DOKEZO Kijiji cha Kazuramimba (Uvinza, Kigoma): Mauaji yaliyofanywa 4/10/2023 ninayekemea kwa nguvu zote, Majeruhi wako wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ila hali imayoendelea huko siyo haki, ule ni udhalilishaji kwakweli. Unamtambuaje mchawi kama na wewe siyo mchawi?
Nakumbuka stori yako ya kutoka Kgm to Dar ilikuwa kama unatupanga hivi kumbe ndio kweli upo safarini! [emoji3]
 
Kwa hili nipo upande wa police,mm nipo Congo kwa sasa naona hasara kubwa ya wana inchi kuto kutii sheria kila mtu ni katili ni kama hakuna serikali, ndiyo maana amani ziro police wetu na nilazima wazibiti hayo mambo kwa nguvu zaidi.
 
Unamtambuaje mchawi kama na wewe siyo mchawi?
Nadhani kuna vifaa maalumu vinatumika, kuna mtu alikuwa anaitwa Mwandulami alitaka kuanzisha mafunzo ili mambo ya jadi yatumike kwa faida ikiwa ni pamoja na usafiri wa anga kwa mtu mmoja mmoja ila serikali ikamtia pini
 
Kama haki inapatikana kirahisi hivyo hapa bongo daini mpewe katiba mpya.
Ewe mjuvi wa mambo....

Unafananisha haki za kawaida na mambo ya katiba mpya?!! [emoji15][emoji1787]

Unafeli wapi mwanamji wewe ? [emoji1787]
 
[emoji2956]
 
Hawa raia walikosea kuvamia kituo cha Polisi.Yule aliyekimbilia Polisi,alikwenda mahali,ambapo atapata usalama.Sasa inakuwaje wengine wamfuate huko ili wamuadhibu?
 
Wangepigwa mabomu kabisa, wao wanabakia kituo cha polisi itakuwa n majambazi ya Burundi yanataka kupora bunduki zetu
 
Maoni yako ni mazuri sana.Kwa nini wanaletwa watu wakuwazulia wenzao uchawi?Hao wakamatwe,wafunguliwe kesi ya mauaji,hao Kamchape.
 
Kwa hili nipo upande wa police,mm nipo Congo kwa sasa naona hasara kubwa ya wana inchi kuto kutii sheria kila mtu ni katili ni kama hakuna serikali, ndiyo maana amani ziro police wetu na nilazima wazibiti hayo mambo kwa nguvu zaidi.
Huko Congo waambie taifa pekee lililobarikiwa sana tena sana duniani ni Tanzania....

Ngorongoro ndiko atokako nabii Adam (A.S)....

Waukane uraia wa kwao waje kuomba huku "pepo ya dunia".....

#Alhamdulillahi kwa kuwa mtanzania [emoji120]

Thanks Yahweh [emoji120]
 
Watu wanasemaga Waha ni wabishi sana.Sasa unakwenda kuvunja polisi unategemea nini na bado unalalamika eti watu wameuwawa.Polisi wako sawa niko upande wao Waha shida sana
 
Mwijaku popote ulipo....

Tafadhali yakemee hayo MAMBO ya ndugu zako hapo WASAFI FM [emoji120]

#Polisi Wetu Ni Wa Kwetu[emoji120][emoji120]
 
Nchi ni yenu...

Askari ni wenu....

Mahakama zipo....

Mnatumiaje njia za kihuni kuitafuta haki yako ?!!!! [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…