Kikao Cha Kamati Kuu, kwenye Habari ya Maridhiano, Mbowe akiri alifanya kosa kubwa


..kwani jumuiya ya kimataifa hawaoni kinachoendelea?

..binafsi nadhani kuendelea kumlaumu Mbowe ni jitihada za kukwepa kukabiliana na Samia na Ccm yake.

..Kikatiba Samia ndiye Waziri wa Tamisemi kwasababu wizara hiyo iko chini ya Ofisi ya Raisi. Mchengerwa na Naibu Waziri tu ktk wizara hiyo.

..Sasa uchaguzi umevurugwa na Tamisemi kwanini hatumlalamikii Samia na serikali badala yake tunamshutumu Mbowe?

..Hivi kutenda haki ktk chaguzi zetu kunahitaji maridhiano? Je, Mbowe alimshikia bastola Samia ili akitekeleza falsafa yake ya 4R?Mbowe anahusika vipi na maamuzi ya Bunge la Ccm kupuuza maoni ya wadau kuhusu kuunda Tume Huru ya uchaguzi?
 


Samia ana tuzo ya demokrasia na siasa safi. Acha kuongea pumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…