Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini

Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini

Kwa Zama hizi kila mtu ajitunze mwenyewe.
Tukianza kuishi au kumuoa nitahudumia.

Ninyi wazee wa zamani Kanuni zenu kwa sasa nyingi ni irrelevant
Huenda uaminifu miongoni mwenu Vijana umekuwa changamoto.

Sisi zamani ilikuwa unaweza hata kumpeleka mchumba wako Shule ukamlipia ada hadi anamaliza Masomo.

Akimaliza ndiyo mnafunga Ndoa na kuanza kuishi pamoja

Nyie Vijana najua hamuwezi kufanya hayo
 
mattgaetz.jpg
Nimepita mtandaini na kukutana na huyu masikini, kwa vigezo vya Robert

Huyo ni Maetz Gaetz

Ripoti ya maadili ya bunge imebaini ushahidi kwamba Matt Gaetz alilipa maelfu ya pesa kwa ajili ya ngono na madawa ya kulevya ikiwa ni pamoja na kumlipa mtoto wa miaka 17 kwa ajili ya ngono mwaka 2017
https://www.msn.com/en-us/news/poli...ing-a-17-year-old-for-sex-in-2017/ar-AA1wmPQF
CNN
 
Mke pekee ndio una ulazima wa kumhudumia!! Mchumba ni hiari sio LAZIMA.

Hoja kuliwa hata umtunze vipi umjengee na gorofa atasema humpi muda mara una kibamia kwa kifupi hawajawahi kukoswa sababu. Tumewahi cheat na wanawake waliopewa kusimamia biashara kubwa hadi yeye ndo anakutunza wewe kazi yako kusimamia ukucha tu.

Hoja yako ni ipi hasa?
Katika hiyo hiari ndiyo kuhudumia kwenyewe hapo

Hata kama utakuwa unamjazia mtungi gesi, ndiyo kuhudumia kwenyewe huko

Hiyo kuchapiwa ni jambo mtambuka

Hata kama umuhudumue milioni 100 Kwa Mwezi akiamua kucheat anacheat tu

Pia unaweza kutokumtunza ndiyo ikawa sababu ya kukucheat Kila Siku maana atakuwa anapewa hizo huduma ambazo humpi.

Hoja yangu, suala la kumuhudumia mpenzi wako lipeni umuhimu ili kumnyima mpenzi wako sababu za kukucheat
 
Kijana huyu anafikirisha Sana
Niliwahi kujiuliza hivi inakuwaje Mwanaume anahonga

Lakini nimegundua ukiona mtu anasema hawezi kuhonga ujue huyo hana hela

Kuna jamaa hapa DSM amemjengea binti mmoja hivi Nyumba ya Ghorofa

Wakati wewe roho yako inakuuma kisa umempa demu shilingi 50,000 yako ya ngama, Kuna jamaa hapo Mbezi Kwa Msuguri amemjengea binti ghorofa ya zaidi ya shilingi milioni 250
 
Niliwahi kujiuliza hivi inakuwaje Mwanaume anahonga

Lakini nimegundua ukiona mtu anasema hawezi kuhonga ujue huyo hana hela

Kuna jamaa hapa DSM amemjengea binti mmoja hivi Nyumba ya Ghorofa

Wakati wewe roho yako inakuuma kisa umempa demu shilingi 50,000 yako ya ngama, Kuna jamaa hapo Mbezi Kwa Msuguri amemjengea binti ghorofa ya zaidi ya shilingi milioni 250
😁😁😁 aisee hiyo Kama yule jamaa waziri wa mambo ya mitutu alimjengea mchipuko kisima cha mafuta karagwe (kagera)
 
Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Bunga Bunga parties za Silvio Berlusconi je?
8689492.jpg


Silvio Berlusconi Waziri Mkuu wa Zamani wa Italia alijulikana kama mtu assertive asiye na udhaifu na alikuwa Billionea. Huyo bwana alikabiliwa na madai mengi sana ya kuhongahonga wanawake, hususani kwenye party zake za Bunga Bunga😀


hqdefault.jpg


au hawa hawahusiki? Tunaelimishana.
 
Katika hiyo hiari ndiyo kuhudumia kwenyewe hapo

Hata kama utakuwa unamjazia mtungi gesi, ndiyo kuhudumia kwenyewe huko

Hiyo kuchapiwa ni jambo mtambuka

Hata kama umuhudumue milioni 100 Kwa Mwezi akiamua kucheat anacheat tu

Pia unaweza kutokumtunza ndiyo ikawa sababu ya kukucheat Kila Siku maana atakuwa anapewa hizo huduma ambazo humpi.

Hoja yangu, suala la kumuhudumia mpenzi wako lipeni umuhimu ili kumnyima mpenzi wako sababu za kukucheat
Hiari na lazima ni vitu viwili ambavyo haviwezi kukaa pamojaa.

Neno lazima ni command mkuu halina mbadala kabisa.Mchumba akikuambia ges imeisha unaweza ukamwambia sina hela.Jambo hilo nitofauti kwa mke wako hata kama mnaishi wawili tu itakuwia ulazima ukakope hela hiyo ili gesi ijazwe.

Mchumba ni jukumu la wazazi wake kumuhudumia wewe ni extra tu hata kama anaishi geto maana yake ana chanzo cha mapato ndio maana kapanga na umemkuta kapanga.

Iwapo ukamtoa sehemu na kumpeleka sehemu nyingine huyo ni mke maana atakutegemea kwa kila kitu hata akiumwa simu ya kwanza niwewe na utawajibika kulipia gharama zote.
 
Hiari na lazima ni vitu viwili ambavyo haviwezi kukaa pamojaa.

Neno lazima ni command mkuu halina mbadala kabisa.Mchumba akikuambia ges imeisha unaweza ukamwambia sina hela.Jambo hilo nitofauti kwa mke wako hata kama mnaishi wawili tu itakuwia ulazima ukakope hela hiyo ili gesi ijazwe.

Mchumba ni jukumu la wazazi wake kumuhudumia wewe ni extra tu hata kama anaishi geto maana yake ana chanzo cha mapato ndio maana kapanga na umemkuta kapanga.

Iwapo ukamtoa sehemu na kumpeleka sehemu nyingine huyo ni mke maana atakutegemea kwa kila kitu hata akiumwa simu ya kwanza niwewe na utawajibika kulipia gharama zote.
Umeiweka vizuri hiyo Mkuu

Vijana wajitahidi kutokuwa na multiple partners ili kuweza kutunza kibunda Chao
 
Huenda tunatofautiana, Wanaume hatuhongi ila kuhudumia.

Mpenzi wako lazima umuhudumue ili apendeze

Kama hana visofa pale sebuleni kwake, basi kabla hajakuomba unatuma kirikuu kinampelekea

Hivi huoni Kuna raha ya kuhamisha pambano kutoka kitandani kuelekea Kwenye Sofa 😜

Bila kuhudumia, unapenda nani mwingine wa kumuhudumia?

Wazee wenu ndiyo tumezeeka hivyo 🤗
Muda huo wewe ukiwa unaishi wapi sasa?🤔
 
Back
Top Bottom