Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

Iran nisawa na Goliati alie watisha Israel kwa miaka akaja katwa kichwa na kijana mdogo. Hakuna Taifa duniani litaweza kupigana na Israel yaani hata dunia nzima leo tuungane kupigana na Israel lazima washinde.... Mungu analiangalia neno apate kulitimiza.
 
🤣😂 Kwani kikao cha kwanza kukaliwa na hao mashog,a baada ya kipigo kutoka Iran?

Iran imeonya wakijaribu tu kujibu watakumbana na kipondo kikali mara 1000 zaidi ya cha jana.
Nakuhakikishia iran hana hiyo nguvu
 
Kama sio muoga
Baada ya kupiga angetulia asubiri majibu ya Israel kimya kimya
Sio kutupigia kelele ,😀😀😀
Sio kelele anatoa angalizo kwamba yeye hataki kufika huko mnakompeleka. Kwanza kile cha april alionya hivihivi jaman msirudie sitaki vita wameleta Shobo kaaupgrade kidogo tu kile cha april kelele dunia nzima sasa ame draw line, kiukweli ishu sio kumpiga Iran ishu ni kwamba east middle yote itachafukwa hilo waliangalie pia hawatakaa kwa amani mazayuni inaweza ikachukua miaka mingi kuwaweka sawa ila ulafi wa mazayuni wanataka pachimbike pote kumbuka watakao fungua anga wote watakua wahanga na wao hawatakubali kupigwa hivyo kumshambulia Iran will be a big mistake unless US atafaidika na hii mess
 
Hicho kikao wapo peke Yao au na mabasha zao Marekani na uingereza?
 

Attachments

  • Screenshot_20241002-211524.jpg
    Screenshot_20241002-211524.jpg
    502.8 KB · Views: 1
Nakuhakikishia iran hana hiyo nguvu
Hujiulizi tu kama Iran asingekuwa na nguvu na tishio hadi kufikia sasa zaidi ya saa 24 hakuna reaction yoyote iliyochukuliwa.

Ingekuwa makombora yamerushwa na Syria unadhani hadi muda huu pangekuwa kimya? Lazima angelipa kisasi kikali ndani ya masaa mawili tu.
 
Hicho kikao wapo peke Yao au na mabasha zao Marekani na uingereza?
Eti ndio taifa teule hili na kuna mbweha kabisa anashupaza shingo kuamini upumbavu huu.

Sijui wachungaji wanawapa nini hawa kondoo maana wanadanganywa vitu vidogo ambavyo hata mtoto mdogo anabaini ukweli.
 
Iran nisawa na Goliati alie watisha Israel kwa miaka akaja katwa kichwa na kijana mdogo. Hakuna Taifa duniani litaweza kupigana na Israel yaani hata dunia nzima leo tuungane kupigana na Israel lazima washinde.... Mungu analiangalia neno apate kulitimiza.
Ehhh Mungu weeee angalia hiki nacho ni kiumbe ulichokileta duniani na hakina umuhimu wowote masikini weee!

Ungekuwa na independent thinking walau kidogo tu ungejishangaa sana kwa hiki ulichokiandika.

Kweli Mungu awe na taifa teule la mashoga? Seriously?
 

Attachments

  • downloadfile-357.jpg
    downloadfile-357.jpg
    502.8 KB · Views: 1
Iran nisawa na Goliati alie watisha Israel kwa miaka akaja katwa kichwa na kijana mdogo. Hakuna Taifa duniani litaweza kupigana na Israel yaani hata dunia nzima leo tuungane kupigana na Israel lazima washinde.... Mungu analiangalia neno apate kulitimiza.
Sunday skuul😆😆😆
 
Nakuhakikishia iran hana hiyo nguvu
Samahani, upo MOSSAD?? Au ndiyo yale mahaba niue! Punguza mahaba, wale ni binadamu wana sifa zote za kibinadamu! Angalia makosa waliyofanya jana na leo!

Eight Israeli soldiers killed in fighting with Hezbollah inside Lebanon, says IDF​




Ukiwa na hiki kitu mara nyingi huwezi kuona uhalisia wa mambo!

mahaba

hali ya kuingiwa moyoni na mtu au kitu na kukithamini zaidi ya vingine

 
Iran nisawa na Goliati alie watisha Israel kwa miaka akaja katwa kichwa na kijana mdogo. Hakuna Taifa duniani litaweza kupigana na Israel yaani hata dunia nzima leo tuungane kupigana na Israel lazima washinde.... Mungu analiangalia neno apate kulitimiza.
Matango pori hayo mkuu
 
Back
Top Bottom