The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema sahihi, ukihudumia unamfanya mpenzi wako ajitume na kukupa vingi Kwa bed kuliko ukiwa huudumiiKuna watu kigoma mwisho wa reli wataishia kupasikia mwanaume ambae hahudumii kwa kudai kuwa ni kuhonga anakosa raha ya mapenzi 🤣. Bila kuhudumia femininity pia wataisikia kwenye bomba. Unakuta ke anafanya kazi kama kibarua misuli kama mwanariadha wa London marathon kisa bwana hataki kuhudumia. Wale ambao hawaja settle na mpenzi mmoja na ke wenye tamaa ya fisi haiwahusu!
Chai
Kuprovide ndo mnaita kuhonga
😂
Acheni uchoyoKuprovide kuna kanuni zake
Safi sanaMimi kama mwanaume dhaifu, siwezi kuacha kumhonga mwanamke ambaye nimempenda.
Ni mtoto bado kinachokuja kichwani kwake anakianzishia uzi akifanyii hata digestion mwisho wa siku leo anaongea hiki kesho anasema vile anasahau kwamba alishaponda hikiKijana huyu anafikirisha Sana
Nakubali mzeeUmeiweka vizuri hiyo Mkuu
Vijana wajitahidi kutokuwa na multiple partners ili kuweza kutunza kibunda Chao
Mkuu mbona unaongea hoja dhaifu sana Diamond akihonga unadhani atatangaza aisee unajuaje hizo mambo za ndani za mtu mazee..Wanaume dhaifu wapokee hizo Pole.
Kama Diamond hahongi,
Na wapo matajiri kibao hawahongi alafu kuna kakijana Maskini hata kwao hakabadilisha maisha ya kwao kanahonga kwa nini kasipokee pole yako
Wanaume wengi sana wanahonga ila hawasemiMkuu mbona unaongea hoja dhaifu sana Diamond akihonga unadhani atatangaza aisee unajuaje hizo mambo za ndani za mtu mazee..
Watu wanatofautiana kipato cha kuhonga ndio maana mwenye kipato kidogo anaona kama sio mtu wa kutoa anaona wakina Ki ndio wanahonga..hakuna mwanaume asiehonga labda awe hana kitu.Wanaume wengi sana wanahonga ila hawasemi
Acheni uchoyo
Msisahau kutoa girlfriend allowance ❤️🙂Tuache ubadhirifu wa pesa kutoa pesa kwa kwa uasherati
Tuhudumie Wake zetu
Msisahau kutoa girlfriend allowance ❤️🙂