Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini

Kikawaida wanaohonga Wanawake ni wanaume dhaifu na Maskini

Jomba acha hizo mbanga za kujiita Alpha Male.... hao motivational speaker walioanzisha huo upuuzi wa kuwaweka kwenye makundi wanaume wenzao watakupoteza. Kama mtu hajafanya uhalifu kupata hela yake acha atumie atakavyo kwasababu atajifunza zikimwishia. Kimsingi kama unaona hela yako kumpa mwanamke ni ngumu achana na mambo ya wanawake na usianzishe nyuzi za kuwasengenya. Mtibeli utajisikiaje upo kwenye mstari wa kuingia motoni na kina Cornelio Nangaa, Bosco Ntaganda, Osama, Hitler, Kabarebe na makatili wengine halafu wewe unaingia kule kwa dhambi ya usengenyaji?
 
Kabla hajawa Mke wako lazima alikuwa mpenzi wako.

Kumuhudumia mpenzi wako nayenyewe ni muhimu.

Hivi unajisikiaje kupishana na demu mkali anayetunzwa na Jamaa yake, wakati wewe mpenzi wako hata nguo za ndani tu hutaki kumnunulia

Sembuse hata unyunyu wa kumfanya anukie vizuri
Tatizo Tutakao Kuwa Tuna Vua Hiyo Bikini Ni Msululu Alafu Mnunuaji Bikini Ni Mmoja.

Au Ndo Habari Za Mwenye Shamba?
Anayelima Ni Mmoja Ila Wavunaji Kijiji.
 
Kwamba sio lazima, unategemea nani aje amuhudumie wakati Kei unaipiga mwenyewe?

Ukiwa hutaki kuhudumia uwe tayari kushea na watakaoweza kuhudumia
Mzee Mwanzangu Nadhani Unatuangusha Wazee Wenzio.
Nani Kasema Kuhudumia Ndo Bima Ya kula Peke Yako?
Kuna Watu We Unahonga Laki Ya Saloon Kuna ShareHolder Mwenzio Anahudumia Meseji Tu Za Bando La Buku.
Hakika Ulikuwa Kijana Wa Hovyo Ujanani Kwako Uwenda Kuna Mwanamke Umemjengea Kaliakoo Ghorofa We Umejenga Tandika Yombo.
 
Mzee Mwanzangu Nadhani Unatuangusha Wazee Wenzio.
Nani Kasema Kuhudumia Ndo Bima Ya kula Peke Yako?
Kuna Watu We Unahonga Laki Ya Saloon Kuna ShareHolder Mwenzio Anahudumia Meseji Tu Za Bando La Buku.
Hakika Ulikuwa Kijana Wa Hovyo Ujanani Kwako Uwenda Kuna Mwanamke Umemjengea Kaliakoo Ghorofa We Umejenga Tandika Yombo.
Wewe naye unajilazimisha kuwa mzee wakati ni kachalii tuu.
 
KIKAWAIDA WANAOHONGA WANAWAKE NI WANAUME DHAIFU NA MASKINI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Wanaume dhaifu ni rahisi kuwa Manipulated na wanawake. Wanaume dhaifu ni watu huendeshwa na Mihemko kuliko AKILI.

Wanaume dhaifu ndio Miaka yote hulalamika kuwa Wanawake wanapenda pesa kwa sababu wao ndio huwapa attention hao wanawake. Huwaendekeza na hiyo inawapa nafasi wanawake kuonyesha thamani Yao kwa hao wanaume dhaifu.

Haijawahi kutokea Alpha Male akalizwa au kutapeliwa na mwanamke kwa Sababu wao hawatoi pesa au Mali Zao kindezindezi. Alpha male hawawekezi kwa Wanawake ila wanawake ndio wanawekeza kwaajili ya alpha Male.

Wanaume dhaifu unaweza ukakuta amemhonga mwanamke Mtungi wa gesi wakati nyumbani kwao Wazazi wanatumia Jiko la Kuni au mkaa . Na huyo mwanaume akajiona yupo Sawa kabisa kichwani.

Mwanaume dhaifu anaweza kumsomesha mwanamke au kumlipia Ada lakini wadogo zake wanafukuzwa Ada. Mwenyewe atakupa visingizio kibao ili asisaidie ndugu zake.
Wanaume wengi wanaohonga wengi wanatabia hizo.

Mwanaume dhaifu anaweza akamtunza mtoto asiyewake alafu akaacha kutunza damu yake Kabisa.

Wanaume dhaifu ni wale ambao wanawekeza kwa Wanawake.

Wanaume dhaifu hulazimisha Mwanamke abaki kwenye maisha yao. Kwa sababu wao ndio hujivunia hao wanawake badala wanawake hao ndio wajivunie kuwa na Mwanaume.

Alpha Male hawezi kufanya huo ujinga. Kwani yeye ndio anajua mwanamke anakuwa proudly kumpata yeye na sio mwanaume kuwa proudly kuwa na mwanamke Fulani.
Alpha Male haogopi na Wala habembelezi mwanamke akitaka kumuacha.

Wanaume dhaifu hutafuta pesa ili kuwapata wanawake na ndio maana wengi wao hujikuta kwenye mateso na utumwa kwa Wanawake.
Wakati wanaume wanaojiamini na Alpha Male wao hutafuta pesa kwaajili yao wenyewe na hujali malengo Yao tuu.

Wanaume dhaifu mostly hufilisika na kubaki kuwa Maskini Kwa sababu ya kuwaendekeza Wanawake kwa kuwahonga.

Wazazi Makini wenye watoto wakiume lazima wawafundishe vijana wao kuwa wanamaadui watatu Wakuu;
1. Wanawake
2. Vilevi (kupitiliza)
3. Kamari.

Na lazima wawafundishe namna ya kukabiliana navyo.
Alpha Male wanajua wanawake ni viumbe wa aina gani. Lakini wanaume dhaifu hawajui wanawake ni viumbe wa aina gani.

Zingatia, Mwanaume Kamili anaihudumia familia yake, mkewe (mwanamke uliyemuoa au unayeishi naye). Nje ya hapo hauko responsible.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Chai
 
KIKAWAIDA WANAOHONGA WANAWAKE NI WANAUME DHAIFU NA MASKINI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Wanaume dhaifu ni rahisi kuwa Manipulated na wanawake. Wanaume dhaifu ni watu huendeshwa na Mihemko kuliko AKILI.

Wanaume dhaifu ndio Miaka yote hulalamika kuwa Wanawake wanapenda pesa kwa sababu wao ndio huwapa attention hao wanawake. Huwaendekeza na hiyo inawapa nafasi wanawake kuonyesha thamani Yao kwa hao wanaume dhaifu.

Haijawahi kutokea Alpha Male akalizwa au kutapeliwa na mwanamke kwa Sababu wao hawatoi pesa au Mali Zao kindezindezi. Alpha male hawawekezi kwa Wanawake ila wanawake ndio wanawekeza kwaajili ya alpha Male.

Wanaume dhaifu unaweza ukakuta amemhonga mwanamke Mtungi wa gesi wakati nyumbani kwao Wazazi wanatumia Jiko la Kuni au mkaa . Na huyo mwanaume akajiona yupo Sawa kabisa kichwani.

Mwanaume dhaifu anaweza kumsomesha mwanamke au kumlipia Ada lakini wadogo zake wanafukuzwa Ada. Mwenyewe atakupa visingizio kibao ili asisaidie ndugu zake.
Wanaume wengi wanaohonga wengi wanatabia hizo.

Mwanaume dhaifu anaweza akamtunza mtoto asiyewake alafu akaacha kutunza damu yake Kabisa.

Wanaume dhaifu ni wale ambao wanawekeza kwa Wanawake.

Wanaume dhaifu hulazimisha Mwanamke abaki kwenye maisha yao. Kwa sababu wao ndio hujivunia hao wanawake badala wanawake hao ndio wajivunie kuwa na Mwanaume.

Alpha Male hawezi kufanya huo ujinga. Kwani yeye ndio anajua mwanamke anakuwa proudly kumpata yeye na sio mwanaume kuwa proudly kuwa na mwanamke Fulani.
Alpha Male haogopi na Wala habembelezi mwanamke akitaka kumuacha.

Wanaume dhaifu hutafuta pesa ili kuwapata wanawake na ndio maana wengi wao hujikuta kwenye mateso na utumwa kwa Wanawake.
Wakati wanaume wanaojiamini na Alpha Male wao hutafuta pesa kwaajili yao wenyewe na hujali malengo Yao tuu.

Wanaume dhaifu mostly hufilisika na kubaki kuwa Maskini Kwa sababu ya kuwaendekeza Wanawake kwa kuwahonga.

Wazazi Makini wenye watoto wakiume lazima wawafundishe vijana wao kuwa wanamaadui watatu Wakuu;
1. Wanawake
2. Vilevi (kupitiliza)
3. Kamari.

Na lazima wawafundishe namna ya kukabiliana navyo.
Alpha Male wanajua wanawake ni viumbe wa aina gani. Lakini wanaume dhaifu hawajui wanawake ni viumbe wa aina gani.

Zingatia, Mwanaume Kamili anaihudumia familia yake, mkewe (mwanamke uliyemuoa au unayeishi naye). Nje ya hapo hauko responsible.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
A: Bilionea wa Kigiriki Aristotle Onassis alipokuwa anamfukuzia na hatimaye kumuoa mjane wa aliyekuwa Rais wa Marekani Jackline Kennedy, aliwahi kuulizwa na mwandishi mmoja wa habari swali;
Journalist: Mr. Onassis, it is said that you love women very much. Is it true?

Onassis: Yes. That's why we men are looking for money, because if women were not there, then money would've no meaning.

B: Sisi Wahaya tuna msemo usemao, "Omushaija biba bintu bishatu; amarwa, abamanja n a'bakazi"! Ahahahahaha!!!
 
Mzee Mwanzangu Nadhani Unatuangusha Wazee Wenzio.
Nani Kasema Kuhudumia Ndo Bima Ya kula Peke Yako?
Kuna Watu We Unahonga Laki Ya Saloon Kuna ShareHolder Mwenzio Anahudumia Meseji Tu Za Bando La Buku.
Hakika Ulikuwa Kijana Wa Hovyo Ujanani Kwako Uwenda Kuna Mwanamke Umemjengea Kaliakoo Ghorofa We Umejenga Tandika Yombo.
Hahaha..............usinikumbushe yule binti wa Ilala Mzee mwenzangu

Ulichokisema ndiyo kitu nilimfanyia Mwaka 47 🤗

Kweli Kei ina nguvu Mzee mwenzangu 😜
 
Huenda tunatofautiana, Wanaume hatuhongi ila kuhudumia.

Mpenzi wako lazima umuhudumue ili apendeze

Kama hana visofa pale sebuleni kwake, basi kabla hajakuomba unatuma kirikuu kinampelekea

Hivi huoni Kuna raha ya kuhamisha pambano kutoka kitandani kuelekea Kwenye Sofa 😜

Bila kuhudumia, unapenda nani mwingine wa kumuhudumia?

Wazee wenu ndiyo tumezeeka hivyo 🤗
Kuna watu kigoma mwisho wa reli wataishia kupasikia mwanaume ambae hahudumii kwa kudai kuwa ni kuhonga anakosa raha ya mapenzi 🤣. Bila kuhudumia femininity pia wataisikia kwenye bomba. Unakuta ke anafanya kazi kama kibarua misuli kama mwanariadha wa London marathon kisa bwana hataki kuhudumia. Wale ambao hawaja settle na mpenzi mmoja na ke wenye tamaa ya fisi haiwahusu!
 
KIKAWAIDA WANAOHONGA WANAWAKE NI WANAUME DHAIFU NA MASKINI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Wanaume dhaifu ni rahisi kuwa Manipulated na wanawake. Wanaume dhaifu ni watu huendeshwa na Mihemko kuliko AKILI.

Wanaume dhaifu ndio Miaka yote hulalamika kuwa Wanawake wanapenda pesa kwa sababu wao ndio huwapa attention hao wanawake. Huwaendekeza na hiyo inawapa nafasi wanawake kuonyesha thamani Yao kwa hao wanaume dhaifu.

Haijawahi kutokea Alpha Male akalizwa au kutapeliwa na mwanamke kwa Sababu wao hawatoi pesa au Mali Zao kindezindezi. Alpha male hawawekezi kwa Wanawake ila wanawake ndio wanawekeza kwaajili ya alpha Male.

Wanaume dhaifu unaweza ukakuta amemhonga mwanamke Mtungi wa gesi wakati nyumbani kwao Wazazi wanatumia Jiko la Kuni au mkaa . Na huyo mwanaume akajiona yupo Sawa kabisa kichwani.

Mwanaume dhaifu anaweza kumsomesha mwanamke au kumlipia Ada lakini wadogo zake wanafukuzwa Ada. Mwenyewe atakupa visingizio kibao ili asisaidie ndugu zake.
Wanaume wengi wanaohonga wengi wanatabia hizo.

Mwanaume dhaifu anaweza akamtunza mtoto asiyewake alafu akaacha kutunza damu yake Kabisa.

Wanaume dhaifu ni wale ambao wanawekeza kwa Wanawake.

Wanaume dhaifu hulazimisha Mwanamke abaki kwenye maisha yao. Kwa sababu wao ndio hujivunia hao wanawake badala wanawake hao ndio wajivunie kuwa na Mwanaume.

Alpha Male hawezi kufanya huo ujinga. Kwani yeye ndio anajua mwanamke anakuwa proudly kumpata yeye na sio mwanaume kuwa proudly kuwa na mwanamke Fulani.
Alpha Male haogopi na Wala habembelezi mwanamke akitaka kumuacha.

Wanaume dhaifu hutafuta pesa ili kuwapata wanawake na ndio maana wengi wao hujikuta kwenye mateso na utumwa kwa Wanawake.
Wakati wanaume wanaojiamini na Alpha Male wao hutafuta pesa kwaajili yao wenyewe na hujali malengo Yao tuu.

Wanaume dhaifu mostly hufilisika na kubaki kuwa Maskini Kwa sababu ya kuwaendekeza Wanawake kwa kuwahonga.

Wazazi Makini wenye watoto wakiume lazima wawafundishe vijana wao kuwa wanamaadui watatu Wakuu;
1. Wanawake
2. Vilevi (kupitiliza)
3. Kamari.

Na lazima wawafundishe namna ya kukabiliana navyo.
Alpha Male wanajua wanawake ni viumbe wa aina gani. Lakini wanaume dhaifu hawajui wanawake ni viumbe wa aina gani.

Zingatia, Mwanaume Kamili anaihudumia familia yake, mkewe (mwanamke uliyemuoa au unayeishi naye). Nje ya hapo hauko responsible.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Well said
 
Tatizo Tutakao Kuwa Tuna Vua Hiyo Bikini Ni Msululu Alafu Mnunuaji Bikini Ni Mmoja.

Au Ndo Habari Za Mwenye Shamba?
Anayelima Ni Mmoja Ila Wavunaji Kijiji.
Hahaha...........unazidi kuwaongezea hofu timu Kataa Ndoa sasa 😜
 
Back
Top Bottom