Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

Israel hatakaa akamtisha Iran kamwe...

Kama Israel mwanaume kweli aingie vitani peke yake na Iran bila msaada wa USA na Western countries muone namna atakavyo chakazwa.

Mwanaume mzima unalialia kuomba misaada mara USA mara UK kwa nini usipigane mwenyewe? Wewe si unajisifia kuwa una jeshi Imara hapo middle East why calling for the USA and UK and Canada, France, Germany etc to support you?

Israel is a non existing state without USA and allies. But Iran kidume it stands alone...
- Iran nayo iombe msaada wa washirika wake kama inaweza.
 
Mkuu unapoizungumzia Iran unazungumza kuhusu a real threat kwa mataifa yote ya EU sio hicho kidubwasha kilichoanzishwa kimchongo mwaka 1948.
Russia alisema ataipiga Ukraine ndani ya masaa 72. Na yoyote atayeingilia anampa kichapo. Kikowapi sasa mpaka leo anahangaika na ka Ukraine. Au wataka kusema Iran ni powerful kuliko Russia?
 
Ni mara ya kwanza Iran kummiminia mvua ya makombora moja kwa moja Israel?

Si alipigwa makombora mia tatu zaidi ya jana na aliufyata?

Ulikuwa bado hujazaliwa? Hii ni Iran mkuu mataifa yote ya ulaya na Marekani walikaa na mwanaume mmoja kumuomba apunguze urutubishaji wa uranium lakini aliwavimbia na hakuna kitu wamemfanya.
-kitu alichofanywa Iran aliwekewa vikwazo via kiuchumi,nchi itaingia kwenye umasikini
 
Hata wafanye kikao mwezi mzima hakutakuwa na jibu la maana.ni wazi kwa sasa mifumo yao imezidiwa ujanja na wa Iran.
Kwa kilichotokea jana kiukweli ni funzo tosha kuwa awapoo salama
Mkuu hivi wewe umebahatika kuona picha au video ya madhara aliyofanya Iran jana kule Israeli tofauti na kuona makombora yakitua? Binafsi sijaona.
 
Huko Tel Aviv kuna kikao kinaendelea cha kujadili mazishi na majeruhi wa jana na leo

NA BADO mpaka maji waite mma!
Je wewe mkuu unapicha au video ya maafa yaliyosababishwa na yale makombora? Maana kila naye muomba anatuma video za yale makombora yakipaa na kutua Israel.
 
Siku sio nyingi nuclear rods zilizopo kwenye nuclear reactors za muIRAN zita overheat na kusababisha mlipuko mkubwa na kupoteza miundombinu muhimu na wanasayansi kadhaa. Iran itajitokeza na kusema ni ajali ya kawaida ila MOSSAD yatasema MISSION ACCOMPLISHED.....


Mark my words... MOSSAD ni ile ile inapiga matukio IRAN afu wanasepa
 
Mkuu hivi wewe umebahatika kuona picha au video ya madhara aliyofanya Iran jana kule Israeli tofauti na kuona makombora yakitua? Binafsi sijaona.
Waambie waiache aljazeera ifanye kazi yake kwanza alafu uje ueleze picha zitakavyo mimi nika kule
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.

Tuombe Mungu atuvushe salama

Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
Picha Please
 
Russia alisema ataipiga Ukraine ndani ya masaa 72. Na yoyote atayeingilia anampa kichapo. Kikowapi sasa mpaka leo anahangaika na ka Ukraine. Au wataka kusema Iran ni powerful kuliko Russia?
Russia alisema lini au ndio wazee waku bet mpaka maneno
 
Eti ndio taifa teule hili na kuna mbweha kabisa anashupaza shingo kuamini upumbavu huu.

Sijui wachungaji wanawapa nini hawa kondoo maana wanadanganywa vitu vidogo ambavyo hata mtoto mdogo anabaini ukweli.
Unaweza ukawa sahihi kuwa wanadanganywa, je na wale wanaoambiwa kuwa watapewa mabikra 72,je ni kweli hilo? Au na wao ni wale wale?
 
Kama na hili hulijui basi mkuu, nimekosea kukuuliza hilo swali.
Sio silijui hakuna huo ushahid wa hayo manenona tangu mwaka juzi hakuna humu alie thibitisha kua Russia alisema ataipigia Ukraine ndani ya masaa 72 zaid ya mageneral wa marekani ndio walikua wanaropoka kwa kuweweseka
Na kama unabisha leta ushahidi hapa
 
Waambie waiache aljazeera ifanye kazi yake kwanza alafu uje ueleze picha zitakavyo mimi nika kule
Mkuu sasa mbona hiki ni kituko, ina maana walivyorusha makombora yao walikuwa wanategemea kujua madhara au targets ambazo zimekuwa hit kwamba Israeli itawaruhusu Aljazeera waende wakafanye kazi then ndiyo wawaambie hao Iran!! Hiki ni kituko sasa, so kifupi mpaka sasa hawajui wamepiga wapi au wameleta madhara gani mpaka Aljazeera aruhusiwe kwenda kufanya kazi 😂😂😂😂😂😂
 
Mkuu sasa mbona hiki ni kituko, ina maana walivyorusha makombora yao walikuwa wanategemea kujua madhara au targets ambazo zimekuwa hit kwamba Israeli itawaruhusu Aljazeera waende wakafanye kazi then ndiyo wawaambie hao Iran!! Hiki ni kituko sasa, so kifupi mpaka sasa hawajui wamepiga wapi au wameleta madhara gani mpaka Aljazeera aruhusiwe kwenda kufanya kazi 😂😂😂😂😂😂
Kuna sehemu iran walikwambia hawajui wapi wamepiga nimekwambia wewe unae taka picha zirushwe jua hao mazayuni wamepiga marufuku picha zisipigwe maeneo ya matukio
Pili kazi ya irani ni karusha makombora na kakwambia nime hit target kama kweli haja hit target onesheni maeneo yenu kama yako salama
Na kinyume chake kutoweza kuonesha maeneo yenu kama yako salama na kuanza kukialia ujue mmepigwa haswa
 
Yaani wayahudi wafanye vikao vyao uko, Afu wee mtanzania umuombe Mungu akuvushe salama! 🤔
Mwanangu kwa huku kwetu anaweza kuibuka kiongozi na kusingizia bei ya mafuta ya kupikia yamepanda kisa vita ya Iran na Israel.
 
Ayatollah ana nyege jamani na this time anataka mabikira tu.
Kwa taarifa tu asilimia 80 ya majeshi ya iran hizbollah houth na hamas kipaumbele chao cha kwanza kwenye vita hua wanatamani kufa

Kwa hivi vifo vyao vinawadhangaza nyie tu kwao ni sehemu walii jiekea katika akili zao
 
Angekuwepo, usingehitaji kuniambia wewe, angeniambia mwenyewe.

Ukishaona haja ya kuniambia Mungu yupo tu, ujue hayupo.
Wewe ni muongo wa Karne, na kama kweli wewe kiranga huamini uwepo wa Mungu basi ka muingilie mama yako mzazi tena awe mkeo, ukifanya hivo utakuwa huamini uwepo wa Mungu, na kama hujawahi kumfanya mama yako basi upo ktk kumuamini Mungu,
Why, Mungu ndiye aliyempa cheo na daraja mama kupitia vitabu Quran nk, hata bibilia pia imesema, na sayansi inasema tendo la ndio ni mchakato wa ki biology ili reproduction itokee,


Note:,mbuzi, paka Simba wana ingiliana wao kwa wao
 
Back
Top Bottom