni mtoto, hii chuki wakulaumiwa ni wanaonufaika na mzozo wa palestina na israeli, shauri yao wanaopigana... Kuna busara katika kugeuza shavu la kushoto, kuliko jino kwa jino na waliokuzidi nguvu..