Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

Wadau hamjamboni nyote?

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.

Tuombe Mungu atuvushe salama

Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
Kikao cha kawaida hicho usitutishe bana. Na ujue tu Israel hatashambulia Iran wakati huu. Wao hua wanawawinda iran mtu mmoja mmja au kupiga maeneo yenye maslahi ya Iran nje ya Iran.
 
Israel hatakaa akamtisha Iran kamwe...

Kama Israel mwanaume kweli aingie vitani peke yake na Iran bila msaada wa USA na Western countries muone namna atakavyo chakazwa.

Mwanaume mzima unalialia kuomba misaada mara USA mara UK kwa nini usipigane mwenyewe? Wewe si unajisifia kuwa una jeshi Imara hapo middle East why calling for the USA and UK and Canada, France, Germany etc to support you?

Israel is a non existing state without USA and allies. But Iran kidume it stands alone...
iran anasaidiwa na urusi china na north korea, je unalijua hilo au hujui?
iran hana jeuri ya kusimama alone yule ndo hamna kitu kabisa
 
Kikao cha nini wao si wanaume waingie vitani waache kulialia na waache kuomba misaada kutoka USA na Western countries.
IRAN ndio kidume hapo hasaidiwi na kima yeyote na hategemei misaada.

Fanya kamsaidieni bwana wenu huko anahangaika kuna casualties wengi wametangaza emergency medical huko North baada ya kichapo cha Hizbollah
eti iran hasaidiwi Bwege kweli wewe

From the 1990s to 2022, Russia provided, off and on, important military assistance to Iran across the ground, aerospace, and naval domains, largely focused on hardware instead of technology transfers. In addition to Russian support to Iran’s nuclear program, this assistance included the provision of tanks, armored vehicles, anti-tank missiles, combat aircraft, helicopters, and surface-to-air missiles, among others. Assistance
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.

Tuombe Mungu atuvushe salama

Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
Mungu hayupo, hivyo hawezi kutuvusha salama.

Sema jingine.
 
Kikao cha nini wao si wanaume waingie vitani waache kulialia na waache kuomba misaada kutoka USA na Western countries.
IRAN ndio kidume hapo hasaidiwi na kima yeyote na hategemei misaada.

Fanya kamsaidieni bwana wenu huko anahangaika kuna casualties wengi wametangaza emergency medical huko North baada ya kichapo cha Hizbollah
IRAN KILA KITU ANAPEWA NA URUSI

 
Wadau hamjamboni nyote?

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.

Tuombe Mungu atuvushe salama

Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
Mpango wa kumalizana na Iran upo kabatini kwa miongo miwili sasa. Bibi alikiwa anatafuta sababu akautoe kabatini. Sababu kashapewa na Ayatollah lazima alambishwe vumbi safari hii
 
Israel hatakaa akamtisha Iran kamwe...

Kama Israel mwanaume kweli aingie vitani peke yake na Iran bila msaada wa USA na Western countries muone namna atakavyo chakazwa.

Mwanaume mzima unalialia kuomba misaada mara USA mara UK kwa nini usipigane mwenyewe? Wewe si unajisifia kuwa una jeshi Imara hapo middle East why calling for the USA and UK and Canada, France, Germany etc to support you?

Israel is a non existing state without USA and allies. But Iran kidume it stands alone...
Iran iko serious kweli. Kurusha makombora zaidi ya mia moja inamaanisha wanaweza kurusha maelfu ya makombora. Israel nayo inaamini inaweza kuidhiti Iran nchi iliyo advance kijeshi.
 
Kikao watakuwa wemeita na mcheza cinema wapange movie ya uwongo kuficha aibu mana duniani kwasasa habari ndio iyoo wamekutana na wahuni zaid yao awatanii wanakuletea moto kweli kweli awawachokozi tn kwasasa wanatafuta namna.kumaliza vita mana awapo salama wamegundua jamaaa wanawazoom tu. Kujibu msaaau picha inaemda kwisha. Mwamba ni IRAN oll the best
 
Israel hatakaa akamtisha Iran kamwe...

Kama Israel mwanaume kweli aingie vitani peke yake na Iran bila msaada wa USA na Western countries muone namna atakavyo chakazwa.

Mwanaume mzima unalialia kuomba misaada mara USA mara UK kwa nini usipigane mwenyewe? Wewe si unajisifia kuwa una jeshi Imara hapo middle East why calling for the USA and UK and Canada, France, Germany etc to support you?

Israel is a non existing state without USA and allies. But Iran kidume it stands alone...
Good english accent!.
Lazima hujazingatia madrasa wewe.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu.

Tuombe Mungu atuvushe salama

Mkuu wa shin bet Ronan Bar
Mkuu wa Mossad David Barnea,
Waziri wa ulinzi Yoav Galant
Mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Harzi Halevi
Mnadhimu Mkuu Meja Jenerali Roman Gropman
Hao manguchiro hawana lolote weupe mishale inapenya hadi vyumbani mwao🤣🤣🤣🤣
 
Israel hatakaa akamtisha Iran kamwe...

Kama Israel mwanaume kweli aingie vitani peke yake na Iran bila msaada wa USA na Western countries muone namna atakavyo chakazwa.

Mwanaume mzima unalialia kuomba misaada mara USA mara UK kwa nini usipigane mwenyewe? Wewe si unajisifia kuwa una jeshi Imara hapo middle East why calling for the USA and UK and Canada, France, Germany etc to support you?

Israel is a non existing state without USA and allies. But Iran kidume it stands alone...
Mpk Sasa Iran anashirikiana na Hizbollah , Houth , Hamas na Urusi ila Israel unataka asishirikiane na mtu
 
🤣😂 Kwani kikao cha kwanza kukaliwa na hao mashog,a baada ya kipigo kutoka Iran?

Iran imeonya wakijaribu tu kujibu watakumbana na kipondo kikali mara 1000 zaidi ya cha jana.
Kama sio muoga
Baada ya kupiga angetulia asubiri majibu ya Israel kimya kimya
Sio kutupigia kelele ,😀😀😀
 
Wahajemi ni watata kuliko mnavyodhania sidhani kama wanaweza kutishwa na Israel na pia ni watu wavumilivu kupita kiasi..
Watu hawaelewi somo wanadhani vita ni zana waajemi wana moyo mgumu sana wakupigana vita ata karne nzima, hizo silaha walizonazo ni advantage tu wale jamaa na warusi sio watu wazuri kabisa kwenye vita fanya ufanyavyo utakalishwa tuu
 
Back
Top Bottom