Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Bora post yake kafuta nilitaka nimuuliza enzi hizo alikuwepo?Nilikuwa namaanisha kuongea hali ya kisiasa nchini maana na yeye alikuwa rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora post yake kafuta nilitaka nimuuliza enzi hizo alikuwepo?Nilikuwa namaanisha kuongea hali ya kisiasa nchini maana na yeye alikuwa rais
We mtoto wa juzi kama bata waulize vijana wa enzi za Mzee ruksa watakupa majibu, na haijawahi kutokea hela kufunguka nchi hii kuliko awamu ya Mwinyi. Ndiyo hadi wa vipato vya kati walikuwa na jeuri ya kujenga katikati ya jijiUzi wako unahisia nyingi,Mzee Kikwete hana baya hakuwa na husda,chuki wala visasi.
mimi ninachojua utawala wa Kikwete alifungua sana nchi hasa kwenye kukaribisha wawekezaji ajira zilikua nyingi mzunguko wa pesa wa uhakika,watu waliuza na kununua biashara zilifanyika.
watu walikula bata wakasaza,siku za weekend majiji kama ya Dar,Mwanza na Arusha yalikua ya moto ni full hekaheka.
Wapi nimesema anune mda woteMuone na huyu, yaani ulitaka awe mtu wa kununa nuna na makasiriko Kama aliyetangulia ili ufurahi ww.....
Kuna watu mtapata tabu sn Kama msipo badirika.
Nyie wazee wa Laizoni,wazee wa Lang'ata,Mbowe club,kipindi chenu pia amkupoa.We mtoto wa juzi kama bata waulize vijana wa enzi za Mzee ruksa watakupa majibu, na haijawahi kutokea hela kufunguka nchi hii kuliko awamu ya Mwinyi. Ndiyo hadi wa vipato vya kati walikuwa na jeuri ya kujenga katikati ya jiji
Ni binadamu kama sisi, ni kiongozi wetu na zaidi anaishi kwa kodi zetu...lazima akosoleweDuuh hivi guts za kumkosoa Amiri Jeshi mstaafu mnatoaga wapi jamani
Asili ya watu weusi walio wengi ni shida, utumwa na ukatili ndio maana akitokea mtu kama Kikwete au Samia hawaridhiki nawo. Asilimia 90 ya maombi yao kwa wengine ni kuwaombea wapate shida tu. Dar es Salaam unayoiona leo ujenzi wa majengo binafsi na ya umma au kampuni ni matokeo ya Kikwete. Hizo Bata za Sinza na Tabata ni kwasababu ya sera za Jakaya. Usione vyaelea.Wakati wa Utawala wake...
Huyu bwana ana Bahati mbaya sana. Haya ni Matokeo ya kuforce uongozi wakati hauna karama hizo, kuongoza watu siyo jambo jepesi inahitaji maono na busara hasa unapokuwa kwenye nafasi nyeti kama ya uraisi.
Enzi za utawala wake nchi ilikuwa ya hovyo tena hovyo kupitiliza kiufupi nchi aliiikabizi kwa mabwenyenye wachache. 2005 alipita wa kura nyingi sana 88%, lakini Awamu ya Pili pamoja na kuiba kura aliambulia kama sikosei ni 59% watu walikuwa wamechoka mithili ya harufu mbaya.
Huyu mwamba alipuyanga sana. Hakuna mtu alitaka hata kumsikia. Bila uongozi mbovu wa Kikwete Magufuli asingekuwa Raisi, Magufuli alikuja kunusuru nchi isiende kwa Wapinzani.
Kwa Nini kashindwa kama Mstaafu
Kwa utamaduni wa Kitanzania Raisi mstaafu ni Nguzo muhimu sana hasa pale taifa linapotaka kukosa mwelekeo, lakini pia anajukumu kuwaelekeza njia bora za kupita aliowaacha.
Nafikiri mnakumbuka ni namna gani Nyerere alivyokuwa macho hata baada ya kustaafu, alikuwa akisimama kusema jambo taarifa lazima litulie.
Vile vile Mkapa alikuwa akisimama kidete pale mambo yalivyokuwa yanaenda kombo hasa kipindi cha uchaguzi, sauti yake iliheshimika sana.
Leo hii tuna Kikwete sijui hata anafanya hini, suala lililoniuzi ni hili la Sukuma na Msoga gang kutokalipiwa hadharani tena kwa ukali; limeleta mgawanyiko makubwa sana. Mstaafu yupo anaongea kwa kujificha ficha, ovyo kabisa.
Kikwete anazidi kushindwa kwasababu hata ushauri anaotoa kwa Rais Samia unaonekana ni wa ovyo kwasababu unapingwa kila kona ndani na nje ya nchi. Mbaya zaidi hataki kutoka hadharani kuweka mambo sawa kama Mstaafu.
Kiufupi nafasi ya ustaafu haintendei haki, hii inatokana na kutokuaminika na watu wengi maana uongozi wake ulikuwa ni fedheha.
Namshauri Kikwete awe Mzalendo, kashazeeka atapendwa na wengi, aache kumpoteza Rais Samia na kuyumbisha Serikali.
Tupe ushahidi kuwa Kikwete anamshauri Samia.Kikwete anazidi kushindwa kwasababu hata ushauri anaotoa kwa Rais Samia unaonekana ni wa ovyo kwasababu unapingwa kila kona ndani na nje ya nchi. Mbaya zaidi hataki kutoka hadharani kuweka mambo sawa kama Mstaafu.
Yaan hadi nimeshangaa, anahusisha hadi Pope khaaahWatu wenye matatizo ya afya ya akili
Ndio dakika sifuri anatena Tusi
Nasikia aliwahi kuulizwa kwanini Tanzania ni masikini akashindwa kuelezea.Binafsi namkubali sana kikwete ni miongoni mwa Marais waliofanya watanzania wajikwamue kiuchumi, ajira zilikuwa nje nje, mzunguko wa fedha ulikuwa mkubwa pia aliruhusu watu wawe huru kumkosoa
Nikiwaga free hua naangalia speeches zake you tube mzee alikua na karama ya kuongea na watu wote! Anaweza akaelezea jambo gumu katika namna nyepesi na wote mkamuelewa vzr!
Sina hakikaNasikia aliwahi kuulizwa kwanini Tanzania ni masikini akashindwa kuelezea.
huo uoga hatutaki hili taifa ni letu sote tunahtaji ujasiri taifa linahtaji watu wenye uwezo wa kuhoji chochote kile paspo kuvunja sheriaa na ikiwezekana kuvunja sheria kama utawala ni mbovu ili kuhimiza maendeleo ktk nchi yetu....kwa lazimaDuuh hivi guts za kumkosoa Amiri Jeshi mstaafu mnatoaga wapi jamani
M
mi nataka akae kwa kutulia, awamu yake ilishapita aache uswahili
Anavyozurura duniani kwa kutumia kodi zetu zinamtosha!
Ndie huyo huyoSi ndio huyu alikoswa koswa kufanyiwa coup , Zaidi ya mara mbili...[emoji848]
Sio inaupeleka, bali umeipeleka nchi kupigwa mnada.Ushauri wake ndio unaipeleka inchi kupigwa mnada.
Kwa hiyo tuseme labda Nyerere alishauriwa na watasha a step down off The throne kuepuka aibu ya kupinduliwa?[emoji848][emoji848]Ndie huyo huyo
Akasaidiwa na wakoloni
Mama si ndiyo anafukia mashimo sasa? Katika teuzi ya watu kumi nane ni vibaraghashia na 2 Wagalatia.utawala wa Magufuli ulijaza Wakristo wizara zote waislamu mbona walipiga kimya, wakristo wakiwa wengi kwenye teuzi waislam wanavumilia awalalamiki, ila wakiwa waislam wengi inakua kelele,why?