bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Tamaa ya mwanaume haitosheki mcheki king mswati kila mwaka anaoaKuoa wake wengi inaondoa uzinzi.
Ukiwa na mke mmoja ukaenda kulala na kimada unakua umezini, ila huyo kimada nae akiwa mke wako unakua hujazini, bado hujaelewa tu?