Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
A Sisyphean task.😂😂😂A real philosophical quest
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A Sisyphean task.😂😂😂A real philosophical quest
Sikuuliza simply kwakua sikulihitaji kwangu mimi naamini hakuna hizo contra sasa niulize kutafuta nini? Ndio maana nilikwambia hizo contra ni kutokana na wewe kutokujua kitabu husika na umeshindwa kutafsiri hivyo hilo sio kosa langu bro.Yani hata hili swali ulishindwa kuuliza mpaka nikusaidie mimi kuwa unatakiwa kuuliza?
Are you that dense?
Sasa mbona umeuliza baada ya mimi kukusema huna utashi?Sikuuliza simply kwakua sikulihitaji kwangu mimi naamini hakuna hizo contra sasa niulize kutafuta nini? Ndio maana nilikwambia hizo contra ni kutokana na wewe kutokujua kitabu husika na umeshindwa kutafsiri hivyo hilo sio kosa langu bro.
ebu nambie amepigwa wapi ya amepata madhara gani? unajua maana ya kupigwa wewe? huwezi rushiwa mabomu mia mbili na ukaweza kuyazuia yote..Urusi ana mitambo ya kisasa zaidi duniani kuzuia makombora ya S500 lakini drone zinapiga hadi moscow na zingine zinaenda mbali zaidi ya moscow unalijua hilo mzee? we unafikiri kuzuia makombora ni rahisi kama kutengeneza uji wa kupikia vitumbua?Huo uongo tu wa kwenye makaratasi kama tulivyokuwa tunadanganywa Israel ukipiga bomu linadunda, six day war, taifa la mungu nk. Cha kushangaza kapigwa na iran akiwa kwake na vitu vimepenya wamekuja na stori eti hakuna madhara, zile stori za mabomu hayaingii zimekufa
ebu tupe wewe real figure za uchumi wa israel na iranHuo uongo tu wa kwenye makaratasi kama tulivyokuwa tunadanganywa Israel ukipiga bomu linadunda, six day war, taifa la mungu nk. Cha kushangaza kapigwa na iran akiwa kwake na vitu vimepenya wamekuja na stori eti hakuna madhara, zile stori za mabomu hayaingii zimekufa
A Sisyphean task.