Hivi mmeshawahi kujiuliza kwanini JKs wote walimkata Lowassa kwenye mbio za Urais bila ya kumsikiliza ?Nimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.
Ni Lowasa mdoye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.
Je marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa?
Muamini Mungu pekee, binadamu wabinafsi sana.Nimerudia rudia hotuba za JK katika msiba wa Lowasa, hakuna mahali kasema alienda kumsalimia Lowasa akiwa anaumwa.
Ni Lowasa mdoye alimpa JK urais, Lowasa anaumwa JK hajatia mguu hospitali.
Je marafiki zako unawaamini kiasi gani, na umejifunza nini kwa usaliti aliofanyiwa Lowasa?
Naona we ni wa juzi tu! JK alimzidi EL?Hakuna aliyemjua Lowassa na hakuwa na umaarufu. Tishio la Kikwete llikuwa Malecela na Cleopa Msuya. Lowassa alipata umaarufu mkubwa kipindi Cha Mkapa na mwaka 2005 alijua asingeweza kushindana na Kikwete ndio maana akakubali kuungana na Kambi ya Jakaya
Walikuwa wanamjua Lowassa kuliko sisi sote,mm binafsi nawaheshimu kwà Maamuzi yao mazuri maana tusingempata Shujaa MagufuliHivi mmeshawahi kujiuliza kwanini JKs wote walimkata Lowassa kwenye mbio za Urais bila ya kumsikiliza ?
Unamuabudu mno kikwete kila mada inayomuhusu kikwete lazima utokee kumtetea na kumkuza hivi ujabali wa kikwete ni upi?Wale wote waliokuwa wanasema JK hakuwa na ubavu wa kumkata Lowassa ndani ya CCM na kumzuia nje ya CCM ndio hao hao sasa wanamtukana JK kwa kuwa na ubavu huo na kuutumia
JK no jabali hasa la Siasa ndani ya Nchi yetu lakini hakuwa na roho mbaya ya kushughulika na utajiri wako
Jamaa anaandika upuuzi, Mwalimu Nyerere mwenyewe alikuwa anamuogopa Lowasa mpaka kuhakikisha 1995 jina lake linakatwa!Naona we ni wa juzi tu! JK alimzidi EL?
Duuh..kwahiyo mtu akigogwa na gari barabara ya Nyerere..nyerere ndio kausika?kafia jakaya kikwete hospital hilo halitoshi, labda?
Makorokoro Bondeni huu si uchawi kabisa??😂😂Watanzania wengi ni wachawi sema macho yao siyo mekundu,na hawana hirizi.Sema wanapiga ramli na usiku wanapaa.
Basi JK atakuwa Mungu. Kama amewaua wote hawa, basi aishi sana huyu mzee ili atuondolee na huyu Makonda.Hata kifo cha Mkapa na Magufuli anahusishwa pia,hii si nzuri kwa afya ya akili yake,
haina maana na haikua na haja kueleza mengi.
Mzee ameumaliza mwendo, imani ameilinda [emoji205]
R I P Laigwanan comrade ENL
We hujui, kama nyerere asinge kata jina la lowassa mwaka 1995, Lowassa angekua Rais wa awamu ya 3.
Abomination!!Basi JK atakuwa Mungu. Kama amewaua wote hawa, basi aishi sana huyu mzee ili atuondolee na huyu Makonda.
Pithole country, mtu mmoja,binadamu mmoja anaweza kumthibiti mtu asiwe President wa nchi!,halafu mnalalama mna demokrasia ndani ya chama, it's craze, na usiwe msemaji wangu,jk hakua maarufu au presidential material kwa upande wanguEti Lowassa ndiye aliyempa Urais Kikwete! Utakuwa mzaliwa wa miaka ya 2000. Jakaya tayari alishakuwa kwenye mstari wa Urais toka miaka ya mwanzo ya tisini na hapakuwa na mtu aliyekuwa anamzidi umaarufu na kukubalika kama Jakaya ndani na nje ya CCM. Mtu pekee aliyeweza kumdhibiti Kikwete kuchukua urais mwaka 1995 alikuwa Hayati baba wa Taifa. Lowassa na Rostam waliona fursa na sio kumpa Urais.
Na sio lazima aseme alienda kumtazama. Nje ya siasa hao watu waliendelea kuwa Marafiki na wanajua a faulo walizochezeana.
Huwezi kuamini lakini hilo haters linawauma si mchezo!!!kafia jakaya kikwete hospital hilo halitoshi, labda?