Kikwete na Magufuli walishindwa kuingusha CHADEMA lakini Rais Samia ndani ya miaka minne ameshamaliza anachofanya ni kuinyonyoa manyoya

Kikwete na Magufuli walishindwa kuingusha CHADEMA lakini Rais Samia ndani ya miaka minne ameshamaliza anachofanya ni kuinyonyoa manyoya

Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Ameshafanikiwa hakika. Serikali imetumia mabilioni ya walipakodi katika hili. Hatimaye imetimia.
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Mtu pekee ambaye angeweza kuiua CDM kutokana na ujinga wake na ukatili wake alikuwa JPM, lakini kilichotokea ni yeye kufa.
 
Mkuu umewaza kama Mimi na pia namshauri ili ajenge Ccm ya Matarajio atakapoondoka 2030 Mkutano wa Januari 18-19 ajaliwe haya Maono amteue Makamu wake kutoka Kanda ya Ziwa.


Mlale Unono 🇹🇿🙏
 
Sisi supervisor wetu ofsn kuna nguo akivaaga huwa hatusikiliz anachosema kichwa cha chini kibaya Sana😄😄😄
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Magufuli alisema chadema itakufa kabla haja toka madarakani.

Ni kwamba Samia anamalizia tu
 
sikiaga tu ,gerezani miezi 8 kivuli KESI ya ugaidi chairman lazima adate
 
Huyu bibi alifanikiwa pia kuwa Rais bila kur...
2. Alifanikiwa kumlamba kichwa Jiwe.
3. Amefanikiwa kuifanya unguja kuwa Dubai
4. Amefanikiwa kuiuza Bandari , Ngorongoro,KIA, Madini
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Haaa, nafuatilia miradih aliyoianzisha na kuiendeleza, Ukweli mama pamoja na chama utawala, wana haki ya kujivunia. Ile Ilani ya CCM 2020, inasimiwa vizuri. Mambo ya Chadema naona fresh tu, wote wanaweza kua wenyekiti. 1. Mwenyekiti wa kudumu na 2 mwenyekiti wa mpito.
 
Umeiwahisha makala kabla ya wakati wake yaani kilele chake pale watakapofanya uchaguzi na mbowe kuibuka mshindi. Maana hiyo chadema ya wakati huo haitakuwa hii ya sasa yenye miamba miwili ya siasa inayotifuana kutaka kuongoza. Mwamba mmoja ni kitisho kwa CCM hatakiwi kupanda juu CCM itapata wakati mgumu kuelekea uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani.
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Na kaiangusha kupitia kwa Tundu Lisu. Na kama Tundu angepata mafao yake ya matibabu, wala tusingesikia kelele zote hizi
 
..kama Chadema imeangushwa kwa fedha basi mjue ni fedha za umma.

..kama Chadema imeangushwa kwa mabavu ya vyombo vya dola navyo ni mali ya umma.

..Samia kwa kutumia vibaya madaraka aliyopewa na umma ameiangusha Chadema.

..mimi nadhani hatupaswi kumsifia Raisi anayetumia vibaya madaraka yake.
Mtoa mada uko sahihi, hebu mwangalie huyu anavyoongea visivyoeleweka kama amepinduka na boti baharini.....huu ni ushahidi wa uyasemayo.
 
Hakuna anayeamini!

Kikwete kwa Miaka kumi alishindwa kuizima CHADEMA na ilibaki kidogo Sana 2015 Akabidhi ofisi kwa upinzani.

Akaingia Magufuli, yeye ndiye akatumia zaidi mabavu na alishakiri hadharani anaenda kufuta upinzani kabla ya 2020 lakini alipata upinzani Mkali Sana kuwahi kutokea katika nchi hii.
Akashindwa!

Akaingia Samia, mwanamke ambaye kikawaida kulingana na jamii zetu mtu yeyote angeweza kumdharau.

Lakini Samia yeye nafikiri alisoma Mchezo wa Kikwete na Magufuli. Kikwete alitumia Njia peaceful kuikabili CHADEMA huku Magufuli akitumia Mabavu. Samia yeye style yake ni kudokoa huku kidogo huku kidogo yaani nguvu kidogo akili kidogo.

Uhakika uliopo ni kuwa CHADEMA imeshakatwa kichwa, Wachache wanajua ishaanguka. CCM wametulia kama sio wao, wananyonyoa manyoya tuu.

Yaani CHADEMA iliyoshindwa na wanaume Leo ndio hii Mwanamke kaipiga. Aiseeh!

Haya!
Penye Uzia penyeza Rupia....
 
..tatizo kubwa zaidi ni Wasomi wa Kitanzania, waandishi mahiri kabisa, wanapoamini kwamba Maraisi wetu wanapaswa kusifiwa wanapotumia vyombo vya dola kuhujumu demokrasia na mifumo ya uchaguzi.

..Na tukienda mbali kidogo, tujaribu kuangalia nchi nyingine zilipoongozwa na viongozi wanawake kama India, wakati wa Indira Ghandi, au Uingereza, wakati wa Margareth Thatcher. Je, ni mambo gani kina mama hao walisifiwa nayo?

..Hivi kweli sifa ya kudhulumu haki ni jambo la kumsifia mwanamke wa Kitanzania, tena ambaye ni kiongozi?
Inashangaza sana.....

Yaani baadhi ya watu eti wanaiona Chadema kama ndio adui wa taifa kuliko hata matatizo yao sugu kama Umasikini, maradhi, ujinga na rushwa.
 
Back
Top Bottom