Mbona MAKONDA alivyomdhalilisha "MWANAO" ulikaa kimya?!Rais Mstaafu Mzee Kikwete akiongea wakati wa Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji amesema baba yake Yusuf yaani mzee Manji alipokaribia kufa alimkabidhi mwanae Yusuf Manji Ili amlee.
Dua ya kumuombea Heri mwendazake Yusuf Manji imeandaliwa na Watoto wake.
Pia soma
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani
Mbona MAKONDA alivyomdhalilisha "MWANAO" ulikaa kimya?!
Ule ulikuwa upepo mbaya tu unapitaSasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Malezi ni neno pana sana!Marehemu huwa wanasingiziwa mambo mengi Sana sababu hawako hai
Mswahili awe mlezi wa mtoto muhindi ?
Kikwete Kwa Mamlaka ninayojipa mwenyewe kama namtunuku Mzee Jakaya Mrisho Kikwete PhD ya Uongo uliokubuhu
Mnaojua kingereza naonba tafsiri ya hiyo PhD nimemtunuku Kwa lugha ya kiingereza
Labda walitaka aite press conference atangaze hadharani kuwa anamtetea Manji na aagize Magu amuache kijana wake mara moja.Kwa situation ile angefanya nini? Pengine hakukaa kimya husikute kuna hatua zilichukuliwa pia dhidi ya jiwe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kipindi kile tungekukutanisha na Magufuli ungeweza kimuita Dikteta Uchwara?
Hapo Jk mtamuonea tu,hata ungekua wewe ndugu kwa ile mihemko waliokua nayo ungefanyaje...?Make kuvunjiwa heshima kulikua njenje...Sasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Ukishaanza kuona cycle Yako ya karibu inaenda kama hivi ujue siku SI nyingi Mzee wetu!!!nadhani ameshaenda hija!Yaani alimlea hadi kuingia ufisadi kuingia JWTZ kufisadi kule mbagala nk JWTZ sidhani kama watamsahau Manji na ufisadi wake aisee huyu Mzee Kikwete shida Kwa kweli Tena kubwa
Magufuli alikuwa sahihiLabda walitaka aite press conference atangaze hadharani kuwa anamtetea Manji na aagize Magu amuache kijana wake mara moja.
Okay, sawa..... sasa kama hakuweza kuimsaidia Manji kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa na kimbembe wakati wa Jiwe, akashindwa kumsaidia Manji, kwa nini anakuja kutueleza kwamba alipewa jukumu la kumlea Manji ?Yemwenyewe manusura aishi kama shetani angepata wapi mda wa kumlinda mtoto wa kupewa
Na rais asiyeshughulikia ufisadi alikuwa yeye.Serikali yake ilipigiwa kelele za ufisadi!!
Nadhani Kikwete ana under rate uwezo wa watanzania anadhani watanzania wote hopelessOkay, sawa..... sasa kama hakuweza kuimsaidia Manji kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa na kimbembe wakati wa Jiwe, akashindwa kumsaidia Manji, kwa nini anakuja kutueleza kwamba alipewa jukumu la kumlea Manji ?
Wote tunajua Manji aliishi kama panya road miaka yote hii.... Yani Kikwete anafikiri nini kichwani mwake huyu mzee ???? Hakuona kama story yake itaonekana ni ridiculous? Anatuona sisi wajingaaaaa....!
Ulitaka dunia nzima imuone liveLakini,mimi sikuwahi kumsikia akiongea zaidi ya kuona tu kwenye mitandao.Nani alimsikia akitamka hayo?
mshamba wa Chattle the Gang ndio alimvimbia msoga kwa huyu jamaaa! ila baada ya kurud US msoga alienda wakaongeaSasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Wee Jana ebu dig deep kidogo. Huo ulezi unafikiri ni kumpa ugali ashube. It was all about connection na security kwenye kufaudi keki ya taifa. I am sure bwamdogo manji was guaranteedOkay, sawa..... sasa kama hakuweza kuimsaidia Manji kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa na kimbembe wakati wa Jiwe, akashindwa kumsaidia Manji, kwa nini anakuja kutueleza kwamba alipewa jukumu la kumlea Manji ?
Wote tunajua Manji aliishi kama panya road miaka yote hii.... Yani Kikwete anafikiri nini kichwani mwake huyu mzee ???? Hakuona kama story yake itaonekana ni ridiculous? Anatuona sisi wajingaaaaa....!
Ondoa neno kibabe ,alinyang'anywa mali za umma alizochukua kiujanja bila kufuata utaratibuSasa,mbona alimuacha nyakati fulani ateswe,atwezwe utu wake,afungwe jela kiuonevu na kunyang'anywa mali na fedha zake kibabe tu?Alikuwa wapi?
Watu wanaropoka tu.Usikute hilo la kulelewa na Kikwete ndilo lililofanya Jiwe amtese Manji. Kama hivyo ndivyo JK angefanya nini?.