Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

Kwanza unaelewa roho ni nini? Siwezi kukuthibitshia kitu ambacho hukijui brother.
Elezea roho ni nini halafu thibitisha ipo.

Mimi sikubali kwamba roho ipo.

Define roho ni nini, halafu thibitisha ipo.
 
🤣😂 Kwani kikao cha kwanza kukaliwa na hao mashog,a baada ya kipigo kutoka Iran?

Iran imeonya wakijaribu tu kujibu watakumbana na kipondo kikali mara 1000 zaidi ya cha jana.
Boss mzigo mzigo unawasubiri,hiyo mara 1000 ndio unawasubiri, kaeni mkao wa kula
 
ananunua kwa hela gani mzee..
GDP ya Iran ni around 300 usd Billion
GDP ya Israel ni around 500 usd billion
haya hapo nani ananunua na nani anakopa?
Huo uongo tu wa kwenye makaratasi kama tulivyokuwa tunadanganywa Israel ukipiga bomu linadunda, six day war, taifa la mungu nk. Cha kushangaza kapigwa na iran akiwa kwake na vitu vimepenya wamekuja na stori eti hakuna madhara, zile stori za mabomu hayaingii zimekufa
 

Attachments

  • IMG_8861.jpeg
    IMG_8861.jpeg
    85.1 KB · Views: 1
  • IMG_8709.jpeg
    IMG_8709.jpeg
    72.8 KB · Views: 1
hahaha MAOMBI TU ndio mwenyezi mungu alitujalia uwezo, hatuna kingine tunaweza kufanya kwa ufanisi, haya tunapiga magoti baba
 
Kwani hujui kama Iran hapo inaishi na vikwazo na uchumi wake tofauti na wewe ambae nchi yako haina vikwazo hata kimoja
  • sio nchi yako sema nchi yetu.
  • waliowekea Iran Vikwazo ndio hao wanatoa misaada kwenye nchi yetu mimi na wewe, unatumia pesa za US, UK, EU ambao wamewekea Vikwazo Iran,
 
Elezea roho ni nini halafu thibitisha ipo.

Mimi sikubali kwamba roho ipo.

Define roho ni nini, halafu thibitisha ipo.
Is one of the forms of energy. Energy exists simple example electric and electromagnetic energies. Sasa kwanini ukatae roho haipo wakati hata maana yake hujui?
 
Mkuu unapoizungumzia Iran unazungumza kuhusu a real threat kwa mataifa yote ya EU sio hicho kidubwasha kilichoanzishwa kimchongo mwaka 1948.
Alikasusu ikikolea vizuri. Unawaza Iran ni kuwa sana kivita kuliko nchi zote
 
🤣😂 Kwani kikao cha kwanza kukaliwa na hao mashog,a baada ya kipigo kutoka Iran?

Iran imeonya wakijaribu tu kujibu watakumbana na kipondo kikali mara 1000 zaidi ya cha jana.
We pumbu we we hi I karibuni yule Mungu wenu ayatola atalishwa vumbi msalie ayatola
 
Is one of the forms of energy. Energy exists simple example electric and electromagnetic energies. Sasa kwanini ukatae roho haipo wakati hata maana yake hujui?
Electric and electromagnetic energies can be measured.

How do you measure the roho energy?
 
Iran nisawa na Goliati alie watisha Israel kwa miaka akaja katwa kichwa na kijana mdogo. Hakuna Taifa duniani litaweza kupigana na Israel yaani hata dunia nzima leo tuungane kupigana na Israel lazima washinde.... Mungu analiangalia neno apate kulitimiza.
Umeona umeandika kitu cha maana kabisa hapa jf
 
Electric and electromagnetic energies can be measured.

How do you measure the roho energy
Tatizo akili yako imefungwa kwenye science only ina maana elimu nyingine huamini kama inaweza jibu maswali yako, lakin nitapitia logic ya science humo humo, body ya binadam ni product ya atoms, lakin roho from Quran perspective na nilivyo understand ni kiumbe kingine kilichomo ndani ya binadam na mtu anapokata roho means anatenganishwa na hio energy. Experience ya kitabu inasema roho huanza kutolewa kidole gumba vya miguu mpaka inafika koromeo. Na ilipotoka roho panabaki baridi kabisa. Hivyo roho ni lile joto mwili kwa tafsiri ya Quran ukichanganya na common sense. Hivyo joto mwili linapimika kwa thermometer ukija ki science.

Lakin elimu ya dini ni imaani Zaidi ambayo wewe hio huna na hutaki kutumia common sense kujoin the two ili uelewe wewe huamini katika si called dini hivyo twende kikomo sense zaid
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.

Tuombe Mungu atuvushe salama
Wajumbe:
Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
Jaman hichi kikao bado hakijapata muafaka au
 
Wakimaliza kikao nataka watume ndege yenye sumu itakayoua kuanzia watu Hadi funza na sisimizi.

Na kama wanaogopa kubonyeza kitufe nipo tayari kwenda kuifanya hiyo kazi
Kuna mambo ya kuyashadadia, lkn siyo vita, natamani ungeelekeza maombi kwa watuwasio na hatia ambao watakutana na hiyo adha ya vita!
 
Back
Top Bottom