Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Labda umri wako bado haujakomaa vilivyo kuweza kuimudu hoja ya kuolewaKabisa yaani lakin sijui why siwez Yani tukifika hapo na mtu Huwa nachanganyikiwa hata wiki siwez hata kula vizuri
πππMm Sina tatizo sabbu naitwa tu njoo ukae hapa nikulishe mwanaume akisema haoi ni changamoto ππNyani haoni kunduleπ€£π€£π€£π€£π€£
Umri wangu Mkubwa tuLabda umri wako bado haujakomaa vilivyo kuweza kuimudu hoja ya kuolewa
Forced labourCjaolewa kwa sababu cdvggbfddffff yaani sababu ni zilezile
Unataka malaika au?Kwasababu sijapata wa kunioa
daah nimecheka kipuuzi, like njoo kaa hapa nikulishe,,,πππMm Sina tatizo sabbu naitwa tu njoo ukae hapa nikulishe mwanaume akisema haoi ni changamoto ππ
Mweeee hayo ndio mapenzi sasa usipopenda ndio unapendwa.Tena inaweza kuwa na zaidi Kwa jinsi jamaa anavonihusudu lakini Mimi Sasa sijui nimerogwa au ndio akili za kitoto
Yani nikitamkiwa ndoa mapigo ya moyo yanfika 240 Kwa saa
Changamoto kivipi tena wakati mambo easy tuuπππMm Sina tatizo sabbu naitwa tu njoo ukae hapa nikulishe mwanaume akisema haoi ni changamoto ππ
Kumbe eehMweeee hayo ndio mapenzi sasa usipopenda ndio unapendwa.
Wee olewa na huyo anayekupenda kuliko unavyompenda.
Ukienda unalopenda wewe aisee utakuja lia hapa jf
Unafaa kuoaKwasababu sijapata wa kunioa
Ndio nakwambia sasa wee kaa hapo unapopendwa....huyo atakama umemkosea wewe msamaha ataomba yeye π€£π€£π€£π€£Kumbe eeh
Yanazungumzika haya mama sisi wengine wazunguSijaolewa kwasababu nina mwili wa mbu kimbaomba wanakosa pakushika
ππNavopenda kubembelezwa Sasa nimekaa kilast born ππNdio nakwambia sasa wee kaa hapo unapopendwa....huyo atakama umemkosea wewe msamaha ataomba yeye π€£π€£π€£π€£
Kama nakuona unavyo jibebishaaaaππNavopenda kubembelezwa Sasa nimekaa kilast born ππ
ππKama nakuona unavyo jibebishaaaa
Tunafanyaje sasa Aaliyyah βΊοΈOa wew acha visingizio
Unskilled labour πForced labour
Low wages
Poor infrastructure ππ