Wkt wewe una graduate ulikua na hali gani?Swala ni mtambuka hili,Kama uko kazini (ajirani) utanielewa zaidi...graduates wetu ni nowmer.
Uendeshaji wa elimu hapa Tanzania wapewe kanisa Katoliki waiendeshe angalau kwa miaka 10 ili waweke msingi thabiti halafu ndio serikali ikabidhiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una akili sana.Na chimbuko la msingi ni maslahi duni kabisa anayopewa mwalimu wa msingi na sekondari.Hawa watu wamesahaulika,dharaulika,kila mtu anaenda kuwafokea na kuwatishia.Nimeongea na walimu wengi sana aisee wapo kwenye mgomo baridi.Yani they don't care kuhusu kufundisha vile inavyotakiwa kabisa.Halafu baraza la mitihani linaogopa kufelisha wanafaulisha then haooo chuo.Waendelee kula maisha ila kizazi cha hovyo kinajengwa.
Hao wanaojadili na wanaojadiliwa wote sawa sawia.sasa ndalichako ukimsikiliza pumba zake anatofauti gani na yericko nyerere.Kuna tetesi kuwa kikao cha dharura kimeitishwa mjini Dodoma kinachowakutranisha wakuu wote wa vyuo vikuu nchini.
Hatua ya kuitia kikao hicho imetokana na hali mbaya ya wahitimu wa vyuo vikuu nchini ambapo mara wanapoajiriwa katika sehemu mbalimbali wanashindwa kufanya kazi ambazo zingine ni rahisi kabisa.
Wahitimu wengine wanashindwa kuandika barua za maombi ya kazi, kushindwa kufanya majaribio mbalimbali na hata pia kushindwa kuandika taarifa kwa kwa lugha ya Kiswahili na pia kwa lugha ya kiingereza.
Waziri wa elimu profesa Naalichako ameamua kuitisha kikao hicho kujadili kuona wapi kuna tatizo.
Pia kikao hicho kinatarajiwa kujadili hali ya utoaji wa rishwa ya ngono kwa wanafunzi wa kike vyuoni ambapo huadiwa alama za juu ili kufaulu mitihani yao ya mwaka wa mwisho kwa masharti ya kushiriki vitenndo vya ngono na wahadhiri wao.
Ni muhimu taarifa kama hizi zikawekwa kwenye umma ili kuuelimisha kuhusiana na hali halisi ya kudorora kwa kwa kasi ya juu kwa utaji wa elimu ya juu nchini na kuachia wanafunzi khasa wa kike kutegema kutoa miili yao ili kupata alama nzyri.
Others are Masters and Phd holders.Can't imagine the way they argue and reasoning.TerribleSwala ni mtambuka hili,Kama uko kazini (ajirani) utanielewa zaidi...graduates wetu ni nowmer.
Waking kibao mbona wanapitia shulebzao kuanzia chekechea Hadi vyuo vyao vikuu vilivyoko nchini.Uendeshaji wa elimu hapa Tanzania wapewe kanisa Katoliki waiendeshe angalau kwa miaka 10 ili waweke msingi thabiti halafu ndio serikali ikabidhiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikao cha namna hii kimechelewa sana. Hicho kikao kitatenda jambo jema sana kama kitaamua iundwe tume yenye watalaam na wafanye utafiti wa kuna na kuja na suluhisho la matatizo. Hiyo tume ikusanye maoni kutoka kwa wadau wengi na itoe mapendekezo ya ni nini kifanyike. Juzi nilikuwa nafanyakzai fulani na dada mmoja aliyemaliza Masters Degree Chuo Kikuu Mlimani, du.... aisee Mungu ndiye anajua. Mambo basic ya four six hajui yaani kichwani ni mweupee...Kuna tetesi kuwa kikao cha dharura kimeitishwa mjini Dodoma kinachowakutranisha wakuu wote wa vyuo vikuu nchini.
Hatua ya kuitia kikao hicho imetokana na hali mbaya ya wahitimu wa vyuo vikuu nchini ambapo mara wanapoajiriwa katika sehemu mbalimbali wanashindwa kufanya kazi ambazo zingine ni rahisi kabisa.
Wahitimu wengine wanashindwa kuandika barua za maombi ya kazi, kushindwa kufanya majaribio mbalimbali na hata pia kushindwa kuandika taarifa kwa kwa lugha ya Kiswahili na pia kwa lugha ya kiingereza.
Waziri wa elimu profesa Naalichako ameamua kuitisha kikao hicho kujadili kuona wapi kuna tatizo.
Pia kikao hicho kinatarajiwa kujadili hali ya utoaji wa rishwa ya ngono kwa wanafunzi wa kike vyuoni ambapo huadiwa alama za juu ili kufaulu mitihani yao ya mwaka wa mwisho kwa masharti ya kushiriki vitenndo vya ngono na wahadhiri wao.
Ni muhimu taarifa kama hizi zikawekwa kwenye umma ili kuuelimisha kuhusiana na hali halisi ya kudorora kwa kwa kasi ya juu kwa utaji wa elimu ya juu nchini na kuachia wanafunzi khasa wa kike kutegema kutoa miili yao ili kupata alama nzyri.
Umejuaje Kama ni mweupe ?Kikao cha namna hii kimechelewa sana. Hicho kikao kitatenda jambo jema sana kama kitaamua iundwe tume yenye watalaam na wafanye utafiti wa kuna na kuja na suluhisho la matatizo. Hiyo tume ikusanye maoni kutoka kwa wadau wengi na itoe mapendekezo ya ni nini kifanyike. Juzi nilikuwa nafanyakzai fulani na dada mmoja aliyemaliza Masters Degree Chuo Kikuu Mlimani, du.... aisee Mungu ndiye anajua. Mambo basic ya four six hajui yaani kichwani ni mweupee...
πππJoyce alikuwa mhadhiri UDSM. Anajua kabisa tatizo la rushwa ya ngono UDSM.
Katika hao wakuu wa vyuo aliowaita, wapo miongoni mwao waliotoa marks ili wapate ngono kwa wanafunzi. Hilo pia analijua fika. Wapo wanaotumia wahadhiri wengine kuwatafutia dogodogo wa kutafuna.Wakifeli marks zinabadilishwa kwa nguvu ya wakubwa.
Wasipoteze hela za umma kufanya vikao wakati tatizo na wahusika wanajulikana.