Kikwete mbona Magufuli alipofariki dunia hukumuelezea kirefu kama kwa Membe?

Si alikuwa mwenezi wa Afrika mashariki wa ile dini ya Mungu mwenye mguu mmoja, jicho Moja na mikono miwili ya kulia, akidanganywa na jinga Moja lililokuwa linalipia wanaume mahari ?
Kanali Gadafi alimpoteza mjomba Amini mpaka akaacha uafrika na kuukumbatia uarabu
 
Si alikuwa mwenezi wa Afrika mashariki wa ile dini ya Mungu mwenye mguu mmoja, jicho Moja na mikono miwili ya kulia, akidanganywa na jinga Moja lililokuwa linalipia wanaume mahari ?
Ikiwa gadafi alikuwa mjinga kwa kulipia wanaume mahari kama usemavyo je wewe unakuwa nani? Salaam kwa wenzio wa Upinde
 
Ndugu yangu uwezo wangu mkubwa najielewa
O level Tabora boys one 7
A-level mzumbe one 4
Bachelor degree civil engineering UDSM
Masters Highway udsm

Usijifananishe na mimi wewe tahira
 
Kwanza elewa hizi page zinaendeshwa na wasaidi wao, Pili ratiba ya mazishi imeshatoka, wazee wa Lindi wana jambo lao, tutegemee nini baada ya VAR ya wazee? Tukae kitako kwa kutulia.

Ujue nimewaza sana mwili ukabidhiwe kwa wazee?

Ok huko Bunda kibara nako tusipapuuze! [emoji16]

Nikikumbuka ule moshi uliomtokea Magufuli huko kusini break kaenda kushikia ikulu acha VAR iamue
 
bado yeye
 
Ye akachukue mzoga wake apeleke huukoo akautunze Bahari itaendelea kutulizwa Mungu yupo kazini
 
Kanali Gadafi alimpoteza mjomba Amini mpaka akaacha uafrika na kuukumbatia uarabu
Kule uarabuni kwenye Arab spring nako walimtimua, alikuwa anataka eti awatawale, ikaabidi aelekeze nguvu Afrika akazuga anataka umoja wa Afrika kumbe ya kidini. Aliwachanguwa maafisa masoko wengi Afrika wa hoja za oic na mahakama ya kafhi
 
Kwanza si mnamsiba nyie nendeni mkaomboleze fisadi lenzenu limekufa



Kwa hiyo JPM hakuwahi kufanya vitendo vyenye viashiria vya ufisadi?

Yeye hakuwa fisadi?

Mbona waliingilia Uhuru wa CAG na kumsakama mpaka kuondolewa kabla ?

Acheni kujichanganya wenyewe.
 
Huko hakuna ndoto, ni reality tu. Ndoto zinaishia hapahapa kwenye uhai.
Tunasikia jpm aliongozwa Sala ya Toba ila huyo mzoga gang wa Jana hajaomba atakuwa anashugulikiwa kuzimu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwahiyo vyuo vyote vimejengwa na Magu?

Hospitali zote zimejengwa na Magu?

Mashule yote yamejengwa na Magu?

Barabara na madaraja yote yamejengwa na Magu?

Mitambo na mabwawa yanayozalisha umeme hivi sasa yamejengwa na Magu?!

Unajua huwa napata mashaka sana na uelewa wa Wafuasi wa Magu!

Let's assume una elimu ya Chuo Kikuu!!

Now, ni infrastructure ipi iliyojengwa na JPM iliyowezesha wewe kuwa na elimu ya chuo ya kikuu, na kwamba, kama siyo hiyo infrastructure, huenda usingekuwa na hiyo elimu?

Nakuuliza kwa sababu kama unajaribu kutuaminisha pasipo na JPM hapawezi kufanyika kitu basi bila shaka hata wewe elimu yako YOTE imewezekana kutokana na misingi iliyojengwa na JPM!
 
Wewe ni mmoja wa wapumbavu wanaoligharimu taifa hili. Bunge la uchafu wa Magufuli hili unategemea nini hapo? Aliyeliharibu bunge ni huyo shetani wenu aliyepumzishwa na kirusi.
 
Tafsiri ya familia yako yule kenge hakumanisha ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…