Kikwete alishindwa uongozi kama Rais na sasa ameshindwa tena kama Mstaafu

Kikwete alishindwa uongozi kama Rais na sasa ameshindwa tena kama Mstaafu

Wakati wa Utawala wake...

Huyu bwana ana Bahati mbaya sana. Haya ni Matokeo ya kuforce uongozi wakati hauna karama hizo, kuongoza watu siyo jambo jepesi inahitaji maono na busara hasa unapokuwa kwenye nafasi nyeti kama ya uraisi.

Enzi za utawala wake nchi ilikuwa ya hovyo tena hovyo kupitiliza kiufupi nchi aliiikabizi kwa mabwenyenye wachache. 2005 alipita wa kura nyingi sana 88%, lakini Awamu ya Pili pamoja na kuiba kura aliambulia kama sikosei ni 59% watu walikuwa wamechoka mithili ya harufu mbaya.

Huyu mwamba alipuyanga sana. Hakuna mtu alitaka hata kumsikia. Bila uongozi mbovu wa Kikwete Magufuli asingekuwa Raisi, Magufuli alikuja kunusuru nchi isiende kwa Wapinzani.


Kwa Nini kashindwa kama Mstaafu

Kwa utamaduni wa Kitanzania Raisi mstaafu ni Nguzo muhimu sana hasa pale taifa linapotaka kukosa mwelekeo, lakini pia anajukumu kuwaelekeza njia bora za kupita aliowaacha.

Nafikiri mnakumbuka ni namna gani Nyerere alivyokuwa macho hata baada ya kustaafu, alikuwa akisimama kusema jambo taarifa lazima litulie.

Vile vile Mkapa alikuwa akisimama kidete pale mambo yalivyokuwa yanaenda kombo hasa kipindi cha uchaguzi, sauti yake iliheshimika sana.

Leo hii tuna Kikwete sijui hata anafanya hini, suala lililoniuzi ni hili la Sukuma na Msoga gang kutokalipiwa hadharani tena kwa ukali; limeleta mgawanyiko makubwa sana. Mstaafu yupo anaongea kwa kujificha ficha, ovyo kabisa.

Kikwete anazidi kushindwa kwasababu hata ushauri anaotoa kwa Rais Samia unaonekana ni wa ovyo kwasababu unapingwa kila kona ndani na nje ya nchi. Mbaya zaidi hataki kutoka hadharani kuweka mambo sawa kama Mstaafu.

Kiufupi nafasi ya ustaafu haintendei haki, hii inatokana na kutokuaminika na watu wengi maana uongozi wake ulikuwa ni fedheha.

Namshauri Kikwete awe Mzalendo, kashazeeka atapendwa na wengi, aache kumpoteza Rais Samia na kuyumbisha Serikali.
Alikuwa ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchini Tanzania na kama Taifa tulikuwa na bahati mbaya Kubwa kuwa nae kama Kiongozi wetu.
 
Wakati wa Utawala wake...

Huyu bwana ana Bahati mbaya sana. Haya ni Matokeo ya kuforce uongozi wakati hauna karama hizo, kuongoza watu siyo jambo jepesi inahitaji maono na busara hasa unapokuwa kwenye nafasi nyeti kama ya uraisi.

Enzi za utawala wake nchi ilikuwa ya hovyo tena hovyo kupitiliza kiufupi nchi aliiikabizi kwa mabwenyenye wachache. 2005 alipita wa kura nyingi sana 88%, lakini Awamu ya Pili pamoja na kuiba kura aliambulia kama sikosei ni 59% watu walikuwa wamechoka mithili ya harufu mbaya.

Huyu mwamba alipuyanga sana. Hakuna mtu alitaka hata kumsikia. Bila uongozi mbovu wa Kikwete Magufuli asingekuwa Raisi, Magufuli alikuja kunusuru nchi isiende kwa Wapinzani.


Kwa Nini kashindwa kama Mstaafu

Kwa utamaduni wa Kitanzania Raisi mstaafu ni Nguzo muhimu sana hasa pale taifa linapotaka kukosa mwelekeo, lakini pia anajukumu kuwaelekeza njia bora za kupita aliowaacha.

Nafikiri mnakumbuka ni namna gani Nyerere alivyokuwa macho hata baada ya kustaafu, alikuwa akisimama kusema jambo taarifa lazima litulie.

Vile vile Mkapa alikuwa akisimama kidete pale mambo yalivyokuwa yanaenda kombo hasa kipindi cha uchaguzi, sauti yake iliheshimika sana.

Leo hii tuna Kikwete sijui hata anafanya hini, suala lililoniuzi ni hili la Sukuma na Msoga gang kutokalipiwa hadharani tena kwa ukali; limeleta mgawanyiko makubwa sana. Mstaafu yupo anaongea kwa kujificha ficha, ovyo kabisa.

Kikwete anazidi kushindwa kwasababu hata ushauri anaotoa kwa Rais Samia unaonekana ni wa ovyo kwasababu unapingwa kila kona ndani na nje ya nchi. Mbaya zaidi hataki kutoka hadharani kuweka mambo sawa kama Mstaafu.

Kiufupi nafasi ya ustaafu haintendei haki, hii inatokana na kutokuaminika na watu wengi maana uongozi wake ulikuwa ni fedheha.

Namshauri Kikwete awe Mzalendo, kashazeeka atapendwa na wengi, aache kumpoteza Rais Samia na kuyumbisha Serikali.
Hizo hesabu za kura alizozipata zimetoka kwenye ofisi ya CCM ni za kupika.
 
Mbona watu wanamuandama kikwete,na kuna uwezekano hata hatatime ,rais ndo muamuzi wa mwisho na ana washauri,
 
Nyinyi humu kila siku mnataka Kikwete asijihusishe na siasa ..astaafu..
Hadi mkampa jina "mstaafu aisetaka kustaafu"...
Halafu tena mnataka awe nguzo na kushauri?alazimishe ushauri wake usikilizwe hata kama wahusika hawataki??

Seriously mnatakaje???
Hawana jema hata moja hawa, kila kitu ni malawama tu.

Kuna watu humu wanamsifia sana Nyerere na kumtukana Mwinyi kwa kuwa hawakuwepo wakati wa awamu yake. Sisemi kwamba alifanya mabaya yote lakini kwa asilimia kubwa yeye JKN ndiye aliyetuwacha kwenye umasikini mkubwa mpaka wa kupanga foleni hata kwa kitenge au mche wa sabuni. Akaingia Mwinyi naye akafungua lakini zikawa lawama, kuja Mkapa naye lawama, njoo Kikwete ....... lawama.
 
Nyerere ni Alikua ndiye Nabii au mshika Maono Wa Taifa hili. Hakuna Rais atakayelijenga taifa hili nje ya maono ya Mwalimu Nyerere.

Taifa hili Kwa uwiano wale kikabila ,kidini na Sasa kimuungano na rasilimali tulizopewa na Mungu kamwe haitawezekana kuliacha ligeuke kuwa Taifa la hovyo kama Kongo .
Kuna watu Wajinga na washenzi na makopo ya chooni ya kusafisha makalio ya wazungu walitumika kumhujumu Mwalimu Nyerere Kwa manufaa Yao .

Hata hivyo maono ya Mwalimu hayatakufa japo yanapigwa Vita sana na majizi kushirikiana na wageni.

Tuna wasomi Kwa mamiloni halafu tunakuwa na Rais au mawaziri wanaouza Vitu vyepesi kama Ardhi na Bandari !!! KAZI ni kupeana vyeo tu kikada za CCM na Sasa wamewafanikiwa kuwavuta na waroho Wa Mali kutoka Upinzani Kama Zito na Mbowe.

Nyerere ndiye Mbeba maono na alijenga falsafa ya utaifa ,utu na umoja ambayo wezi wanaitumia kuiba Badala ya kujenga nchi.

Kwa nini watanzania Hawa Hawa waweze kuendesha Kampuni ya Airtel lakini washindwe TTCL.
MTU AKITAKA kuwaadhibu wanaotuhujumi Anaitwa dikteta. Hatuko siriaz mpaka Siku wenye nchi halisi ambao ni wengi wanaoumizwa leo watakapoamua kusema basi na kuwatoa madalali Wa kuuza nchi.
Kama watanzania wameshindwa kweli kusimamia rasilimali na mashirika Yote ya umma Kwa nini tusianzie na mismamizi Wa Ikulu na wizara ZAKE.?
Hivi inaingia akilini kweli kuwa Wasomi Wote wameshindwa kuendesha Idara walizopewa lakini Rais na Serikali yake na Bunge lake na Majeshi yake na mahakama zake ziwe zinafanya Vizuri wakati zinaongozwa na watanzania wenyewe Kwa asilimia mia moja?
Basi tuuze na kubinafsisha Ikulu, Bunge, mahakama, Majeshi Ili tuletewe Teknolojia ya kisasa kama kule Uarabuni na China.

Kwa nini tunakwepa ukweli kuwa Hao walioendelea wameendekea baada ya kuwa na SHERIA Kali na Hata kuwaua wale wote waliotumia nafasi zao kuiba Mali za umma?
Hiví Hata wawekezaji wawekeze mpaka kwanye Vijiji na miji Kila MAHALI kama hakuna watu waadilifu ni muwekezaji Gani ataacha kuiba na kuwahonga wale tuliowapa nafasi ya kutuwakilisha !!
Leo hili almasi ,dhahabu, Vito vya thamani, wanyama ,madawa yanaingizwa na kutoka Kila sehemu Kwa kushirikiana na Wale tuliowapa dhamana Kwa sababu TU hakuna anayewasemesha Kwa ukali na kuwafunga au kuwanyonga watu Hao . Nani asiyetaka Mali nyingi Kwa namna yoyote kama SIO Imani na Tabia za MTU Binafsi na malezi yake. ?
Kwa nini tuwaache watumishi Wa umma wajiongoze Kwa hulka zao Binafsi .? Yaani wakiamua kuiba waibe na wakiamua kuacha waache na asiyeona cha kuiba shauri yake na asiyetaka kuiba ni Mjinga Hana akili na atachekwa na kuzomewa na Hata kuuawa? Kila MTU Kwa urefu Wa Kamba yake.

Tumejenga mfumo Wa waovu kuwadhibiti watu waadilifu na Hata kuwaua na kuwatoa kwenye mifumo ya kiutawala na Sasa wamefanikiwa kuiteka mihimili Yote kuanzia Bungeni mpaka mahakama. Muovu kumuua MTU mwadilifu ni haraka sana Kama hajadhibitiwa lakini muovu akidhibitiwa anaogopa mana muovu anaogopa kufa na kuacha starehe za Dunia.

Nyerere alifanikiwa kutuletea uhuru na kujenga umoja chini ya makabila Mengi na Dini Tofauti lakini miaka 60 baadae wale aliowashinda wamerudi Kwa Gia ile ile ya Dini,Ukanda na Sasa wanajiita wawekezaji Badala ya wakoloni. Badala ya Watu kujengewa uwezo Wa kujiajiria katika rasilimali nyingi tulizo nazo Watu wanaletewa wakoloni Wa kuja kuwafanya watanzania watumwa kwenye nchi iliyopita uhuru miaka 62 iliyopita.
Watawala hawana muda Wa kufikiri zaidi ya kushawishiwa Kwa mipango isiyoweza kufanikiwa kwenye nchi isiyo na sharia Kali.

Kiongozi Badala ya kukemea wavunja Sheria anawaliwaza . Kiongozi anavunja Sheria Mfano za usalama Barabarani akikamatwa na polisi anakuwa mbishi na Kutumia majukwaa ya kisiasa kuwashambulia Trafiki Badala ya kujiuliza kuwa Kwa Nini amekamatwa na Sasa Kwa nini anataka achekewe na kusamehewa . Je,Wote wakivinja Sheria inakuaje?

Leo hii akatokea Mwekezaji Wa usalama Barabarani Toka Dubai au China atakimbilia hiko na atapata pesa nyingi sana mana anajua kuwa watanzania wanawaheshimu Wageni na kuwanyenyekea Hata kama wanakosa.
 
Wakati wa Utawala wake...

Huyu bwana ana Bahati mbaya sana. Haya ni Matokeo ya kuforce uongozi wakati hauna karama hizo, kuongoza watu siyo jambo jepesi inahitaji maono na busara hasa unapokuwa kwenye nafasi nyeti kama ya uraisi.

Enzi za utawala wake nchi ilikuwa ya hovyo tena hovyo kupitiliza kiufupi nchi aliiikabizi kwa mabwenyenye wachache. 2005 alipita wa kura nyingi sana 88%, lakini Awamu ya Pili pamoja na kuiba kura aliambulia kama sikosei ni 59% watu walikuwa wamechoka mithili ya harufu mbaya.

Huyu mwamba alipuyanga sana. Hakuna mtu alitaka hata kumsikia. Bila uongozi mbovu wa Kikwete Magufuli asingekuwa Raisi, Magufuli alikuja kunusuru nchi isiende kwa Wapinzani.


Kwa Nini kashindwa kama Mstaafu

Kwa utamaduni wa Kitanzania Raisi mstaafu ni Nguzo muhimu sana hasa pale taifa linapotaka kukosa mwelekeo, lakini pia anajukumu kuwaelekeza njia bora za kupita aliowaacha.

Nafikiri mnakumbuka ni namna gani Nyerere alivyokuwa macho hata baada ya kustaafu, alikuwa akisimama kusema jambo taarifa lazima litulie.

Vile vile Mkapa alikuwa akisimama kidete pale mambo yalivyokuwa yanaenda kombo hasa kipindi cha uchaguzi, sauti yake iliheshimika sana.

Leo hii tuna Kikwete sijui hata anafanya hini, suala lililoniuzi ni hili la Sukuma na Msoga gang kutokalipiwa hadharani tena kwa ukali; limeleta mgawanyiko makubwa sana. Mstaafu yupo anaongea kwa kujificha ficha, ovyo kabisa.

Kikwete anazidi kushindwa kwasababu hata ushauri anaotoa kwa Rais Samia unaonekana ni wa ovyo kwasababu unapingwa kila kona ndani na nje ya nchi. Mbaya zaidi hataki kutoka hadharani kuweka mambo sawa kama Mstaafu.

Kiufupi nafasi ya ustaafu haintendei haki, hii inatokana na kutokuaminika na watu wengi maana uongozi wake ulikuwa ni fedheha.

Namshauri Kikwete awe Mzalendo, kashazeeka atapendwa na wengi, aache kumpoteza Rais Samia na kuyumbisha Serikali.
Bro una akili nyingi sana Mungu akuzidishie baraka, nimekuelewa vyema kabisaaaa
 
Wakati wa Utawala wake...

Huyu bwana ana Bahati mbaya sana. Haya ni Matokeo ya kuforce uongozi wakati hauna karama hizo, kuongoza watu siyo jambo jepesi inahitaji maono na busara hasa unapokuwa kwenye nafasi nyeti kama ya uraisi.

Enzi za utawala wake nchi ilikuwa ya hovyo tena hovyo kupitiliza kiufupi nchi aliiikabizi kwa mabwenyenye wachache. 2005 alipita wa kura nyingi sana 88%, lakini Awamu ya Pili pamoja na kuiba kura aliambulia kama sikosei ni 59% watu walikuwa wamechoka mithili ya harufu mbaya.

Huyu mwamba alipuyanga sana. Hakuna mtu alitaka hata kumsikia. Bila uongozi mbovu wa Kikwete Magufuli asingekuwa Raisi, Magufuli alikuja kunusuru nchi isiende kwa Wapinzani.


Kwa Nini kashindwa kama Mstaafu

Kwa utamaduni wa Kitanzania Raisi mstaafu ni Nguzo muhimu sana hasa pale taifa linapotaka kukosa mwelekeo, lakini pia anajukumu kuwaelekeza njia bora za kupita aliowaacha.

Nafikiri mnakumbuka ni namna gani Nyerere alivyokuwa macho hata baada ya kustaafu, alikuwa akisimama kusema jambo taarifa lazima litulie.

Vile vile Mkapa alikuwa akisimama kidete pale mambo yalivyokuwa yanaenda kombo hasa kipindi cha uchaguzi, sauti yake iliheshimika sana.

Leo hii tuna Kikwete sijui hata anafanya hini, suala lililoniuzi ni hili la Sukuma na Msoga gang kutokalipiwa hadharani tena kwa ukali; limeleta mgawanyiko makubwa sana. Mstaafu yupo anaongea kwa kujificha ficha, ovyo kabisa.

Kikwete anazidi kushindwa kwasababu hata ushauri anaotoa kwa Rais Samia unaonekana ni wa ovyo kwasababu unapingwa kila kona ndani na nje ya nchi. Mbaya zaidi hataki kutoka hadharani kuweka mambo sawa kama Mstaafu.

Kiufupi nafasi ya ustaafu haintendei haki, hii inatokana na kutokuaminika na watu wengi maana uongozi wake ulikuwa ni fedheha.

Namshauri Kikwete awe Mzalendo, kashazeeka atapendwa na wengi, aache kumpoteza Rais Samia na kuyumbisha Serikali.
Unadhani anajali basi?
 
Duuh hivi guts za kumkosoa Amiri Jeshi mstaafu mnatoaga wapi jamani
Kumbuka yule sio MUNGU ni binadamu kama wewe mwenye nyamba na mifupa acha kuabudu watu.

Sidhani hata yeye anapenda kuabudiwa ila hapendi kutukanwa matusi ya nguoni. So kwa Hilo hata Mimi sipendi.

Ila kukosa atakosolewa ndio ubinadamu huo kwamba sisi sio wakamikifu
 
Hawana jema hata moja hawa, kila kitu ni malawama tu.

Kuna watu humu wanamsifia sana Nyerere na kumtukana Mwinyi kwa kuwa hawakuwepo wakati wa awamu yake. Sisemi kwamba alifanya mabaya yote lakini kwa asilimia kubwa yeye JKN ndiye aliyetuwacha kwenye umasikini mkubwa mpaka wa kupanga foleni hata kwa kitenge au mche wa sabuni. Akaingia Mwinyi naye akafungua lakini zikawa lawama, kuja Mkapa naye lawama, njoo Kikwete ....... lawama.
Miserable souls zinahangaika sana
 
M
Nyinyi humu kila siku mnataka Kikwete asijihusishe na siasa ..astaafu..
Hadi mkampa jina "mstaafu aisetaka kustaafu"...
Halafu tena mnataka awe nguzo na kushauri?alazimishe ushauri wake usikilizwe hata kama wahusika hawataki??

Seriously mnatakaje???
mi nataka akae kwa kutulia, awamu yake ilishapita aache uswahili
Anavyozurura duniani kwa kutumia kodi zetu zinamtosha!
 
Mmmm nchi imeshikwa kikundi kidogo sana cha watu.......wanaihujumuuu nchi nani kuwafokea? Nani wa kuzuia? Nani Rais ajaye ananyoosha vizuri nchi masikini hii isonge?
 
Binafsi namkubali sana kikwete ni miongoni mwa Marais waliofanya watanzania wajikwamue kiuchumi, ajira zilikuwa nje nje, mzunguko wa fedha ulikuwa mkubwa pia aliruhusu watu wawe huru kumkosoa

Nikiwaga free hua naangalia speeches zake you tube mzee alikua na karama ya kuongea na watu wote! Anaweza akaelezea jambo gumu katika namna nyepesi na wote mkamuelewa vzr!
 
Nyerere ni Alikua ndiye Nabii au mshika Maono Wa Taifa hili. Hakuna Rais atakayelijenga taifa hili nje ya maono ya Mwalimu Nyerere.

Taifa hili Kwa uwiano wale kikabila ,kidini na Sasa kimuungano na rasilimali tulizopewa na Mungu kamwe haitawezekana kuliacha ligeuke kuwa Taifa la hovyo kama Kongo .
Kuna watu Wajinga na washenzi na makopo ya chooni ya kusafisha makalio ya wazungu walitumika kumhujumu Mwalimu Nyerere Kwa manufaa Yao .

Hata hivyo maono ya Mwalimu hayatakufa japo yanapigwa Vita sana na majizi kushirikiana na wageni.

Tuna wasomi Kwa mamiloni halafu tunakuwa na Rais au mawaziri wanaouza Vitu vyepesi kama Ardhi na Bandari !!! KAZI ni kupeana vyeo tu kikada za CCM na Sasa wamewafanikiwa kuwavuta na waroho Wa Mali kutoka Upinzani Kama Zito na Mbowe.

Nyerere ndiye Mbeba maono na alijenga falsafa ya utaifa ,utu na umoja ambayo wezi wanaitumia kuiba Badala ya kujenga nchi.

Kwa nini watanzania Hawa Hawa waweze kuendesha Kampuni ya Airtel lakini washindwe TTCL.
MTU AKITAKA kuwaadhibu wanaotuhujumi Anaitwa dikteta. Hatuko siriaz mpaka Siku wenye nchi halisi ambao ni wengi wanaoumizwa leo watakapoamua kusema basi na kuwatoa madalali Wa kuuza nchi.
Kama watanzania wameshindwa kweli kusimamia rasilimali na mashirika Yote ya umma Kwa nini tusianzie na mismamizi Wa Ikulu na wizara ZAKE.?
Hivi inaingia akilini kweli kuwa Wasomi Wote wameshindwa kuendesha Idara walizopewa lakini Rais na Serikali yake na Bunge lake na Majeshi yake na mahakama zake ziwe zinafanya Vizuri wakati zinaongozwa na watanzania wenyewe Kwa asilimia mia moja?
Basi tuuze na kubinafsisha Ikulu, Bunge, mahakama, Majeshi Ili tuletewe Teknolojia ya kisasa kama kule Uarabuni na China.

Kwa nini tunakwepa ukweli kuwa Hao walioendelea wameendekea baada ya kuwa na SHERIA Kali na Hata kuwaua wale wote waliotumia nafasi zao kuiba Mali za umma?
Hiví Hata wawekezaji wawekeze mpaka kwanye Vijiji na miji Kila MAHALI kama hakuna watu waadilifu ni muwekezaji Gani ataacha kuiba na kuwahonga wale tuliowapa nafasi ya kutuwakilisha !!
Leo hili almasi ,dhahabu, Vito vya thamani, wanyama ,madawa yanaingizwa na kutoka Kila sehemu Kwa kushirikiana na Wale tuliowapa dhamana Kwa sababu TU hakuna anayewasemesha Kwa ukali na kuwafunga au kuwanyonga watu Hao . Nani asiyetaka Mali nyingi Kwa namna yoyote kama SIO Imani na Tabia za MTU Binafsi na malezi yake. ?
Kwa nini tuwaache watumishi Wa umma wajiongoze Kwa hulka zao Binafsi .? Yaani wakiamua kuiba waibe na wakiamua kuacha waache na asiyeona cha kuiba shauri yake na asiyetaka kuiba ni Mjinga Hana akili na atachekwa na kuzomewa na Hata kuuawa? Kila MTU Kwa urefu Wa Kamba yake.

Tumejenga mfumo Wa waovu kuwadhibiti watu waadilifu na Hata kuwaua na kuwatoa kwenye mifumo ya kiutawala na Sasa wamefanikiwa kuiteka mihimili Yote kuanzia Bungeni mpaka mahakama. Muovu kumuua MTU mwadilifu ni haraka sana Kama hajadhibitiwa lakini muovu akidhibitiwa anaogopa mana muovu anaogopa kufa na kuacha starehe za Dunia.

Nyerere alifanikiwa kutuletea uhuru na kujenga umoja chini ya makabila Mengi na Dini Tofauti lakini miaka 60 baadae wale aliowashinda wamerudi Kwa Gia ile ile ya Dini,Ukanda na Sasa wanajiita wawekezaji Badala ya wakoloni. Badala ya Watu kujengewa uwezo Wa kujiajiria katika rasilimali nyingi tulizo nazo Watu wanaletewa wakoloni Wa kuja kuwafanya watanzania watumwa kwenye nchi iliyopita uhuru miaka 62 iliyopita.
Watawala hawana muda Wa kufikiri zaidi ya kushawishiwa Kwa mipango isiyoweza kufanikiwa kwenye nchi isiyo na sharia Kali.

Kiongozi Badala ya kukemea wavunja Sheria anawaliwaza . Kiongozi anavunja Sheria Mfano za usalama Barabarani akikamatwa na polisi anakuwa mbishi na Kutumia majukwaa ya kisiasa kuwashambulia Trafiki Badala ya kujiuliza kuwa Kwa Nini amekamatwa na Sasa Kwa nini anataka achekewe na kusamehewa . Je,Wote wakivinja Sheria inakuaje?

Leo hii akatokea Mwekezaji Wa usalama Barabarani Toka Dubai au China atakimbilia hiko na atapata pesa nyingi sana mana anajua kuwa watanzania wanawaheshimu Wageni na kuwanyenyekea Hata kama wanakosa.
uko sahihi mwenye kuelewa ataelewa asiyeelewa mwache point kiongozi
 
Back
Top Bottom