Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini

Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini

Hii ni mojawapo ya sababu za kuibuka kwa janga la Utapeli katika Ndoa.
Ndoa zinakuwa hazidumu kwa sababu ndoa zenyewe zilitokana na influence ya Maslahi binafsi ya kiuchumi wala siyo kutokana na upendo wa dhati (natural love and affection) miongoni mwa Wanandoa.
Ni kweli mkuu, na eneo jingine ambalo vijana tunafeli ni kwenye kufanya background check ya wenza wetu. Tunaoa kichwa kichwa bila kufatilia past ya mtu hata pale tunapojua ana past chafu tunafumbia macho kwa kufikiri atabadilika. A past is not just a past, is a pattern of habit and a true self
 
Mke wako huwezi kumhonga.
Kabla hajawa Mke wako lazima alikuwa mpenzi wako.

Kumuhudumia mpenzi wako nayenyewe ni muhimu.

Hivi unajisikiaje kupishana na demu mkali anayetunzwa na Jamaa yake, wakati wewe mpenzi wako hata nguo za ndani tu hutaki kumnunulia

Sembuse hata unyunyu wa kumfanya anukie vizuri
 
Huenda tunatofautiana, Wanaume hatuhongi ila kuhudumia.

Mpenzi wako lazima umuhudumue ili apendeze

Kama hana visofa pale sebuleni kwake, basi kabla hajakuomba unatuma kirikuu kinampelekea

Hivi huoni Kuna raha ya kuhamisha pambano kutoka kitandani kuelekea Kwenye Sofa 😜

Bila kuhudumia, unapenda nani mwingine wa kumuhudumia?

Wazee wenu ndiyo tumezeeka hivyo 🤗
Nakubaliana na wewe, kuhudumia ni sawa ila usihudumie vilivyo nje ya uwezo wako. Vijana wengi bado ni watafutaji na vipato sio kama vinaruhusu kivile lakini wanatoboka zaidi ya uwezo wao, too risky kwa future yao.
 
Hata zamani kulikuwa na influence ya maslahi ndo maana kabla ya kuozesha wazazi walikuwa lazima wajihakikiahie kama mkwe anauwezo wa kufanya kazi Kwa bidii na nguvu za kutosha
Ilikua two way traffic. Hata upande wa mume lazima ufanyike ujasusi kujua tabia na mienendo ya mwanamke. Sio kama saiv tunaokotana tu mitaani kila mmoja hajui historia ya mwenzake
 
Kabla hajawa Mke wako lazima alikuwa mpenzi wako.

Kumuhudumia mpenzi wako nayenyewe ni muhimu.

Hivi unajisikiaje kupishana na demu mkali anayetunzwa na Jamaa yake, wakati wewe mpenzi wako hata nguo za ndani tu hutaki kumnunulia

Sembuse hata unyunyu wa kumfanya anukie vizuri


Kwa Zama hizi kila mtu ajitunze mwenyewe.
Tukianza kuishi au kumuoa nitahudumia.

Ninyi wazee wa zamani Kanuni zenu kwa sasa nyingi ni irrelevant
 
Nakubaliana na wewe, kuhudumia ni sawa ila usihudumie vilivyo nje ya uwezo wako. Vijana wengi bado ni watafutaji na vipato sio kama vinaruhusu kivile lakini wanatoboka zaidi ya uwezo wao, too risky kwa future yao.
Changamoto ya Vijana ni kutaka kumiliki mademu 5 wakati anakipato cha kumtunza binti mmoja.

Suala la kumtunza mpenzi wako ni muhimu, hata kama anakiajira chake sehemu, sio mbaya kumsaidia pale inapobidi

Vijana wawe makini, wajitahidi kuwa na mpenzi mmoja tu na kufanya maisha pamoja ili kupunguza risk za kufirisika Kwa kuhonga

Mademu wazuri wanazaliwa Kila Siku
 
Niliwahi pia kusema humu kwamba kadri uchumi wako unavyoimarika, ndio kadri kuhonga wanawake kunavyopungua.

Ukishakuwa na uchumi mzuri, kwanza wanawake hua wanakutafuta wenyewe ili uwatafune! Ukiwa mchovu ndio inabidi wewe uwatafute, uwahonge, ubembeleze, ulie lie nk ili wakubali kukupea.

Na isitoshe ukiwa na hela wanawake ni wengi sana wanajipendekeza sasa utahonga wangapi? We una wanawake zaidi ya 20 utaanza kuhonga mmoja mmoja we si utakua mwendawazimu?
 
Kwamba sio lazima, unategemea nani aje amuhudumie wakati Kei unaipiga mwenyewe?

Ukiwa hutaki kuhudumia uwe tayari kushea na watakaoweza kuhudumia
Mke pekee ndio una ulazima wa kumhudumia!! Mchumba ni hiari sio LAZIMA.

Hoja kuliwa hata umtunze vipi umjengee na gorofa atasema humpi muda mara una kibamia kwa kifupi hawajawahi kukoswa sababu. Tumewahi cheat na wanawake waliopewa kusimamia biashara kubwa hadi yeye ndo anakutunza wewe kazi yako kusimamia ukucha tu.

Hoja yako ni ipi hasa?
 
Asante..mm napambana mama watoto aanze kumtunza mtoto wake kwasababu yeye ndiye alianzisha mahusiano 🤔
 
Back
Top Bottom