Kijiji chote kimesombwa na Mafuriko, Kanisa limebaki

Uko nje ya madam mkuu
 
Inamaana hicho Kijiji hakina Shule,zahanati, Police post, mbona hamsemi kama vimesombwa AU laa
AU mnataka kubadilisha mada
 
Nimewahi kuwa mjumbe wa kamati za ujenzi wa makanisa kadhaa.
Kusema ukweli ujenzi wa makanisa husimamiwa vyema sana sana,mimi ni shuhuda katila hili.
Kiroho hili pia linawezekana japo sina ushahidi usio na shaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…