Kikwete asema Profesa Benno Ndulu ndiye aliyeleta utaratibu wa malipo ya fedha kwa njia ya simu

Kikwete asema Profesa Benno Ndulu ndiye aliyeleta utaratibu wa malipo ya fedha kwa njia ya simu

Simbishii JK anajaribu kuweka kumbukumbu rejea katika usahihi wake.
 
Mwendazake profesa abarikiwe sana katika hii huduma. Japokuwa imeharibu mambo hasa kwa mabaharia (Kwenye kutuma na ya kutolea) ila imerahisisha sana mambo mengine ya kijamii
zamani ilikuwa tumia ya kwako au kopa nitakurudishia ukija. Siku hizi unaambiwa utume na ya kutolea
 
Nafikiri ni kwa sababu enzi za mwendazake hakukutokea majadiliano maalumu ya kumbukizi ya Profesa Ndulu yaliyoandaliwa na Chuo Kikuu cha New York (NYU) kupitia jukwaa lake la Africa House.
Kwasababu aliye hai hafanyiwi kumbukizi
 
Ule mpango wa kutumia mabasi ya mkoani kutumia pesa umekufa, pesa nyingi zilipotea , nashukuru huu mpango wa kutumia simu .
Hivi kwanini Tz mabasi yamegoma kutumia mfumo huu?
Kenya wanatumia tangu 2016, mtu unachagua sit ukiwa umelala kitandani kwako kama ndege vile
 
All in all JK alijitahidi sana kuchomoa Wasomi huko Dunian na kuwarudisha Nyumban kupiga Mzigo, kuna huyu wa BOT, TIC na TPDC na wengine wengi tu

'…leo nipo hapa Makaburi ya Kinondoni kwa huzuni kubwa sana kushuhudia MAKTABA ya uchumi ikizikwa…'
Plus Muhongo, lkn kipindi cha mwendazake hawa wasomi walijuta kuijua na kurudi Tz
 
Umesahau JK alimchomoa pia Prof . Muhongo aliyekuwa akipiga mzigo nje. leo hii eti CCM ya Magufuli chini ya Musukuma na Kibajaji wanadhiaki usomi wa Muhongo. Kweli JK alikuwa na Maono..
Ccm ni kiwanda cha kuua heshima za wasomi na uzalendo.
Nina mheshimu sana Muhongo, anapobezwa huwa naumia mno
 
Back
Top Bottom