Kijana wa miaka 28 anywa sumu baada ya kuambiwa mtoto aliyekuwa akimlea si wake

Unajinyonga alafu iwe nini, anyway rest in peace champ.
 
Washenzi hawa wanafikiri issue ni pesa. kuna emotional attachment kati ya Baba na huyo mtoto ambayo ndio ndio inawezekana ilimuumiza jamaa zaidi. Ila vijana wa sasa wana low EQ.
 
Washenzi hawa wanafikiri issue ni pesa. kuna emotional attachment kati ya Baba na huyo mtoto ambayo ndio ndio inawekana ilimuumiza jamaa zaidi. Ila vijana wa sasa wana low EQ.
Kabisa mnama
 
Dah kama ni hivyo wangu wote ni nnje hadi mimi pia nipo nnje.
Ahahha ili siku mwanamke akisema hawa sio watoto wako unamwambia haya ondoka peleka kwa baba yao waje wakae wangu sasa mnajaza nafas kwa makusudi unamleta kidume wako wa njee anakaa utaona nan anapata mhaho
 
umeanza porojo zako
 
siku hizi marehemu nao wanalaumiwa. Cc: Kiranga
mpumbavu huyo, ilo ndio jambo la kujiua yaan kuambiwa mtoto si wako unakimbilia jiua

na binti anakaa kwao, je angekuwa anakaa nae akapata ule usumbufu wa kulala macho kubembeleza mtoto na baadae unaambiwa sio wako na wala hakuna matata,

dogo nae akili ndogo
 
Ahahha ili siku mwanamke akisema hawa sio watoto wako unamwambia haya ondoka peleka kwa baba yao waje wakae wangu sasa mnajaza nafas kwa makusudi unamleta kidume wako wa njee anakaa utaona nan anapata mhaho
Kila siku nasisitiza unywaji wa bia zaidi kuliko kuendekeza mapenzi mnaniona kibwengo , ukinywa bia kidogo na kuvuta bangoooo kidogo hauwezi kuwa na akili ya kinyumbu hivi .
 
Kila siku nasisitiza unywaji wa bia zaidi kuliko kuendekeza mapenzi mnaniona kibwengo , ukinywa bia kidogo na kuvuta bangoooo kidogo hauwezi kuwa na akili ya kinyumbu hivi .
Haahh sawa tutakunywa

Kuna jamaa alizaa mtoto wa njee akawa analinga umri na mtoto wa ndani ya ndoa sasa wale watoto wakawa wanasoma shule moja bila kujuana mkubwa ambaye ni wa ndani ya ndoa akasikia kuna mtoto mwingine wanafanana majina ya mwisho akamfwata kumuuliza yule mtoto we jina lako nani akamtajia majina yote akamuuliza baba yako anafanya kazi wapi akamwambia sehemu ambayo baba yake anafanya kazi alipo rudi nyumban yule mtoto aka mwambia mama yake palinuka nakwambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…