Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliongea kwa uchache lupaso kwa Mzee Mkapakwanini JK hakunena maneno haya enzi za Mwendazake??
Alikua Mzee wa Kisukuma ndani ya ATM ya kwanza Chato.Umenikumbusha kisa cha mzee aliyekataa kupokea fedha kwa mwanae alizotoa kwenye ATM akidai ni bandia kwakuwa hakumwona bank teller yeyote pale kwenye kibox alipotoka na fedha
Posuta , mwalala uli?Hapo namanyele umenigusa ndo hom kabisaa. Mitaa ya nkomolo.
Hahahahahahahahahahahahaha........Alikua Mzee wa Kisukuma ndani ya ATM ya kwanza Chato.
Tupe kirefu cha MATAGANaona JK ameamua kuwajibu MATAGA kiaina
Alikuwa gavana pale BOTAlikuwa na mamlaka gani yakuruhusu watu wachote Hela BoT
Hili ni kongamano ndg yangu na limeandaliwa na chuo hapakuwa na ulazima rais wa nchi kuhudhuria, ni sahihi Kikwete kuhudhuriaKikwete siku hizi kawa Msemaji wa Samia.
zamani ilikuwa tumia ya kwako au kopa nitakurudishia ukija. Siku hizi unaambiwa utume na ya kutoleaMwendazake profesa abarikiwe sana katika hii huduma. Japokuwa imeharibu mambo hasa kwa mabaharia (Kwenye kutuma na ya kutolea) ila imerahisisha sana mambo mengine ya kijamii
Kuwa?Naona JK ameamua kuwajibu MATAGA kiaina
Huwezi kufanya kumbukizi kwa aliye hai..kwanini JK hakunena maneno haya enzi za Mwendazake??
Tuma na ya kutolea mshuaKwani watumiaji wa hela kwa njia ya.mtandao wanasemaje wao
Hivi Namanyele ni mkoa gani huko?Hapo namanyele umenigusa ndo hom kabisaa. Mitaa ya nkomolo.
Huku madogo huwa wanatuvimbia bure mkuuNipe shikamoo dogo
Kwasababu aliye hai hafanyiwi kumbukiziNafikiri ni kwa sababu enzi za mwendazake hakukutokea majadiliano maalumu ya kumbukizi ya Profesa Ndulu yaliyoandaliwa na Chuo Kikuu cha New York (NYU) kupitia jukwaa lake la Africa House.
Hivi kwanini Tz mabasi yamegoma kutumia mfumo huu?Ule mpango wa kutumia mabasi ya mkoani kutumia pesa umekufa, pesa nyingi zilipotea , nashukuru huu mpango wa kutumia simu .
Plus Muhongo, lkn kipindi cha mwendazake hawa wasomi walijuta kuijua na kurudi TzAll in all JK alijitahidi sana kuchomoa Wasomi huko Dunian na kuwarudisha Nyumban kupiga Mzigo, kuna huyu wa BOT, TIC na TPDC na wengine wengi tu
'…leo nipo hapa Makaburi ya Kinondoni kwa huzuni kubwa sana kushuhudia MAKTABA ya uchumi ikizikwa…'
Ccm ni kiwanda cha kuua heshima za wasomi na uzalendo.Umesahau JK alimchomoa pia Prof . Muhongo aliyekuwa akipiga mzigo nje. leo hii eti CCM ya Magufuli chini ya Musukuma na Kibajaji wanadhiaki usomi wa Muhongo. Kweli JK alikuwa na Maono..
Tuwalee mkuuKumbe humu ndani tupo na watoto????