Kikwete alishindwa uongozi kama Rais na sasa ameshindwa tena kama Mstaafu

We mtoto wa juzi kama bata waulize vijana wa enzi za Mzee ruksa watakupa majibu, na haijawahi kutokea hela kufunguka nchi hii kuliko awamu ya Mwinyi. Ndiyo hadi wa vipato vya kati walikuwa na jeuri ya kujenga katikati ya jiji
 
We mtoto wa juzi kama bata waulize vijana wa enzi za Mzee ruksa watakupa majibu, na haijawahi kutokea hela kufunguka nchi hii kuliko awamu ya Mwinyi. Ndiyo hadi wa vipato vya kati walikuwa na jeuri ya kujenga katikati ya jiji
Nyie wazee wa Laizoni,wazee wa Lang'ata,Mbowe club,kipindi chenu pia amkupoa.
kwa kifupi Mwinyi na Kikwete walifanya vitu fulani vya tofauti ukilinganisha na tawala za wengine.
 
Asili ya watu weusi walio wengi ni shida, utumwa na ukatili ndio maana akitokea mtu kama Kikwete au Samia hawaridhiki nawo. Asilimia 90 ya maombi yao kwa wengine ni kuwaombea wapate shida tu. Dar es Salaam unayoiona leo ujenzi wa majengo binafsi na ya umma au kampuni ni matokeo ya Kikwete. Hizo Bata za Sinza na Tabata ni kwasababu ya sera za Jakaya. Usione vyaelea.
 
Nasikia aliwahi kuulizwa kwanini Tanzania ni masikini akashindwa kuelezea.
 
Huyu Mzee mwacheni apumzike!yaani katulea wengi sana!!

Unafikiri bila kikwete kuongeza pesa bodi ya mikopo ningesoma chuo kikuu Mimi!!?tena Bachelor of science!!

Tunajua ana mapungufu Lakini hatuwezi sahau maisha Bora KWA KILA mtanzania!huwezi leta maisha Bora bila kuachia matajiri waachie pesa mtaani ziwafikie hata masikini!!

HADI mkapa anaondoka BADO maisha yalikua magum SANA KWA watz! watumishi wa umma n.k SASA ALIPOKUJA alikuja kuleta unafuu!!

Hayo mengine ni mapungufu ya ki binadamu tu ambayo KILA Rais anakua nayo KILA awamu!!

Mungu ambariki pia ampe moyo wa kuachilia utawala na uongozi wa nchi !sio lazima watu wake ndio washike hatamu !watz tupo wengi!!!


Mungu IBARIKI Tanzania nchi yetu niipendayo SANA
 
Duuh hivi guts za kumkosoa Amiri Jeshi mstaafu mnatoaga wapi jamani
huo uoga hatutaki hili taifa ni letu sote tunahtaji ujasiri taifa linahtaji watu wenye uwezo wa kuhoji chochote kile paspo kuvunja sheriaa na ikiwezekana kuvunja sheria kama utawala ni mbovu ili kuhimiza maendeleo ktk nchi yetu....kwa lazima
 
utawala wa Magufuli ulijaza Wakristo wizara zote waislamu mbona walipiga kimya, wakristo wakiwa wengi kwenye teuzi waislam wanavumilia awalalamiki, ila wakiwa waislam wengi inakua kelele,why?
Mama si ndiyo anafukia mashimo sasa? Katika teuzi ya watu kumi nane ni vibaraghashia na 2 Wagalatia.

Tutulie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…