DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Aaah !kweliHahaha.............hayo mambo hayana mbabe
Ni kujitahidi kuridhika tu na mpenzi uliyenaye, otherwise lazima utoboke mifuko 🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah !kweliHahaha.............hayo mambo hayana mbabe
Ni kujitahidi kuridhika tu na mpenzi uliyenaye, otherwise lazima utoboke mifuko 🙌
Tatizo Tutakao Kuwa Tuna Vua Hiyo Bikini Ni Msululu Alafu Mnunuaji Bikini Ni Mmoja.Kabla hajawa Mke wako lazima alikuwa mpenzi wako.
Kumuhudumia mpenzi wako nayenyewe ni muhimu.
Hivi unajisikiaje kupishana na demu mkali anayetunzwa na Jamaa yake, wakati wewe mpenzi wako hata nguo za ndani tu hutaki kumnunulia
Sembuse hata unyunyu wa kumfanya anukie vizuri
Huyo atakuwa tu nyau de adriz maamaeeKuna wanaume ni jau sana yaan ni umbwaaaaa unakuta anasomesha demu wake huku wadogo zake wa kike hata dawa ya mswaki hawana
Changamoto The Mongolian Savage
Mzee Mwanzangu Nadhani Unatuangusha Wazee Wenzio.Kwamba sio lazima, unategemea nani aje amuhudumie wakati Kei unaipiga mwenyewe?
Ukiwa hutaki kuhudumia uwe tayari kushea na watakaoweza kuhudumia
Wewe naye unajilazimisha kuwa mzee wakati ni kachalii tuu.Mzee Mwanzangu Nadhani Unatuangusha Wazee Wenzio.
Nani Kasema Kuhudumia Ndo Bima Ya kula Peke Yako?
Kuna Watu We Unahonga Laki Ya Saloon Kuna ShareHolder Mwenzio Anahudumia Meseji Tu Za Bando La Buku.
Hakika Ulikuwa Kijana Wa Hovyo Ujanani Kwako Uwenda Kuna Mwanamke Umemjengea Kaliakoo Ghorofa We Umejenga Tandika Yombo.
ChaiKIKAWAIDA WANAOHONGA WANAWAKE NI WANAUME DHAIFU NA MASKINI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Wanaume dhaifu ni rahisi kuwa Manipulated na wanawake. Wanaume dhaifu ni watu huendeshwa na Mihemko kuliko AKILI.
Wanaume dhaifu ndio Miaka yote hulalamika kuwa Wanawake wanapenda pesa kwa sababu wao ndio huwapa attention hao wanawake. Huwaendekeza na hiyo inawapa nafasi wanawake kuonyesha thamani Yao kwa hao wanaume dhaifu.
Haijawahi kutokea Alpha Male akalizwa au kutapeliwa na mwanamke kwa Sababu wao hawatoi pesa au Mali Zao kindezindezi. Alpha male hawawekezi kwa Wanawake ila wanawake ndio wanawekeza kwaajili ya alpha Male.
Wanaume dhaifu unaweza ukakuta amemhonga mwanamke Mtungi wa gesi wakati nyumbani kwao Wazazi wanatumia Jiko la Kuni au mkaa . Na huyo mwanaume akajiona yupo Sawa kabisa kichwani.
Mwanaume dhaifu anaweza kumsomesha mwanamke au kumlipia Ada lakini wadogo zake wanafukuzwa Ada. Mwenyewe atakupa visingizio kibao ili asisaidie ndugu zake.
Wanaume wengi wanaohonga wengi wanatabia hizo.
Mwanaume dhaifu anaweza akamtunza mtoto asiyewake alafu akaacha kutunza damu yake Kabisa.
Wanaume dhaifu ni wale ambao wanawekeza kwa Wanawake.
Wanaume dhaifu hulazimisha Mwanamke abaki kwenye maisha yao. Kwa sababu wao ndio hujivunia hao wanawake badala wanawake hao ndio wajivunie kuwa na Mwanaume.
Alpha Male hawezi kufanya huo ujinga. Kwani yeye ndio anajua mwanamke anakuwa proudly kumpata yeye na sio mwanaume kuwa proudly kuwa na mwanamke Fulani.
Alpha Male haogopi na Wala habembelezi mwanamke akitaka kumuacha.
Wanaume dhaifu hutafuta pesa ili kuwapata wanawake na ndio maana wengi wao hujikuta kwenye mateso na utumwa kwa Wanawake.
Wakati wanaume wanaojiamini na Alpha Male wao hutafuta pesa kwaajili yao wenyewe na hujali malengo Yao tuu.
Wanaume dhaifu mostly hufilisika na kubaki kuwa Maskini Kwa sababu ya kuwaendekeza Wanawake kwa kuwahonga.
Wazazi Makini wenye watoto wakiume lazima wawafundishe vijana wao kuwa wanamaadui watatu Wakuu;
1. Wanawake
2. Vilevi (kupitiliza)
3. Kamari.
Na lazima wawafundishe namna ya kukabiliana navyo.
Alpha Male wanajua wanawake ni viumbe wa aina gani. Lakini wanaume dhaifu hawajui wanawake ni viumbe wa aina gani.
Zingatia, Mwanaume Kamili anaihudumia familia yake, mkewe (mwanamke uliyemuoa au unayeishi naye). Nje ya hapo hauko responsible.
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Wanaume dhaifu wapokee hizo Pole.
Kama Diamond hahongi,
Na wapo matajiri kibao hawahongi alafu kuna kakijana Maskini hata kwao hakabadilisha maisha ya kwao kanahonga kwa nini kasipokee pole yako
Point kubwa hii
A: Bilionea wa Kigiriki Aristotle Onassis alipokuwa anamfukuzia na hatimaye kumuoa mjane wa aliyekuwa Rais wa Marekani Jackline Kennedy, aliwahi kuulizwa na mwandishi mmoja wa habari swali;KIKAWAIDA WANAOHONGA WANAWAKE NI WANAUME DHAIFU NA MASKINI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Wanaume dhaifu ni rahisi kuwa Manipulated na wanawake. Wanaume dhaifu ni watu huendeshwa na Mihemko kuliko AKILI.
Wanaume dhaifu ndio Miaka yote hulalamika kuwa Wanawake wanapenda pesa kwa sababu wao ndio huwapa attention hao wanawake. Huwaendekeza na hiyo inawapa nafasi wanawake kuonyesha thamani Yao kwa hao wanaume dhaifu.
Haijawahi kutokea Alpha Male akalizwa au kutapeliwa na mwanamke kwa Sababu wao hawatoi pesa au Mali Zao kindezindezi. Alpha male hawawekezi kwa Wanawake ila wanawake ndio wanawekeza kwaajili ya alpha Male.
Wanaume dhaifu unaweza ukakuta amemhonga mwanamke Mtungi wa gesi wakati nyumbani kwao Wazazi wanatumia Jiko la Kuni au mkaa . Na huyo mwanaume akajiona yupo Sawa kabisa kichwani.
Mwanaume dhaifu anaweza kumsomesha mwanamke au kumlipia Ada lakini wadogo zake wanafukuzwa Ada. Mwenyewe atakupa visingizio kibao ili asisaidie ndugu zake.
Wanaume wengi wanaohonga wengi wanatabia hizo.
Mwanaume dhaifu anaweza akamtunza mtoto asiyewake alafu akaacha kutunza damu yake Kabisa.
Wanaume dhaifu ni wale ambao wanawekeza kwa Wanawake.
Wanaume dhaifu hulazimisha Mwanamke abaki kwenye maisha yao. Kwa sababu wao ndio hujivunia hao wanawake badala wanawake hao ndio wajivunie kuwa na Mwanaume.
Alpha Male hawezi kufanya huo ujinga. Kwani yeye ndio anajua mwanamke anakuwa proudly kumpata yeye na sio mwanaume kuwa proudly kuwa na mwanamke Fulani.
Alpha Male haogopi na Wala habembelezi mwanamke akitaka kumuacha.
Wanaume dhaifu hutafuta pesa ili kuwapata wanawake na ndio maana wengi wao hujikuta kwenye mateso na utumwa kwa Wanawake.
Wakati wanaume wanaojiamini na Alpha Male wao hutafuta pesa kwaajili yao wenyewe na hujali malengo Yao tuu.
Wanaume dhaifu mostly hufilisika na kubaki kuwa Maskini Kwa sababu ya kuwaendekeza Wanawake kwa kuwahonga.
Wazazi Makini wenye watoto wakiume lazima wawafundishe vijana wao kuwa wanamaadui watatu Wakuu;
1. Wanawake
2. Vilevi (kupitiliza)
3. Kamari.
Na lazima wawafundishe namna ya kukabiliana navyo.
Alpha Male wanajua wanawake ni viumbe wa aina gani. Lakini wanaume dhaifu hawajui wanawake ni viumbe wa aina gani.
Zingatia, Mwanaume Kamili anaihudumia familia yake, mkewe (mwanamke uliyemuoa au unayeishi naye). Nje ya hapo hauko responsible.
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
Hahaha..............usinikumbushe yule binti wa Ilala Mzee mwenzanguMzee Mwanzangu Nadhani Unatuangusha Wazee Wenzio.
Nani Kasema Kuhudumia Ndo Bima Ya kula Peke Yako?
Kuna Watu We Unahonga Laki Ya Saloon Kuna ShareHolder Mwenzio Anahudumia Meseji Tu Za Bando La Buku.
Hakika Ulikuwa Kijana Wa Hovyo Ujanani Kwako Uwenda Kuna Mwanamke Umemjengea Kaliakoo Ghorofa We Umejenga Tandika Yombo.
Kuna watu kigoma mwisho wa reli wataishia kupasikia mwanaume ambae hahudumii kwa kudai kuwa ni kuhonga anakosa raha ya mapenzi 🤣. Bila kuhudumia femininity pia wataisikia kwenye bomba. Unakuta ke anafanya kazi kama kibarua misuli kama mwanariadha wa London marathon kisa bwana hataki kuhudumia. Wale ambao hawaja settle na mpenzi mmoja na ke wenye tamaa ya fisi haiwahusu!Huenda tunatofautiana, Wanaume hatuhongi ila kuhudumia.
Mpenzi wako lazima umuhudumue ili apendeze
Kama hana visofa pale sebuleni kwake, basi kabla hajakuomba unatuma kirikuu kinampelekea
Hivi huoni Kuna raha ya kuhamisha pambano kutoka kitandani kuelekea Kwenye Sofa 😜
Bila kuhudumia, unapenda nani mwingine wa kumuhudumia?
Wazee wenu ndiyo tumezeeka hivyo 🤗
Well saidKIKAWAIDA WANAOHONGA WANAWAKE NI WANAUME DHAIFU NA MASKINI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Moja ya dalili zinazomtambulisha Mwanaume dhaifu ni kuhonga wanawake. Hata siku Moja huwezi kuta mwanaume Kamili anayejiamini na Alpha Male akahonga Wanawake.
Wanaume dhaifu ni rahisi kuwa Manipulated na wanawake. Wanaume dhaifu ni watu huendeshwa na Mihemko kuliko AKILI.
Wanaume dhaifu ndio Miaka yote hulalamika kuwa Wanawake wanapenda pesa kwa sababu wao ndio huwapa attention hao wanawake. Huwaendekeza na hiyo inawapa nafasi wanawake kuonyesha thamani Yao kwa hao wanaume dhaifu.
Haijawahi kutokea Alpha Male akalizwa au kutapeliwa na mwanamke kwa Sababu wao hawatoi pesa au Mali Zao kindezindezi. Alpha male hawawekezi kwa Wanawake ila wanawake ndio wanawekeza kwaajili ya alpha Male.
Wanaume dhaifu unaweza ukakuta amemhonga mwanamke Mtungi wa gesi wakati nyumbani kwao Wazazi wanatumia Jiko la Kuni au mkaa . Na huyo mwanaume akajiona yupo Sawa kabisa kichwani.
Mwanaume dhaifu anaweza kumsomesha mwanamke au kumlipia Ada lakini wadogo zake wanafukuzwa Ada. Mwenyewe atakupa visingizio kibao ili asisaidie ndugu zake.
Wanaume wengi wanaohonga wengi wanatabia hizo.
Mwanaume dhaifu anaweza akamtunza mtoto asiyewake alafu akaacha kutunza damu yake Kabisa.
Wanaume dhaifu ni wale ambao wanawekeza kwa Wanawake.
Wanaume dhaifu hulazimisha Mwanamke abaki kwenye maisha yao. Kwa sababu wao ndio hujivunia hao wanawake badala wanawake hao ndio wajivunie kuwa na Mwanaume.
Alpha Male hawezi kufanya huo ujinga. Kwani yeye ndio anajua mwanamke anakuwa proudly kumpata yeye na sio mwanaume kuwa proudly kuwa na mwanamke Fulani.
Alpha Male haogopi na Wala habembelezi mwanamke akitaka kumuacha.
Wanaume dhaifu hutafuta pesa ili kuwapata wanawake na ndio maana wengi wao hujikuta kwenye mateso na utumwa kwa Wanawake.
Wakati wanaume wanaojiamini na Alpha Male wao hutafuta pesa kwaajili yao wenyewe na hujali malengo Yao tuu.
Wanaume dhaifu mostly hufilisika na kubaki kuwa Maskini Kwa sababu ya kuwaendekeza Wanawake kwa kuwahonga.
Wazazi Makini wenye watoto wakiume lazima wawafundishe vijana wao kuwa wanamaadui watatu Wakuu;
1. Wanawake
2. Vilevi (kupitiliza)
3. Kamari.
Na lazima wawafundishe namna ya kukabiliana navyo.
Alpha Male wanajua wanawake ni viumbe wa aina gani. Lakini wanaume dhaifu hawajui wanawake ni viumbe wa aina gani.
Zingatia, Mwanaume Kamili anaihudumia familia yake, mkewe (mwanamke uliyemuoa au unayeishi naye). Nje ya hapo hauko responsible.
Acha nipumzike sasa
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa sasa Dar es salaam
HahahaNdiyo. Kutuma na ya kutolea lakini mtu haji, huo nl zaidi ya utapeli ni wizi.
Hahaha...........unazidi kuwaongezea hofu timu Kataa Ndoa sasa 😜Tatizo Tutakao Kuwa Tuna Vua Hiyo Bikini Ni Msululu Alafu Mnunuaji Bikini Ni Mmoja.
Au Ndo Habari Za Mwenye Shamba?
Anayelima Ni Mmoja Ila Wavunaji Kijiji.
Ni Mtazamo Wako Sikupingi.Wewe naye unajilazimisha kuwa mzee wakati ni kachalii tuu.